Breakup ya kwanza ilikuaje?

Breakup ya kwanza ilikuaje?

Pamoja na hayo bora kafua mikojo lakini aliendelea kupumua(hajafa) ila nyie wa miaka hii kukojoa hamkojoi ila mnawahishana kwa muumbašŸ¤£šŸ™ŒšŸ»
Ni wajinga ndio wanawahishana, binadamu anayejitambua hana muda huo si mnaachana kwa wema kila mmoja aendelee na mambo yake 🤣🤣🤣🤣
Ya nini kuforce mpk mfikie kuuana na viumbe vya Mungu vipo vingi.!!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimemaliza comments. Asante dj
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
2012. July, 25

Majira ya saa 4 hivi asubuhi, nikaandikiwa text naambiwa mimi na wewe tumeachana. Ilikuwa ni kama mzaha tu, nilibembeleza mno hadi kumuelezea sister wake wapiii!. Niliteseka kwa miaka miwili nikapona. Ulikuwa ni wakati mgumu mno sijawahi pitia na sitowahi pitia maishani mwangu. Nilikuja kufahamu baadae kilichosababisha ikawa hivyo, nilishukuru kwa kunipitisha kwenye tanuru lile qmamae.
Kipi kilisababisha mkuu
 
Kipi kilisababisha mkuu
Nyumbani kwao kulikuwa na hali ngumu mnooo! Akawa amechaguliwa chuo akaenda kibishi sasa namna ya ku sustain maisha ya chuo ilikuwa ni kazi ngumu sanaa! Hiko kipindi sikuwa na shughuli rasmi ila nilijitahidi sana kumsupport upande wa chakula. Nilimsupport sana sababu najua alichokuwa anapitia na ofcourse ninamjua nje ndani, ikatokea mshua mmoja akamuelewa akawa anahudumia excessively.

Jamaa akampangishia nje, dem akawa anatamba na iphone hiyo ni 2012 akapewa macbook na ipad ili akili itulie, jomba kumbuka huku mimi sina kipato chochote! Dem akakutana na kitu hiko wala haihitaji elimu kubwa hapo kung'amua nin kingefuata kati yetu. Picha likaishia hapo
 
Back
Top Bottom