TANZIA Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Afariki Dunia

TANZIA Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Afariki Dunia

Soma vizuri comment yangu. Nimesema hakuna cheo cha Brigedia, Bali Brigedia Jenerali. Hicho ni cheo cha kwanza kwa ngazi ya Majenerali, name anakuwa name nyota moja. Mfano huwezi kumuita Luteni Jenerali kama Luteni, cheo kina majina mawili, huwezi kutaja moja
Mkuu VP? Sijakuelewa hata ulichomaanisha,
 
Kafanye tena home work yako vizuri. Cheo cha Brigedia hakipo?!! Wakati marehemu alikuwa cheo hicho akiwa Tabora na Alikuwa jirani yangu next door.
Mkuu VP? Sijakuelewa hata ulichomaanisha,
anachosema chamlungu ni sahihi (http://www.uniforminsignia.org/?option=com_insigniasearch&Itemid=53&result=56 ) kwa siku hizi cheo cha Brigedia Generali, lkn kwa sisi na Echolima cheo cha Brigedia Mkuu wa Brigedi kipo na baada ya hapo ni Luteni Generali labda wamebadili maana hata kwenye wiikipedia wanajichanganya
bofya HAPA
General Jenerali
Lieutenant General Luteni Jenerali
Major General Meja Jenera i
Brigadier General Brigedia Jenerali
Colonel Kanal
i
Lieutenant Colonel Luteni Kanali
Major Meja
Captain Kapteni
Lieutenant Luteni
2nd lieutenant Luteni usu
Officer candidate


TanzaniaTanzania
(Edit ) 16-Tanzania Air Force-LG.svg 15-Tanzania Air Force-MG.svg 14-Tanzania Air Force-BG.svg 13-Tanzania Air Force-COL.svg 12-Tanzania Air Force-LTC.svg 11-Tanzania Air Force-MAJ.svg 10-Tanzania Air Force-CPT.svg 09-Tanzania Air Force-1LT.svg 08-Tanzania Air Force-2LT.svg 07-Tanzania Air Force-OC.svg
General L/General Brigadier Colonel L/ Colonel Major Captain L/tSecond Lieutenant Officer
 
anachosema chamlungu ni sahihi (http://www.uniforminsignia.org/?option=com_insigniasearch&Itemid=53&result=56 ) kwa siku hizi cheo cha Brigedia Generali, lkn kwa sisi na Echolima cheo cha Brigedia Mkuu wa Brigedi kipo na baada ya hapo ni Luteni Generali labda wamebadili maana hata kwenye wiikipedia wanajichanganya
bofya HAPA
General Jenerali
Lieutenant General Luteni Jenerali
Major General Meja Jenera i
Brigadier General Brigedia Jenerali
Colonel Kanal
i
Lieutenant Colonel Luteni Kanali
Major Meja
Captain Kapteni
Lieutenant Luteni
2nd lieutenant Luteni usu
Officer candidate


TanzaniaTanzania
(Edit ) 16-Tanzania Air Force-LG.svg 15-Tanzania Air Force-MG.svg 14-Tanzania Air Force-BG.svg 13-Tanzania Air Force-COL.svg 12-Tanzania Air Force-LTC.svg 11-Tanzania Air Force-MAJ.svg 10-Tanzania Air Force-CPT.svg 09-Tanzania Air Force-1LT.svg 08-Tanzania Air Force-2LT.svg 07-Tanzania Air Force-OC.svg
General L/General Brigadier Colonel L/ Colonel Major Captain L/tSecond Lieutenant Officer
Uko sahihi Ukwaju hao nao kuna uwezekano mkubwa sana wamepotoka.
 
Ni kweli, lakini unakumbuka kuna sheria moja ya mwaka 1921 kuhusu uchawi na inaruhusu mtu akigundulika ni mchawi anakila sababu za kufukuzwa eneo anapoishi?
Sheria hiyo iliazimiwa ifutwe lakini kwa vile haitumiki effectively ipoipo tu vitabuni, lakini ndiyo ilizalisha vijiji kama Gamboshi.
Sasa kuna watu kuwakaribisha kwenye jamii yenu inahitaji kuwa makini sana.
Mfano Ndugu gay aombe kuhamia mnapoishi waweza kukubali awe jirani yako? Sii ataanzisha kamati ya maadili mtaani kwenu! Nakuitumia vibaya?
🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️🙆🏽‍♂️
 
Kisiwa gani alikua raisi wake?? Any way R.I.P
Aliwahi kutumwa kwenda kuzima mapinduzi sheli sheli,aliongoza kikosi cha makomandoo
Baada ya kutimua wahuni ilibidi abaki kabla ya kumrejeshea kiti chake Rais Albert Rene
 
Left without leaving an address.

R I P Brig Gen. Ngwilizi.
 
Back
Top Bottom