BRELA system yenu ni kuharibu kazi au mmetega rushwa?

BRELA system yenu ni kuharibu kazi au mmetega rushwa?

Pale watu wamewekwa kiundugu undugu. Kazi hawafanyi shida tupu? Yaaani hii Nchi shida sana, ndugu zangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu... ni kweli kabisa kwa sababu kama umeingia kwa Qualifications huwezi haribu Carrier kwa kujibu watu vibaya namna ile... watakuwa hawajasoma na wameletwa na ndugu zao tu hapo.
 
Kusajili kampuni kwa sasa Brela ni mtihani
Kwanza kitambulisho cha NIDA ambacho nacho ni mtihani kukipata
Pili mpaka uje umalize process nzima ya Memart na kuupload documents na jina likubaliwe ushamaliza miezi kadhaa
Wakati kipindi cha zamani one week ushafanya search ya jina na ushasaini Memart zakjo na accompanied forms ushazituma Brela na kurudi unaanza mchakato wa business license na TIN na mambo mengine
Ila kwa sasa hata mwezi unaweza umalize wakati unatafuta kusajili kampuni

Mkuu Pole sana... Navyofahamu Mwezi itakuwa ni kupata jina tu, bado sasa ujaanza kuzungurushwa, nenda rudi nenda rudi hadi miezi sita itaka uko hapo hapo tuu.
 
Back
Top Bottom