FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kiukweli kwa foleni za Dar huwa inasoma 6.5km/l, ila kwa safari huwa naona inasoma hasi 11km/lWewe si unayo brevis piga picha kwenye screen ya navigation ikionesha fuel economy reading ya 8-8.5km/l tuone... sijahama mada kama nilivyokiwisha kukueleza awali inaonekana una kariri sana mkuu
Si unaona sasa mwamba hapo juu anasema inasoma 8.5km/l kitu ambacho hakina uhalisia kabisaKiukweli kwa foleni za Dar huwa inasoma 6.5km/l, ila kwa safari huwa naona inasoma hasi 11km/l
ipo nyingine Brevis inauzwa 5M mazungumzo yapoIlishauzwa mkuu
ulaji wanmafuta kwa wastani upoje?.Mi haya matatizo sijawahi kuexperience na ni mmoja wa watu ambao ukiniambia ninunue sedan comfortable ya bei nzuri leo ntaifikiria. Gari ni namba DCS na ilinunuliwa na km zaidi ya laki. Na imepiga mzigo hapa dar on daily basis na safari kadhaa including nyingi za dar-moro na 1 Dar - Arusha nikiendesha mwenyewe.
Kiufupi kama kweli hizi gari zina shida kiasi hiki basi mi ntakuwa nina bahati nayo. Engine haijawahi kuguswa labda umeme kuna kitu ilisumbua ila sikumbuki ni nini na halikuwa issue kubwa. Maintenance nyingine zilikuwa za kawaida kama za gari nyingine.
50,000/= per week mbona hela ya mkeka mmoja tu hapo WA siku moja!... hahahaMimi ninachokifahamu ni kwamba Tanzania gari yenye 2500CC na kuendelea ina resale value ndogo sana..pia watu wengi wanapenda kuweka mafuta ya 10,000-15,000 na wanataka wazunguke misele mingi huku kiyoyozi kipo na ukiangalia vizuri brevis inatumia kuanzia 5km/l - 6km/l sasa kwa mtu anayetaka kuweka mafuta ya 10,000-15,000 lazima alalamike gari za CC kubwa.
hivyo uunatakiwa walau uwe na uwezo wa kuweka 50,000-80,000 kwa siku 4-7 sasa kibongo bongo watu wenye uwezo huo ni wachahce sana ndo maana hadi leo hii Premio, IST resale value yake bado ipo juu Crown zenyewe watu hawakai nazo sababu ya gharama za uendeshaji
Story tu za vijiwe Mkuu hana hata baiskeliShipa kivipi hebu fafanua ya kwako ilikuwa na matatizo gani?
Daah mil 5 na bado inataka matengenezo?Hio jau tayari mzee baba.ipo nyingine Brevis inauzwa 5M mazungumzo yapo
sharti uijue kwanza hiyo gari, pili inahitaji matengenezo
ipo Uhindini nyuma ya Paradise Cinema
11km/l mbona Resonable ,,ukilalamikia hili I.S.T huzioni?..Si unaona sasa mwamba hapo juu anasema inasoma 8.5km/l kitu ambacho hakina uhalisia kabisa
[emoji3][emoji3][emoji3] jf idumuuuuUsikute za wizi hizo ukaishia Sege-dansi ukose kujifukiza/Nyungu Season 3
Mimi naendesha gari ina 2980CC mkuu ukifuatilia hapo juu mlolongo unaweza kuelewa vizuri...11km/l mbona Resonable ,,ukilalamikia hili I.S.T huzioni?..
Ww hilo la kwako uliloagiza utakapolichoka utamuuzia nani kama watu wote watafanana na wewe mtazamo? Au Uta export na wewe?Ushauri maana usinunue gari inayouzwa na mtu mweusi agiza moja kwa moja anapouza jua ina tatizo au kuna tatizo linakuja kutokea
Haiwezekani brevis zote ziwe za wizi maana karibu zote zinauzwa cheap. Huwezi iba gari ukalitangaza kama lilivyo. Ukibadili namba itakulazimu kubadili kadi, mnunuzi ahakiki kadi tu TRA na polisi kujiridhisha. Kuna sababu nyingine zinazosababisha bei kuwa chini.Isiibiwe kwa sababu Ni nzito au?
Inaonekana hujaelewa kitu...kilichokua kinazingumziwa50,000/= per week mbona hela ya mkeka mmoja tu hapo WA siku moja!... hahaha
Kwa ilivyo nadhani inahitaji modification flan ili ifitSwali zuri sana mkuu...coz brevis tatizo ingine tu ila muonekano wa nje imekaa poa sana..
Nilichokielewa ndo nilicho comment!..Inaonekana hujaelewa kitu...kilichokua kinazingumziwa