Mimi ninachokifahamu ni kwamba Tanzania gari yenye 2500CC na kuendelea ina resale value ndogo sana..pia watu wengi wanapenda kuweka mafuta ya 10,000-15,000 na wanataka wazunguke misele mingi huku kiyoyozi kipo na ukiangalia vizuri brevis inatumia kuanzia 5km/l - 6km/l sasa kwa mtu anayetaka kuweka mafuta ya 10,000-15,000 lazima alalamike gari za CC kubwa.Unaweza kunipa jibu nilielewe kua kwa nini Brevis nyingi mtaani zinauzwa million 5,6 au 4.5 na muuzaji ana kwambia amenunua mwaka mmoja tu ulio pita,na alinunua million 13 au 12.5 then 1 year anauzaa million 5 na ukimtazama na kumfatilia ni mtu wa maisha ya kawaida asiyeweza kununua gari kwa Million 13 na baada ya mwaka mmoja akauza Million 5. Why? Yamkini unaelewa ila unataka kubishana bishana tu kusiko na maana
Umehama mada..kwanza kwa taarifa yako na huo ukubwa wa engine wala haitumii 5km per litter si kweli, zinatumia 8km per litter- 8.5Mimi ninachokifahamu ni kwamba Tanzania gari yenye 2500CC na kuendelea ina resale value ndogo sana..pia watu wengi wanapenda kuweka mafuta ya 10,000-15,000 na wanataka wazunguke misele mingi huku kiyoyozi kipo na ukiangalia vizuri brevis inatumia kuanzia 5km/l - 6km/l sasa kwa mtu anayetaka kuweka mafuta ya 10,000-15,000 lazima alalamike gari za CC kubwa hivyo uunatakiwa walau uwe na uwezo wa kuweka 50,000-80,000 kwa siku 4-7 sasa kibongo bongo watu wenye uwezo huo ni wachahce sana ndo maana hadi leo hii Premio, IST resale value yake bado ipo juu Crown zenyewe watu hawakai nazo sababu ya gharama za uendeshaji
Wewe si unayo brevis piga picha kwenye screen ya navigation ikionesha fuel economy reading ya 8-8.5km/l tuone... sijahama mada kama nilivyokiwisha kukueleza awali inaonekana una kariri sana mkuuUmehama mada..kwanza kwa taarifa yako na huo ukubwa wa engine wala haitumii 5km per litter si kweli, zinatumia 8km per litter- 8.5
Chevrolet wazijua boss?Wamarekani wanatengeneza gari mbaya kimuonekano.
Ujerumani ndo baba lao kwa gari makini kimuonekano.
Wewe wala hujui gari..kuna mada yako ipo humu unauliza kwa nini Brevis na Xtrail ni ngumu kuuza,yani hujui chochote wewe. Kwheri aisee..sikujua nabishana na mtu mwepesi kwenye magari na wewe lazima ni mtoto wa mama,mala unalalamikia kupanda kwa bei za mafuta aisee...Wewe si unayo brevis piga picha kwenye screen ya navigation ikionesha fuel economy reading ya 8-8.5km/l tuone... sijahama mada kama nilivyokiwisha kukueleza awali inaonekana una kariri sana mkuu
Fundi mwingine ukimsimamia anatoka uvinguniUpoteze kumsimamia fundi. Wenzetu hamnaga kazi za kufanya?
Itakua umenifananisha mkuu we fatilia michango yangu humu jukwaani nasukuma chuma cha wanaume KZN130 sijawahi kulalamika mafuta kupanda bei hata siku moja, wewe weka picha ya fuel economy hapo, sijawahi kutamani kuendesha au kumiliki Brevis wala X - Trail hahahaWewe wala hujui gari..kuna mada yako ipo humu unauliza kwa nini Brevis na Xtrail ni ngumu kuuza,yani hujui chochote wewe.
Kwheri aisee..sikujua nabishana na mtu mwepesi kwenye magari na wewe lazima ni mtoto wa mama,mala unalalamikia kupanda kwa bei za mafuta aisee...
Unaweza kunipa jibu nilielewe kua kwa nini Brevis nyingi mtaani zinauzwa million 5,6 au 4.5 na muuzaji ana kwambia amenunua mwaka mmoja tu ulio pita,na alinunua million 13 au 12.5 then 1 year anauzaa million 5 na ukimtazama na kumfatilia ni mtu wa maisha ya kawaida asiyeweza kununua gari kwa Million 13 na baada ya mwaka mmoja akauza Million 5. Why? Yamkini unaelewa ila unataka kubishana bishana tu kusiko na maana
Asante kwa kutujuza aiseeMkuu bongo wapo, Geartech Tanzania (Gtp) wapo Kijito nyama. Hao ndio wababe wa modifications kwa hapa Bongo.
Una mada za kulalamikia mafuta toka mwaka 2016-2018Itakua umenifananisha mkuu we fatilia michango yangu humu jukwaani nasukuma chuma cha wanaume KZN130 sijawahi kulalamika mafuta kupanda bei hata siku moja, wewe weka picha ya fuel economy hapo, sijawahi kutamani kuendesha au kumiliki Brevis wala X - Trail hahaha
Huo ulikua ni uchambuzi binafsi wa trend ya mafuta inavyokwenda ambao unaweza kumsaidia mtu yoyote ile kufanya uamuzi katika kununua gari kwaio wewe ukatafsiri ni malalamiko duuh kweli jamaa unatabu sana...umepaniki enh?Una mada za kulalamikia mafuta toka mwaka 2016-2018View attachment 1467862View attachment 1467865View attachment 1467866
Zishaanza kushuka mkuu,zilikua zinasimamia kwenye 11 now zishafika 9 bei ya kuanzia,mpaka dec zinaweza kufika 6 πMi tuliyokaa nayo miaka minne tumekataa 6.5 ili tumuuzie ndugu kwa 6. Dalali alitaka atupe 5.5 tukakataa. Jua tu kuwa kikubwa pia kinachoshusha bei za magari ni engine kubwa kama ya brevis inayokula mafuta, na hii ni trend hapa bongo. Uliza vizuri hao rafiki zako wakikaaje nazo brevis hadi zikawasumbua hivyo.
Brevis inakula mafuta na ni kawaida ya gari nyingi za kijapan ambazo ni super comfortable, kwa sababu ya size ya engine.
Subiri bei za Crown mwakani.
Jamaa wapo vizuri mkuu ukitaka kufanya modifications au tunnings hapo ndio kwao.Asante kwa kutujuza aisee
Kosa kubwa sana.Mpe hela akanunue vitu vingine ila siyo oilHizo 2,000 kms ulizozidisha kwenye standard ya 3,000kms/ service ndo zimeua engine yako. Mafundi unampa hell ya kununua Castrol Oil anaweka Total au za kupima. Anaenda kumalizia nyumba yake chanika huko
Haa!Lazima uhakikishe spare uliyonunua imefungwa.Kama hataki akae mbali.Poa spare naenda kununua mwenywe!Kuna wakati kununua mwenyewe anakwambia hii siyo nzuri na siwezi kufunga.Jibu ni nahisi tu.Gari ni yangu wewe fungal!Fundi mwingine ukimsimamia anatoka uvinguni
anakwambia "boss ingia nisaidie kupaka hii grisi"
ukimwambia huwezi,anakwambia Basi ondoka niache nifanye
kazi ako nikimaliza nitakuita,maswala ya kusimamiana sio kabisa.
Mi ninayo mwaka wa tano huu, haina shida yeyote ya ajabu ambayo magari mengine huwa hayapati, ninachokiona hapa ni chuki kwa wanaoweza kumudu gharama za mafuta, acheni chuki mbwa nyie, na mafuta ndio yameshuka bei sasa, tafuteni lingine la kusema
Hahah, hivi engine ipi hiyo haina cylinder? Au ya umeme?INAKULA MAFUTA KAMA JINI LA ZANZIBAR, CHEZEA GARI YENYE SILINDER NA CC KUBWA KAMA YOTE