Brigadier Ahmed Takadiri Kitete: Shujaa aliyepiganisha vita toka Kagera mpaka Koboko alikozaliwa Idi Amin


Halafu ikawaje kwa Brigadia Kitete? Tuanze kuandika sasa. Nimefurahi kuona kuna maandishi ya Edward Moringe Sokoine. Kama hawa wote watakuwa na maandishi, basi watoto wetu watapata wasaa wa kujua nani ni nani na kujiuliza nani alikuwa poyoyo
 

..kuna taarifa / video imetoka hivi karibuni inawatambulisha wakuu wa vikosi waliokuwa chini ya wale makamanda wakuu ambao ni maarufu.

..Ambrose Bayeke, Simba Waziri Simba, Ben Msuya, Lupembe, Gideon Sayore, Maneno, Kisanko, wametambuliwa kwa mchango wao kama wakuu wa vikosi ktk vita vya Kagera.

..kipekee, Ambrose Bayeke ndiye alikuwa 2-I-C wa gwaride la ushindi wa vita vya Kagera pale Bunazi. Parade commander alikuwa Gideon Sayore.

..utakumbuka Sayore alitumikia kama Mkuu wa chuo cha maofisa Monduli, na baadae Mnadhimu Mkuu wa Jwtz.
 
RIEP General Kitete
 

Ameenda wapi?
 
Twendeni basi tukamtandike Kagame....Maana akichukua Goma maana yake mizigo ya bandari yetu kwenda Congo yeye ndio Bossi.......
Sio tunazama kwenye lindi za zilipendwa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…