Volcano Temperature
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 106
- 86
Ukiona hiyo System ya Brela ilivyopambwa na kuandikwa vitu vya maana.... Unaweza kufikiria kuwa vilivyomo ndani vina akili sana kumbe Uozo mtupu.
Uncle Magu pitia pale Brela kumbe unatupiwa lawama nyiiingi, kuhusu biashara - Wahuni wameisha jenga ngome yao pale Brela. wako kwa ajiri ya Maslahi yao, matumbo yao tu pale wala sio kazi ya Umma, Brela imefikia hatua kuombwa rushwa ni hadharani tena bila uoga kabisa.
Pole kijana uliyekumbwa na kadhia hii .... Wanasheria wa ma-kampuni najua mnajisikiaje na Brela yetu (Asanteni kwa kuliweka hili wazi)
BRELA NI SHIDA - NI USEMI ULIOZOELEKA SANA KWA WANASHERIA WA MA-KAMPUNI WANAOSHINDA PALE BRELA KWA AJIRI YA SYSTEM
Hivi huyu Waziri mpya wa Viwanda na Biashara - Joseph George Kakunda anajua kama Brela iko chini yake na anatakiwa kufanya kazi zake pale Brela.
au hata hajui majukumu yake ni nini ?
Mkurugenzi Mkuu wa Brela ndio hopeless Kabisa.... Unaingia Kazini kila siku lakini wateja wako ambao ndio wafanya Biashara na walipaji kodi wakubwa hutaki kukutana nao.... What the Hell are you doing in the Office au ndio you have team it up to solicit bribe from Investors.
Nashangaa sana kuona System iliyowekwa Brela imegeuka kuwa kikwazo kikubwa kwa wafanya Biashara, Ku-update information kwenye System badala iwe jambo la nusu saa umemaliza sasa limekuwa Jambo la Mwaka Mzima, na huwezi fanya kitu kingine hadi umemaliza ku-update information kwenye System, hivi mnajua mnainyima serikali kodi kiasi gani kwa ujinga wenu huu nyie Brela? Yaani Staff wa Brela wanafikiria wanajua sana kuliko hawa Entrepreneurs/Investors wenye ma-degree kibao, na wamejiajiri pia wakaajiri watu wengine kibao.
Brela badala ya kumwambia mtumiaji wa System kuwa unatakiwa kuwasilisha Nyaraka zifuatazo na ukaziorodhesha hapo chini zoote hata kama ni nyaraka 20 na ukamwambia mtu anatakiwa afanye kitu gani ? wewe unamwambia mtu aweke nyaraka moja kama vile amemaliza ? akiisha-upload hiyo nyaraka moja unamrudishia tena kuwa aweke tena nyaraka nyingine, kwa nini usimwambie aweke zote ? Ujinga sana baadae unamwambia aweke nyingine tena, na kila nyaraka inakaa huko kwenu zaidi ya wiki mbili ndio mnarudisha kwa mtumiaji... what the hell are you to consume investors working hours ??
Yule Mzee aliyepiga Kelele hapo Ofisini kwenu muoneeni huruma ametoka Mkoani kuja kushughulikia swala hilo tu baada ya kuona anacheleweshwa, mnajua ametumia pesa kiasi gani kwa kulala Hotelini, kuja na kushinda hapo kwenu kila siku, ameishakaa hapa Dar es Salaam zaidi ya mwezi mzima.
Sasa ndio nimeelewa kuwa kwanini wafanyabiashara wengi wanafunga Biashara wanakimbilia Rwanda na Zambia kumbe kisa ni Brela - JPM please pita pale Brela lile liwaziri uliloliweka na likurugenzi lake ni kazi Bure kabisa. Fukuza wote hapo hata hao wafanyakazi wa Brela rushwa tupu fukuza... vijana wako wengi wenye Degree na Masters za Business Administration huko mtaani watakushukuru sana ukiwaajiri.
Ushauri kwa Mkurugenzi wa Brela
1 - Toka hapo Ofisini kwako kila siku na uanze kuuliza wateja wako mmoja mmoja anahitaji nini utashangaa sana.
2 - Fungua Ofisi zote hapo/bomoa kabisa hayo ma-partition yenu, yanaficha walarushwa tu... hao Staff wako wakae na wateja uso kwa uso mezani,
akiinuka mteja mmoja anakaa mwingine anahudumiwa
sio wamejifungia wanakunywa chai masaa yote na kupiga umbea huko Ofisini
3 - Walipa kodi sio hao wahindi pekee mnaowaita Ofisini mnawahudumia alafu wa-Bongo mnawadharau... Hudumia watu wote sawa.
4 - Hakikisha unawapa malengo na namba hao Staff wako.... inaonekana Staff wanapiga stori na kula lunch tyuu jioni wanaondoka.
Ushauri kwa Waziri wa Viwanda na Biashara
1 - Tembelea Brela mara kwa mara... kwani ndio sehemu/kitovu kikuu chaa kazi zako, kagua kazi hadi za Junior Staff wa Brela na usiogope mtu
2 - Hakikisha unamuwekea Targets and Numbers huyo Mkurugenzi wa Brela hana mawazo ya kazi huyo anavyoonekana.
3 - Ongea na wafanyabiashara mara kwa mara watakueleza mengi sana.
Ushauri kwa Rais -JPM (The Field Marshall)
1 - Huku Mtaani kuna vijana wazuri sana kwenye kazi kama watu hawajui nini cha kufanya piga chini ajiri wataalaam walioko mtaani ni wazuri sana.
Hata wakurugenzi wapo pia Mtaani utawapata.
2 - Tuma timu yako ile ya kazi watakuthibitishia haya yaliyoandikwa hapa.
Naamini nimewakilisha vyema - Kuna watu najua wakiiona hii Taarifa watakuwa wamefarijika sana na wengine watakuwa wameumia hasa waliokuwa wameweka ndoano zao kunasa rushwa na kwa kuwa walizoea kuwaumiza wenzao
ANAYEJISIKIA KUTUKANA ATUKANE KWA RAHA ZAKE
Today the Volcano Temperature has decreased to 25,980 Degree Centigrade
Uncle Magu pitia pale Brela kumbe unatupiwa lawama nyiiingi, kuhusu biashara - Wahuni wameisha jenga ngome yao pale Brela. wako kwa ajiri ya Maslahi yao, matumbo yao tu pale wala sio kazi ya Umma, Brela imefikia hatua kuombwa rushwa ni hadharani tena bila uoga kabisa.
Pole kijana uliyekumbwa na kadhia hii .... Wanasheria wa ma-kampuni najua mnajisikiaje na Brela yetu (Asanteni kwa kuliweka hili wazi)
BRELA NI SHIDA - NI USEMI ULIOZOELEKA SANA KWA WANASHERIA WA MA-KAMPUNI WANAOSHINDA PALE BRELA KWA AJIRI YA SYSTEM
Hivi huyu Waziri mpya wa Viwanda na Biashara - Joseph George Kakunda anajua kama Brela iko chini yake na anatakiwa kufanya kazi zake pale Brela.
au hata hajui majukumu yake ni nini ?
Mkurugenzi Mkuu wa Brela ndio hopeless Kabisa.... Unaingia Kazini kila siku lakini wateja wako ambao ndio wafanya Biashara na walipaji kodi wakubwa hutaki kukutana nao.... What the Hell are you doing in the Office au ndio you have team it up to solicit bribe from Investors.
Nashangaa sana kuona System iliyowekwa Brela imegeuka kuwa kikwazo kikubwa kwa wafanya Biashara, Ku-update information kwenye System badala iwe jambo la nusu saa umemaliza sasa limekuwa Jambo la Mwaka Mzima, na huwezi fanya kitu kingine hadi umemaliza ku-update information kwenye System, hivi mnajua mnainyima serikali kodi kiasi gani kwa ujinga wenu huu nyie Brela? Yaani Staff wa Brela wanafikiria wanajua sana kuliko hawa Entrepreneurs/Investors wenye ma-degree kibao, na wamejiajiri pia wakaajiri watu wengine kibao.
Brela badala ya kumwambia mtumiaji wa System kuwa unatakiwa kuwasilisha Nyaraka zifuatazo na ukaziorodhesha hapo chini zoote hata kama ni nyaraka 20 na ukamwambia mtu anatakiwa afanye kitu gani ? wewe unamwambia mtu aweke nyaraka moja kama vile amemaliza ? akiisha-upload hiyo nyaraka moja unamrudishia tena kuwa aweke tena nyaraka nyingine, kwa nini usimwambie aweke zote ? Ujinga sana baadae unamwambia aweke nyingine tena, na kila nyaraka inakaa huko kwenu zaidi ya wiki mbili ndio mnarudisha kwa mtumiaji... what the hell are you to consume investors working hours ??
Yule Mzee aliyepiga Kelele hapo Ofisini kwenu muoneeni huruma ametoka Mkoani kuja kushughulikia swala hilo tu baada ya kuona anacheleweshwa, mnajua ametumia pesa kiasi gani kwa kulala Hotelini, kuja na kushinda hapo kwenu kila siku, ameishakaa hapa Dar es Salaam zaidi ya mwezi mzima.
Sasa ndio nimeelewa kuwa kwanini wafanyabiashara wengi wanafunga Biashara wanakimbilia Rwanda na Zambia kumbe kisa ni Brela - JPM please pita pale Brela lile liwaziri uliloliweka na likurugenzi lake ni kazi Bure kabisa. Fukuza wote hapo hata hao wafanyakazi wa Brela rushwa tupu fukuza... vijana wako wengi wenye Degree na Masters za Business Administration huko mtaani watakushukuru sana ukiwaajiri.
Ushauri kwa Mkurugenzi wa Brela
1 - Toka hapo Ofisini kwako kila siku na uanze kuuliza wateja wako mmoja mmoja anahitaji nini utashangaa sana.
2 - Fungua Ofisi zote hapo/bomoa kabisa hayo ma-partition yenu, yanaficha walarushwa tu... hao Staff wako wakae na wateja uso kwa uso mezani,
akiinuka mteja mmoja anakaa mwingine anahudumiwa
sio wamejifungia wanakunywa chai masaa yote na kupiga umbea huko Ofisini
3 - Walipa kodi sio hao wahindi pekee mnaowaita Ofisini mnawahudumia alafu wa-Bongo mnawadharau... Hudumia watu wote sawa.
4 - Hakikisha unawapa malengo na namba hao Staff wako.... inaonekana Staff wanapiga stori na kula lunch tyuu jioni wanaondoka.
Ushauri kwa Waziri wa Viwanda na Biashara
1 - Tembelea Brela mara kwa mara... kwani ndio sehemu/kitovu kikuu chaa kazi zako, kagua kazi hadi za Junior Staff wa Brela na usiogope mtu
2 - Hakikisha unamuwekea Targets and Numbers huyo Mkurugenzi wa Brela hana mawazo ya kazi huyo anavyoonekana.
3 - Ongea na wafanyabiashara mara kwa mara watakueleza mengi sana.
Ushauri kwa Rais -JPM (The Field Marshall)
1 - Huku Mtaani kuna vijana wazuri sana kwenye kazi kama watu hawajui nini cha kufanya piga chini ajiri wataalaam walioko mtaani ni wazuri sana.
Hata wakurugenzi wapo pia Mtaani utawapata.
2 - Tuma timu yako ile ya kazi watakuthibitishia haya yaliyoandikwa hapa.
Naamini nimewakilisha vyema - Kuna watu najua wakiiona hii Taarifa watakuwa wamefarijika sana na wengine watakuwa wameumia hasa waliokuwa wameweka ndoano zao kunasa rushwa na kwa kuwa walizoea kuwaumiza wenzao
ANAYEJISIKIA KUTUKANA ATUKANE KWA RAHA ZAKE
Today the Volcano Temperature has decreased to 25,980 Degree Centigrade