BRELA system yenu ni kuharibu kazi au mmetega rushwa?

BRELA system yenu ni kuharibu kazi au mmetega rushwa?

Mkuu.... Huyo jamaa waliomwambia awasilishe document ukute aliwaachia pesa, wale hawafanyi kazi bure hata kama wanakujua, Sijui kwanini Rais John Pombe Joseph Magufuli hajapata hii taarifa wakati kila siku watu wanawalalamikia. au wasaidizi wa Magufuli nao pia ni wazembe pia ?
Kusajili kampuni kwa sasa Brela ni mtihani
Kwanza kitambulisho cha NIDA ambacho nacho ni mtihani kukipata
Pili mpaka uje umalize process nzima ya Memart na kuupload documents na jina likubaliwe ushamaliza miezi kadhaa
Wakati kipindi cha zamani one week ushafanya search ya jina na ushasaini Memart zakjo na accompanied forms ushazituma Brela na kurudi unaanza mchakato wa business license na TIN na mambo mengine
Ila kwa sasa hata mwezi unaweza umalize wakati unatafuta kusajili kampuni
 
Kusajili kampuni kwa sasa Brela ni mtihani
Kwanza kitambulisho cha NIDA ambacho nacho ni mtihani kukipata
Pili mpaka uje umalize process nzima ya Memart na kuupload documents na jina likubaliwe ushamaliza miezi kadhaa
Wakati kipindi cha zamani one week ushafanya search ya jina na ushasaini Memart zakjo na accompanied forms ushazituma Brela na kurudi unaanza mchakato wa business license na TIN na mambo mengine
Ila kwa sasa hata mwezi unaweza umalize wakati unatafuta kusajili kampuni

Kiongozi ni kwamba.... Utamaliza hiyo kazi yako baada ya miezi, sio mwezi tena, we si unaendelea kwenda pale BRELA, utaniambia, watakusumbua wewe hadi utakoma mwenyewe. Sasa hata ukiwa na hizo docs... Kitambulisho cha NIDA, na nyingine nyingi tu watakwambia kajaze hayo ma-form yao ndio hapo sasa utanza kujua vizuri kuwa BRELA ina rangi gani.
 
Kiongozi ni kwamba.... Utamaliza hiyo kazi yako baada ya miezi, sio mwezi tena, we si unaendelea kwenda pale BRELA, utaniambia, watakusumbua wewe hadi utakoma mwenyewe. Sasa hata ukiwa na hizo docs... Kitambulisho cha NIDA, na nyingine nyingi tu watakwambia kajaze hayo ma-form yao ndio hapo sasa utanza kujua vizuri kuwa BRELA ina rangi gani.

Mkuu nishachoka wacha tuu
Mi client aliniona sifanyi kazi bana nikampa password na account yangu nikamwambia haya mama kazi yako hiyo hapo wasiliana na Brela
Ana mwezi mpaka sasa hivi tatizo lile lile anatuma docs zinaenda zinamaliza wiki mbili zinarudi badilisha hapa weka hiki ambacho tayari ashatuma toka mwaka jana
Akaona iswe tabu akaenda Brela face to face kazungushwa corridor za pale wee akitegemea within two days atakuwa amemalzia
Wiki akiwa dar na hkufanikiwa lolote bado aaambiwa kajaze form hii kajaxe jii
Mpaka leo mwezi mzima anahangaika tuu na account yangu na password mpaka ya email anayo
 
Kiongozi ni kwamba.... Utamaliza hiyo kazi yako baada ya miezi, sio mwezi tena, we si unaendelea kwenda pale BRELA, utaniambia, watakusumbua wewe hadi utakoma mwenyewe. Sasa hata ukiwa na hizo docs... Kitambulisho cha NIDA, na nyingine nyingi tu watakwambia kajaze hayo ma-form yao ndio hapo sasa utanza kujua vizuri kuwa BRELA ina rangi gani.

Mimi kwa sababu wamenikwamisha zaidi ya mwaka sasa... nimeamua huu uzi kuusambaza kwenye magrupu ya whatsapp na mitandao mingine ya kijamii ili uwafikie watu wengi iwezekananvyo, najua ukitembea sana basi Magufuli ataupata inaweza ikatusaidia kwa kiwango flani.... kwa hiyo mkuu tujitahidi kuwaanika hawa jamaa kwenye maitandao hadi taarifa zifike kwa wahusika.
 
Mkuu nishachoka wacha tuu
Mi client aliniona sifanyi kazi bana nikampa password na account yangu nikamwambia haya mama kazi yako hiyo hapo wasiliana na Brela
Ana mwezi mpaka sasa hivi tatizo lile lile anatuma docs zinaenda zinamaliza wiki mbili zinarudi badilisha hapa weka hiki ambacho tayari ashatuma toka mwaka jana
Akaona iswe tabu akaenda Brela face to face kazungushwa corridor za pale wee akitegemea within two days atakuwa amemalzia
Wiki akiwa dar na hkufanikiwa lolote bado aaambiwa kajaze form hii kajaxe jii
Mpaka leo mwezi mzima anahangaika tuu na account yangu na password mpaka ya email anayo

Pole sana Mkuu.... Kiukweli wanatutesa sana, wewe usikate tamaa, dawa ni kuwaanika tu sasa hivi, hakuna kuwaonea huruma sasa kama wanakusababishia unapoteza uaminifu kwa Mteja wako ujue ni shida kubwa sana.
Hawa wateja wetu ndio wanaotuweka mjini, ndio wanafanya Ofisi zetu ziwepo. Kaka komaa nao, na tusiache kupeleka huu uzi kwenye mitandao mingine tuwamalize na wao.
 
Pole sana Mkuu.... Kiukweli wanatutesa sana, wewe usikate tamaa, dawa ni kuwaanika tu sasa hivi, hakuna kuwaonea huruma sasa kama wanakusababishia unapoteza uaminifu kwa Mteja wako ujue ni shida kubwa sana.
Hawa wateja wetu ndio wanaotuweka mjini, ndio wanafanya Ofisi zetu ziwepo. Kaka komaa nao, na tusiache kupeleka huu uzi kwenye mitandao mingine tuwamalize na wao.
Hakuna shida mkuu tutafanya hivyo maana kazi zetu zinalala sana kwa sababu ya mambo ya Brela na hii system yao ambayo haieleweki kabisa
 
Hakuna shida mkuu tutafanya hivyo maana kazi zetu zinalala sana kwa sababu ya mambo ya Brela na hii system yao ambayo haieleweki kabisa

Big Up Sana .... End of day we must win, cause we are in the right channel and they are in the wrong way. HAKUNA KUFELI HAPA.
 
Binafsi nashukuru sana kwa huu mfumo wa BRELA ORS! tayari nimesajili zaidi ya makampuni 11 tangu Aprili, 2018!

Changamoto zipo ila sio kama mfumo wa zamani! Hasa kwa sisi wa mikoani!

Cha msingi waboreshe kitengo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu. Kuna siku nimepiga simu kuomba msaada, jamaa aliyepokea anauliza "unajua computer wewe? Tafuta mtu akusaidie, mimi huwezi kunielewa"
Nikamuuliza ni documents gani za kuambatanisha na je naambatanisha kwa mkupuo? Akajibu "kwani wewe una documents gani hapo, usiniulize mimi we ambatanisha tu"
Nilichoka! Ila nilimwambia yeye hana sifa ya kuwa kitengo kile!

Zaidi ya yote, kama mtu anakwama sehemu (kwenye online) aje inbox tushauriane (bure) au anahitaji kufanyiwa kazi ya BRELA tuwasiliane!
 
Binafsi nashukuru sana kwa huu mfumo wa BRELA ORS! tayari nimesajili zaidi ya makampuni 11 tangu Aprili, 2018!

Changamoto zipo ila sio kama mfumo wa zamani! Hasa kwa sisi wa mikoani!

Cha msingi waboreshe kitengo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu. Kuna siku nimepiga simu kuomba msaada, jamaa aliyepokea anauliza "unajua computer wewe? Tafuta mtu akusaidie, mimi huwezi kunielewa"
Nikamuuliza ni documents gani za kuambatanisha na je naambatanisha kwa mkupuo? Akajibu "kwani wewe una documents gani hapo, usiniulize mimi we ambatanisha tu"
Nilichoka! Ila nilimwambia yeye hana sifa ya kuwa kitengo kile!


Dah... Kiongozi utakuwa na Bahati sana kama umeishasajili makampuni 11, Hongera sana.
Kiukweli Mfumo wote wa ORS ni mzuri sana, tena sana.... ujue ulitakiwa kusajili Kampuni 11 ndani ya saa moja tu na wala sio Mwaka mzima, kwa sababu kitendo cha ku-Scan na ku-Upload hata kama una Kampuni, 15 ni kitendo cha saa moja tu umemaliza.
Na pia nahisi hadi umefanikiwa kusajiri hizo Kampuni zote kuna kitu uliongea nao labda... kwa sababu huo Usumbufu uliopo hapo BRELA sijui kama kuna Mtu ulimuacha salama.... ila kama wateja wako ni Wahindi pia inaweza kuwa sababu ya wewe kuharakishiwa usajili wako Kiongozi.

Hiyo Tabia ya kuambia watumiaji wa Mfumo kuwa hawajui Computer ndio sababu yao kubwa kabisa.... tena ukute Kiongozi wewe unaelimu kubwa sana ya Kompyuta kuliko hata huo Ofisa wa Brela lakini anakujibu na kukudhalilisha hadi unafikiria labda huyu Ofisa ndio mgunduzi wa Kompyuta duniani.
 
Binafsi nashukuru sana kwa huu mfumo wa BRELA ORS! tayari nimesajili zaidi ya makampuni 11 tangu Aprili, 2018!

Changamoto zipo ila sio kama mfumo wa zamani! Hasa kwa sisi wa mikoani!

Cha msingi waboreshe kitengo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu. Kuna siku nimepiga simu kuomba msaada, jamaa aliyepokea anauliza "unajua computer wewe? Tafuta mtu akusaidie, mimi huwezi kunielewa"
Nikamuuliza ni documents gani za kuambatanisha na je naambatanisha kwa mkupuo? Akajibu "kwani wewe una documents gani hapo, usiniulize mimi we ambatanisha tu"
Nilichoka! Ila nilimwambia yeye hana sifa ya kuwa kitengo kile!

Zaidi ya yote, kama mtu anakwama sehemu (kwenye online) aje inbox tushauriane (bure) au anahitaji kufanyiwa kazi ya BRELA tuwasiliane!


Yaani bado nafikiria haya majibu ya
"unajua computer wewe? Tafuta mtu akusaidie, mimi huwezi kunielewa"
"kwani wewe una documents gani hapo, usiniulize mimi we ambatanisha tu"
Kiukweli wanatuona wa-Tanzania kama vile wote ni wajinga kama walivyo wao..... washenzi sana hawa
 
Dah... Kiongozi utakuwa na Bahati sana kama umeishasajili makampuni 11, Hongera sana.
Kiukweli Mfumo wote wa ORS ni mzuri sana, tena sana.... ujue ulitakiwa kusajili Kampuni 11 ndani ya saa moja tu na wala sio Mwaka mzima, kwa sababu kitendo cha ku-Scan na ku-Upload hata kama una Kampuni, 15 ni kitendo cha saa moja tu umemaliza.
Na pia nahisi hadi umefanikiwa kusajiri hizo Kampuni zote kuna kitu uliongea nao labda... kwa sababu huo Usumbufu uliopo hapo BRELA sijui kama kuna Mtu ulimuacha salama.... ila kama wateja wako ni Wahindi pia inaweza kuwa sababu ya wewe kuharakishiwa usajili wako Kiongozi.

Hiyo Tabia ya kuambia watumiaji wa Mfumo kuwa hawajui Computer ndio sababu yao kubwa kabisa.... tena ukute Kiongozi wewe unaelimu kubwa sana ya Kompyuta kuliko hata huo Ofisa wa Brela lakini anakujibu na kukudhalilisha hadi unafikiria labda huyu Ofisa ndio mgunduzi wa Kompyuta duniani.
Mkuu hakuna mtu namfahamu pale BRELA, na hizo kampuni 11 ndio wateja niliopata, lakini wangekuwa zaidi ya hao pia idadi ingeongezeka!

Kama unavyosema, mfumo wa ORS ni mzuri sana, tatizo ni watoa huduma (baadhi). BTW zile simu muda mwingi unakuta hazipatikani na zikipatikana kupokea ni nadra na wakipokea ndio unakutana na attendant mwingine kimeo! 😧😧
 
Urasimu husababisha mazingira ya rushwa!! Malipo ya fomu ni kidogo sana lakini afisa anayehudumia huenda anachukua rushwa zaidi ya malipo serikali inayoyapata!
 
Urasimu husababisha mazingira ya rushwa!! Malipo ya fomu ni kidogo sana lakini afisa anayehudumia huenda anachukua rushwa zaidi ya malipo serikali inayoyapata!

Kiongozi hili ndio hasa linafanyika... Serikali inapata pesa kidogo sana ukilinganisha na pesa inayoingia mifukoni mwa hawa Staff wa Brela. unaambiwa wale jamaa pale Brela ni Matajiri kuliko unavyoweza kufikiria.
 
Binafsi nashukuru sana kwa huu mfumo wa BRELA ORS! tayari nimesajili zaidi ya makampuni 11 tangu Aprili, 2018!

Changamoto zipo ila sio kama mfumo wa zamani! Hasa kwa sisi wa mikoani!

Cha msingi waboreshe kitengo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu. Kuna siku nimepiga simu kuomba msaada, jamaa aliyepokea anauliza "unajua computer wewe? Tafuta mtu akusaidie, mimi huwezi kunielewa"
Nikamuuliza ni documents gani za kuambatanisha na je naambatanisha kwa mkupuo? Akajibu "kwani wewe una documents gani hapo, usiniulize mimi we ambatanisha tu"
Nilichoka! Ila nilimwambia yeye hana sifa ya kuwa kitengo kile!

Zaidi ya yote, kama mtu anakwama sehemu (kwenye online) aje inbox tushauriane (bure) au anahitaji kufanyiwa kazi ya BRELA tuwasiliane!
Kwenye majibu ya HOVYO wapo vizuri sana kuna lidada lina sauti nzito ukikutana nalo lazima uichukie Brela.Kwanza kichwani hamna kitu sijui amepataje kazi! Yaani wanaingiza sana hasara kuscan documents kwa uzembe wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye majibu ya HOVYO wapo vizuri sana kuna lidada lina sauti nzito ukikutana nalo lazima uichukie Brela.Kwanza kichwani hamna kitu sijui amepataje kazi! Yaani wanaingiza sana hasara kuscan documents kwa uzembe wao

Sent using Jamii Forums mobile app

Kiukweli hiyo ndio hali halisi ya pale BRELA... alipokuwepo Waziri Kaijage, kulikuwa nafuu sana lakini huyu aliyepo ni balaa, sijui wanamdharau sana au hajui kazi yake ni nini. Mi nashangaa kuna mtu anasema..... System ndio Tatizo mimi binafsi naona kabisa System ndio mkombozi wetu sisi wafanya Biashara lakini kikwazo kikubwa ni hao watendaji wa Brela.
Wale Watendaji woote hawana akili kabisa na wanadharau utafikiria BRELA ni mali yao binafsi. Kaka Mwaka huu tukomae nao hadi kieleweke. hizi hasara za intaneti, kuprinti na kuskani, wanazotutia kila siku ni bora sasa ziwatokee puani.
 
Back
Top Bottom