Ghafla akaniambia via sms kuwa yuko lodge na ampendaye,nikadhani utani nikapiga simu akapokea afu akampa njemba ikaniambia "stop bothering my queen"afu na yeye akaniamba mazoea yafe,just ghafla tu na hatukuwa na tofaut,aisee nikaenda kumweleza rafik yangu,alisikitika sana maana nilikua mnyonge vibaya mno,ningezubaa ningekufa kwa mawazo na njaa,mazoez yakaanza kwa kasi,gym na mimi afu na hiphop hardcore nikamsahau yule manzi,tangu hapo sijawah kuwa na mwanamke mmoja japo nimeoa ila vya pembeni sikosi!