Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah kweli mkuu, wanawake hawa tunazaa nao na kusaidiana nao kulea lkn weng wana siri kubwa mioyoni mwao. Anaweza kukupa mtoto ambae si wako na ikabaki kuwa siri kubwa kwake au pengin na yule aliempa hiyo mimba. Ndio maana nchi zilizoendelea wengi huanza kwanz kufanya vipimo kabla ya kuendelea na huduma za mimba.Mwenyewe nilishawahi kupakaziwa mtoto enzi za ujana, nilikuwa na umri wa miaka 19 tu. Nikakataa katakata. Yule binti alipoona hakieleweki akapeleka tumbo kwa mwingine, naye pia akakataa lakini binti akamng'ang'ania hadi kadi ya kliniki akamuandika. Mtoto akazaliwa, sasa hivi ni mtu mzima na anafanana kabisa na yule jamaa wa pili, japo yule mama yake aliolewa na mtu mwingine.
Maisha yetu ya vijijini yalikuwa na changamoto nyingi kwa vijana, labda kuliko siku hizi.
Sishangai mtu mkubwa mwenye cheo cha kijeshi kama yule kuwa na watoto wengi, na sishangai wengine akiwakataa maana mazingira mengine yanaongeza sana uwezekano wa kupakaziwa watoto.
Shukrani mkuu kwa haya madiniHAPANA mkuu Mauritius ni kisiwa kikubwa sanasana tu, ni hivi visiwa vidogovidogo vipo km vi5 hivi, shelisheli Ngazija na wenzake ambao mpaka leo wanagombana utawala, JWTZ waliombwa kwenda tuliza ghasia kwani uchaguzi ulishindikana, baada ya kumuweka Rais akarudi
lost in planetndo nini hii weka kirefu chake
basi alikuwa mtu wa aina yake,kupewa urais wa nchi jirani...mi nilimjua akiwa mkuu wa mkoa wa Dar kama sikosei
Hapana ni Mauritius mkuu
Visiwa vya Ukara hapo kitambo.Hapana ni Mauritius mkuu
Wote tutakufa Ata uwe kiburi vpR.I.P Brigedia
Wote tutakufa Ata uwe kiburi vp
Na kujifanya unaishi Maisha ya raha
Utakufa tu na kuwa chakula cha mchwaa
Ova
Nyie si mnafanya mambo utafikiri mtaishi mileleKuna aliyekubishia!!!
Nyie si mnafanya mambo utafikiri mtaishi milele
Ova
Utajijua mwenyewe
Ova
Umentiaa nksi tuUtalala vizuri leo kwa mimi kukujibu. Usingizi mwema dogo[emoji16]