kiraremapojoni
JF-Expert Member
- Nov 30, 2018
- 391
- 512
Innallilah wainaillah rajiun, Kila nafsi itayaonja mauti.mzee wa mlalo mghoshingwa Ngwilizi tate nane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Left In Peace. Inatumika sana Wasap watu wakijitoa ktk kundi sogozi. Kwa kuwa Brig Gen Ngwilizi amejitoa duniani, labda ndo sababu ya Mlugaluga kuandika LIPndo nini hii weka kirefu chake
Hapo ndio ujue kwa nini matusi yamejaa jukwaani,ni aina ya watu tulionao(kiwango cha elimu)L.I.P ×
R.I.P**
Hyo ni Left In Peace[emoji3][emoji3]Hapo ndio ujue kwa nini matusi yamejaa jukwaani,ni aina ya watu tulionao(kiwango cha elimu)
left in pisindo nini hii weka kirefu chake
Left in PeaceLEST IN PEACE
Kijeshi mkuu kipindi cha ukombozi kuwafukuza wakoloni nadhani miaka ya sabini huko Mauritius kama kumbukumbu zipo sawaKisiwa gani alikua raisi wake?? Any way R.I.P
| Military service | |
|---|---|
| Personal details | |
| Member of Parliament for Mlalo | |
| Honourable Brig. Gen. Hassan Ngwilizi MP | |
| Incumbent | |
| Assumed office December 2005 | |
| Preceded by | Charles Kagonji |
| Born | 1 April 1944(age 75) Tanganyika Territory |
| Nationality | Tanzanian |
| Political party | CCM |
| Alma mater | NDC (India) (MSc) |
| Allegiance |
|
| Branch/service | Tanzanian Army |
| Years of service | 1968–1993 |
| Rank | Brigadier general |
Hapana ni Mauritius mkuuAliwahi kuongoza visiwa vya Comoro View attachment 1102956
Kuna kisiwa alikikomboa akiwa Jeshini na hivyo kuwekwa Rais wa MpitoSentensi yako ya mwisho itatulazimisha tuhoji zaidi huo Urais wake huko Kisiwani kuliko Kuguswa na Kifo chake hiki Mkuu.
Mkuzi, hahahhaNi kweli mwanzoni alimtaka mzigula lakini alikuwa na makando kando mengi na alizidiwa kete baada ya Mghosi wa kaya kumpeleka nyumbani BMW na kumkabidhi sehemu nzuriiiii mandhari nzuriiiii.
Ooor, thanks mkuu, ni kweliHapana ni Mauritius mkuu
Ni kweli mwanzoni alimtaka mzigula lakini alikuwa na makando kando mengi na alizidiwa kete baada ya Mghosi wa kaya kumpeleka nyumbani BMW na kumkabidhi sehemu nzuriiiii mandhari nzuriiiii.
Imekaa vzrHuyu ndy alimpigia pande mzee Ben akakae lushoto
Ova
Nami nilikua na kumbuka hivi.aliwahi kuwa rais wa mpito wa visiwa vya sychelles ama sherisheri amewahi kuwa mkuu wa organisation na mapigano katika jeshi la msumbiji kisha akawa mshauri wa rais wa msumbiji, amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam marehemu ameacha wake na watoto wengi