Breakup ya kwanza ilikuaje?

Breakup ya kwanza ilikuaje?

A lot of abnormal activities
1. Kushika kwanja kufyeka majan hata nyakati za usiku
2 kuswali swala ya alfajiri msikitin na haikuwa kawaida yangu
3 kuanza kusoma madrassa na kumrudia mungu kwa fujo
4 Kuwa motivational speaker wa mitandaoni 😀😀
MAPENZI KONYO SANA
Dj naomba nipigie Kuachwa ya Kahlid Chokoraa. usifanye kichi kichi hadi mwisho
Nakumbuka pia nilichezea supp ya business statistics semester hiyo hiyo 😀😀
 
Mwaka jana mwezi wa 07 niliumia kinoma ila nilikubaliana na hali , nikamueleza asiwahi kunitafuta tena jina langu aliweke kwenye list la majina ya watu wake aliofahamiana nao na wakafa kwamba hataniona tena, na yeye nikamwambia asinitafute hata iweje.

Baada ya hapo nilifuta namba yake ya simu na kumbukumbu zote lakini haikusaidia ndani ya miezi mitatu mbele bado niliendelea kupata maumivu kilicho nisadia sikuwahi kukariri namba yake na kwenye simu niliifuta kwahiyo ilinisaidia kuendelea kuwa mbali nae.

Sasa hivi nimeshamsahau mwaka jana mwezi wa 12 alinitumia meseji ya kunitakia heri ya kuzaliwa sikujibu, mwaka mpya akanitumia meseji sikujibu , mwezi mmoja uliopita alinitumia meseji ya kunitakia ramadhan njema sikujibu pia meseji zikiingia nazifuta na namba yake hapohapo.
Wazo zuri,
 
Umevunja had line kwasababu ya binadamu mwenzio?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23] acha mwanangu imepita miaka 5 now haitakuja kutokea kuvunja lain kwa ajili ya mwanamke
 
Poleni sana wanaume kumbe ndo mnavyoumiaga hivi?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hebu atokee mwana wa Israel mmoja anikoseshe amani, nilie nihuzunike nishindwe kula. Tatizo mimi msg za mapenzi nazisoma kwa herufi kubwa ndiomana hata mtu akisema tuachane hainiumizi..!! Namwambia kwenda mwana kwenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaume huwa tunaumia mara moja tu na hii ni kutokana na kwamba tunachelewa sana ku move on tofauti na wanawake baada ya hapo sisi ndio tunaumiza
 
Ghafla akaniambia via sms kuwa yuko lodge na ampendaye,nikadhani utani nikapiga simu akapokea afu akampa njemba ikaniambia "stop bothering my queen"afu na yeye akaniamba mazoea yafe,just ghafla tu na hatukuwa na tofaut,aisee nikaenda kumweleza rafik yangu,alisikitika sana maana nilikua mnyonge vibaya mno,ningezubaa ningekufa kwa mawazo na njaa,mazoez yakaanza kwa kasi,gym na mimi afu na hiphop hardcore nikamsahau yule manzi,tangu hapo sijawah kuwa na mwanamke mmoja japo nimeoa ila vya pembeni sikosi!
Kwenye hiphop hapo na mimi nimo, ngoma za 2pac zote zipo kichawni. Jamaa alinimotivate sana ku move on... Hasa ngoma ya "life goes on"
 
Wanaume huwa tunaumia mara moja tu na hii ni kutokana na kwamba tunachelewa sana ku move on tofauti na wanawake baada ya hapo sisi ndio tunaumiza
Kwa hizi comment mnaumizwa sana bana 🤣🤣🤣
 
Hapo moyo wangu kwatu....yaani ukipata nafasi ya kwaumiza usituangushe 🤣🤣🤣minya hadi mapu...lizo
🤣🤣🤣 ni ya kugonga mbele na nyuma mpk akili ziwakae sawa!!
 
[emoji23][emoji23] acha mwanangu imepita miaka 5 now haitakuja kutokea kuvunja lain kwa ajili ya mwanamke
Acha ujinga unaharibu mawasiliano kwa kiazi mmoja mliyekutana ukubwani we vipi?? 🤣🤣🤣
 
Acha tu wengi wanaotuumiza tulitegemea furaha kutoka kwao [emoji29]
Msichokijua furaha ya kweli inaletwa na wewe mwenyewe, sasa hivi mpz wako akikutumia msg soma kwa herufi kubwa na usisome kwa hisia uone km utaumia 🤣🤣🤣
Sifundishi tena hii ya mwisho
 
Nimelia msiba wa mama yangu inatosha sio mtu mzima mwenzangu mwenye meno 32 na mengine yaliyotoboka na kuoza anilize kijinga..!! 🤣🤣🤣🤣
Kuna kitu kinaitwa intimacy hiki kitu kanakuja unapoingia kwenye mapenzi ya dhati na kina nguvu sana. Kumbuka mpk uingie kweli sio umetamani. Achana na kutoa mihemko hii ipo deep zaidi. Ukiingia hapa ukaachwa usipolia wewe sio mtu ni roboti🤣. Mimi nilikua kama wewe mpk yalipo nikuta.
 
Acha ujinga unaharibu mawasiliano kwa kiazi mmoja mliyekutana ukubwani we vipi?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Bila hivyo ningeshindwa ku move on na kilichoni saidia ku recover nilianza kupenda mazoez sana mpaka leo marathon zote wananijua [emoji23][emoji23]
 
Kuna kitu kinaitwa intimacy hiki kitu kanakuja unapoingia kwenye mapenzi ya dhati na kina nguvu sana. Kumbuka mpk uingie kweli sio umetamani. Achana na kutoa mihemko hii ipo deep zaidi. Ukiingia hapa ukaachwa usipolia wewe sio mtu ni roboti🤣. Mimi nilikua kama wewe mpk yalipo nikuta.
Kujiendekeza we jamaa boya wa mapenzi 🤣🤣🤣
 
Humo Ana sema there is a heaven for a nigga
Jamaa alikua anaelezea mwanae alivyo uwawa hasa kipind kile shooting kwa Black American ilikua kawaida coz of racism. Sasa mm nilikua nachukulia maumiv aliyopitia najipa ilinipate motivation. Nilipiga gym ambayo mpk leo nawazaga hivi ulemoto nilitoleaga wapi🤣 hakika yule manzi alinibadilisha.

Favourite line ilikua
2:00 in tha morning and we still high ass*d out,
screeming thug till I die before I pass out.
 
Back
Top Bottom