Samwel J Nyangi
Member
- Aug 13, 2015
- 94
- 164
R. I. P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale mabrigadia wa CCM jeshini enzi za usosholisti.
Seychelles ilikuwa ni :socialist entity" katika bahari ya Hindi. 7th Fleet ilikuwa Mediterranean Sea. 6th Fleet ilikuwa Indian Ocean. Kusini kwa Africa kulikuwa na South Africa. Kikwazo kulikuwa ni Frontline States zikiongozwa na Tanzania. Mission number moja wakati huo ya USA, UK (CIA) ilikuwa ni kuondoa hicho kikwazo yaani Tanzania na "tentacles" zake ikiwemo Seychelles. Akigundua Hilo ndiyo maana Albert Rene aliomba msaada kwa Mwalimu Nyerere. TPDF wakampeleka Ngwilizi.Kiongozi shukrani kwa madini. Ila hapo uliposema alienda kulinda kisiwa dhidi ya US na SA umeniacha kidogo.
Ushisheli na mpaka wakampa mke mshelisheliKisiwa gani alikua raisi wake?? Any way R.I.P
Kuna mwanae mmoja niliskuli nae advance enzi za BWM president mkazi wa hiyari wa lushoto sasa, analia sana mdada wa watu japo now ni mmama muhenga mwenzangu.Hapo kwenye watoto wengu. Mmoja wapo ni rafiki yangu. Aiseee. Anasema hata hajui alie au afanye nini maana huyu mzee hajawahi kuwa kwenye maisha yake na alikua hataki kumtambua kama mwanae.
Sky ni mshambaa?Ndugu yako huyo bibi sky
Enzi gani? Zile za kumuondoa yule muasi?Aliwahi kuongoza visiwa vya Comoro View attachment 1102956
Mzee ananeemeka na ulaya ndogo kule. Anasoma vitabu vyake vya kirusi tuHuyu ndy alimpigia pande mzee Ben akakae lushoto
Ova
Ebwana eee! Wasije tuletea tabia mbovu za huko kwao tuu!Kamvuta hadi Chiligati kanunua eneo pale mkuzi kwa 200m
Mzee wa LupasoUongo
Ben alikuwa akimtaka dr kigoda ila watoto wa mjini wakina jk, rostam, lowassa na mzee sita wakamzidi ujanja mmakua wa masasi
ndo nini hii weka kirefu chake
Inawezekana maana Dr Khalid alipewa ubalozi wa heshima wa visiwa hivyo kwa miaka mingi.Ni visiwa vya shelisheli
Huko Diego Garcia ndio inasemekana ndege ya Malaysia iliyopotea ilipelekwa hukoMkuu bila kuingia kwa undani uelewe kuwa wakati ule ulikuwa wakati wa "cold war". Makaburu walikuwa wanasaidiwa na Margareth Thatcher (UK) na Ronald Reagan (USA). Africa kulikuwa na "Frontline states " zikiongozwa na Mwalimu Nyerere na Salim Ahmed Salim akiongoza mapambano hayo U.N. Rais wa Seychelles wakati huo Albert Rene akiwa ni msoshalist aliomba msaada kwa Mwalimu alindwe kutokana na Marekani na Makaburu. Kumbuka Makao Makuu ya Jeshi la Marekani 6th Fleet yalikuwa Diego Garcia ambayo ni kilomita chache toka Seychelles. Katika Mazingira hayo ndiyo General Ngwilizi alipelekwa kukilinda kisiwa hicho dhidi ya US na SA. General Ngwilizi aliifanya kazi hiyo kwa ufanisi na mafanikio makubwa.
Operesheni ya pili ya kutukuka aliyoifanya ni ya Msumbiji. Kumbuka ndiye kamanda as TPDF aliyeongoza vikosi hivyo nchini huko kwa muda mrefu zaidi mpaka vita hivyo vinaisha. Wakati anaenda huko alikuwa ametokea Quetta, School of Infantry and Tactics, Pakistan. Kauli mbiu ya hicho chuo ni."Those who die for their country, never die".
RIP GENERAL HAH NGWILIZI
Kafanye tena home work yako vizuri. Cheo cha Brigedia hakipo?!! Wakati marehemu alikuwa cheo hicho akiwa Tabora na Alikuwa jirani yangu next door.Kijeshi hakuna cheo cha Brigedia, Bali Brigedia Jenerali, na anakuwa na nyota moja kwenye gari yake.
Wasukuma kwa kweli ni shida! Hawana "R"Tumia lugha ya taifa , Lugha hii ya kwa mama haijawahi kuwaacha salama watafuta kiki
Doh! vyuma vinaondoka ipo haja ya kushkamana na ibada kindakindaki.Allah amrehemu.