TANZIA Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Afariki Dunia

TANZIA Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Afariki Dunia

Alikuwa waziri wa tamisemi awamu ya mwisho ya mkapa huku naibu wake akiwa ndugu Mizengo Pinda.

Innah lilah wainnah ilayh rajiun
 
Unamaanisha R.I.P aliwahi kuwa prezidaa...!!??
 
Aliwahi kuongoza visiwa vya Comoro
IMG-20190520-WA0022.jpeg
 
RIP Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi.Katika ulingo wa siasa BWM alimtaka sana huyu mjeda lakini lile kundi haramu la mtandao likamzidi nguvu na kumwingiza Mzee wa Msoga atimaye akawapatia Bandari ya Bwaga moyo wachina.
 
RIP Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi.Katika ulingo wa siasa BWM alimtaka sana huyu mjeda lakini lile kundi haramu la mtandao likamzidi nguvu na kumwingiza Mzee wa Msoga atimaye akawapatia Bandari ya Bwaga moyo wachina.
BWM si kwamba alikuwa anamtaka zaidi yule Mzigua Kigoda?
 
Kwa masikitiko makubwa, tunaomba kuwaarifu kuwa Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Amefariki muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Jeshi Lugalo alipokuwa akipokea matibabu.

Huyu ndugu aliwahi kuwa Mbunge wa Mlalo, Huko Lushoto, Waziri wa TAMISEMI na Mwenyekiti wa Kamati moja ya Bunge.

Amewahi kuwa Rais wa Kisiwa kimoja huko bahari Hindi.

Sentensi yako ya mwisho itatulazimisha tuhoji zaidi huo Urais wake huko Kisiwani kuliko Kuguswa na Kifo chake hiki Mkuu.
 
Kwa masikitiko makubwa, tunaomba kuwaarifu kuwa Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Amefariki muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Jeshi Lugalo alipokuwa akipokea matibabu.
Huyu ndugu aliwahi kuwa Mbunge wa Mlalo, Huko Lushoto, Waziri wa TAMISEMI na Mwenyekiti wa Kamati moja ya Bunge. Amewahi kuwa Rais wa Kisiwa kimoja huko bahari Hindi.
aliwahi kuwa rais wa mpito wa visiwa vya sychelles ama sherisheri amewahi kuwa mkuu wa organisation na mapigano katika jeshi la msumbiji kisha akawa mshauri wa rais wa msumbiji, amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam marehemu ameacha wake na watoto wengi
 
Back
Top Bottom