TANZIA Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Afariki Dunia

TANZIA Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Afariki Dunia

aliwahi kuwa rais wa mpito wa visiwa vya sychelles ama sherisheri amewahi kuwa mkuu wa organisation na mapigano katika jeshi la msumbiji kisha akawa mshauri wa rais wa msumbiji, amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam marehemu ameacha wake na watoto wengi
Akiwa mkuu wa mkoa wa Dar. Ilikuwa baada ya uchaguzi. Wenye nchi wakaamini Bakhresa aliisaidi CUF. Basi kukawa na ubishi wa ngano bandarini. Ama inafaa au haifai. Basi aliamrisha magari ya jeshi yakabeba ngano yote na kuimwaga.
 
NEW GENERATION HATUMJUI,HABARI ZA HIVYO BILA PICHA ZIWE ZA KINA DIAMOND/ZARI NDO TUNAWAJUA HATA TUKIONA MIGONGO YAO..

ILA SEKTA NYETI KAMA HAO BILA PICHA TUTAISHIA KUANDIKA R.I.P.

HALAFU MTINDO WA KUTUPA TAARIFA YA MSIBA KAMA UNATUPA UBUYU WENYE MUENDELEZO BADAE UACHE.
Kwani bado mmefundishwa historia ya Carl Peters, Sundiata wa Mali, Rebman, Livingstone? Kama bado ndio historia inayofundishwa ndio maana. Wanatakiwa kufundisha morden history mashule i
 
aliwahi kuwa rais wa mpito wa visiwa vya sychelles ama sherisheri amewahi kuwa mkuu wa organisation na mapigano katika jeshi la msumbiji kisha akawa mshauri wa rais wa msumbiji, amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam marehemu ameacha wake na watoto wengi
wake na watoto wengi????????? au kwa kuwa alikuwa anakula bure vyakula vya jeshi?
 
Sentensi yako ya mwisho itatulazimisha tuhoji zaidi huo Urais wake huko Kisiwani kuliko Kuguswa na Kifo chake hiki Mkuu.
Hanari za vijiweni wakivuta Kalikoma mweni kule kwa Evarist Chahali wanaliita
 
Dah huu Mwaka huu 2019 hatari sana..
Bila shaka kuna weng watakaozaliwa mwez huu, kwahiy ni mtindo wa huyu kutoka yule kuingia. Usishangae kesho ikawa kati ya mmoja wetu kuondoka ili kupisha mungin kuja
 
Amin nawaambia kila nafsi itaonja mauti..woote hakuna atakayebaki! Kwa wale wanaojiona wanakula raha au ni bora kuliko wengine tubuni wakati bado mna muda

R.I.P Ngwilizi!
 
Hapo kwenye watoto wengu. Mmoja wapo ni rafiki yangu. Aiseee. Anasema hata hajui alie au afanye nini maana huyu mzee hajawahi kuwa kwenye maisha yake na alikua hataki kumtambua kama mwanae.
Basi huyo mtoto amuulize vizur mama yake, huenda kuna baba mungin wa damu kinyume na huyu marehem, so pengin mzee alilijua hilo mapema akaamua kukaa pemben
 
Basi huyo mtoto amuulize vizur mama yake, huenda kuna baba mungin wa damu kinyume na huyu marehem, so pengin mzee alilijua hilo mapema akaamua kukaa pemben
Mwenyewe nilishawahi kupakaziwa mtoto enzi za ujana, nilikuwa na umri wa miaka 19 tu. Nikakataa katakata. Yule binti alipoona hakieleweki akapeleka tumbo kwa mwingine, naye pia akakataa lakini binti akamng'ang'ania hadi kadi ya kliniki akamuandika. Mtoto akazaliwa, sasa hivi ni mtu mzima na anafanana kabisa na yule jamaa wa pili, japo yule mama yake aliolewa na mtu mwingine.
Maisha yetu ya vijijini yalikuwa na changamoto nyingi kwa vijana, labda kuliko siku hizi.
Sishangai mtu mkubwa mwenye cheo cha kijeshi kama yule kuwa na watoto wengi, na sishangai wengine akiwakataa maana mazingira mengine yanaongeza sana uwezekano wa kupakaziwa watoto.
 
Ooor, thanks mkuu, ni kweli
HAPANA mkuu Mauritius ni kisiwa kikubwa sanasana tu, ni hivi visiwa vidogovidogo vipo km vi5 hivi, shelisheli Ngazija na wenzake ambao mpaka leo wanagombana utawala, JWTZ waliombwa kwenda tuliza ghasia kwani uchaguzi ulishindikana, baada ya kumuweka Rais akarudi
 
Back
Top Bottom