Brigadier Ahmed Takadiri Kitete: Shujaa aliyepiganisha vita toka Kagera mpaka Koboko alikozaliwa Idi Amin

Kwa hisani ya JF.

Jenerally Silas Mayunga - Mti Mkavu

 
Jana pia kashiriki katika kuwaenzi mashujaa wetu .
 
Please please, wapo watu wa kukusaidia dondoo za kuchokoza mada kabla ya kuwaona wahusika.

Fanyia kazi mkuu, hili ni jema kwako na kwa Taifa na najua unaliweza bila chembe ya shaka.
Ni miaka mitatu sasa
Asanteni kunikumbusha
Bado sijafanikiwa kupata muda, na sijui kama wale ma source wangu wawili wakuu kama bado wapo!.
P
 
Asante, zile hoja za Brigadier Ahmed Takadiri Kitete: Shujaa aliyepiganisha vita toka Kagera mpaka Koboko alikozaliwa Idi Amin bado zinahusu!.
P
 
kwa msaada wa mitandao
Ukwaju na JokaKuu Nawashukuru kwa kunikumbusha mbali sana!!Nimesoma na nimekumbuka kuna sehemu nyingi niliandika mimi kwenye JF Niliandika VITA VYA KAGERA- HISTORIA YANGU SEHEMU YA KWANZA,PILI NA YA TATU.Labda nipende kukurekebisha kwenye andiko lako Ukwaju umeandika hivi( Luteni General Twalipo alipandishwa cheo tena na kuwa General,ambapo chief of staff wa Jeshi akawa na cheo cha Luteni General. Baadaye sana cheo cha Brigadier kikabadilishwa na kuwa Brigadier General) Hapo ondoa neno KIKABADIRISHWA Sijui sentensi nzima hiyo uliitoa wapi maana kwenye andiko langu hakuna sentesi kama hiyo hata nakushukuru sana umenirudisha Frontline kama tulivyokuwa tunasema kipindi hicho!!!!
[/QUOTE]
Naendelea kuifuatilia hii kitu!.
P
 
Noted
P
 
Samahani mkuu hili ulifanikiwa kulitekeleza?
 
Tanzania tumebarikiwa kuwa na hazina kubwa ya wazalendo walioipigania sana nchi hii, tutafute namna ya kuhifadhi historia hii iliyotukuka na kujenga wazalendo wengine bora zaidi
 
JokaKuu mara nyingi sana tumeongelea manguli wa JWTZ na mmojawapo ni Brig. Gen Abrose Bayeke
Huyu kama unakumbuka niliwahi kueleza jinsi alivyokuwa na ukaribu na askari wa chini. Nilishuhudia hilo

Juzi kapewa heshima kubwa sana pale uwanja wa mashujaa. Kwakweli nilifaraijika sana maana miongoni mwa Askari wa ' kazi' alikuwepo. Walitoa wasifu wake wakisema alikuwa chini ya Maj. Gen Walden. Sasa fikiria mtu huyo amefanya kazi na akina Walden, Mayunga, Maneno, Lt Gen T.Kiwelu na miongoni mwa waliobaki ni Gen Misuguri.
Ametunukiwa nishani 9 kama ulivyoona katika sherehe

Bayeke ni mtu muhimu sana katika historia ya vita vya Kagera na utumishi wa jeshi
Nilisikitika sana Lt Gen Tumainiel Kiwelu alifariki lakini mazishi yake hayakupewa uzito unaostahili

Pascal Mayalla katika kazi yako fanya utaratibu wa kuonana na Bayeke , ana mengi sana ya kueleza. Kuna taarifa za kutatanisha kwamba aliyeongoza infantry kuingia Kampala alikuwa Brig. Gen Bayeke, alkini pia kuna taarifa za Maj Gen Msuya wakati huo akiwa Kanali kama sikosei ndiye aliyeongoza askari kuingia Kampala. Kulikuwa na Brigade ya mashariki na Magharibi na zilipofika Kampala kukaw na ''friendly fire'

Unaona hiyo picha Kitete akiwa na Kiwelu, hapo kuna jambo linapangwa.

Tanzania iliogopeka nyakati hizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…