TANZIA Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Afariki Dunia

TANZIA Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Afariki Dunia

aliwahi kuwa rais wa mpito wa visiwa vya sychelles ama sherisheri amewahi kuwa mkuu wa organisation na mapigano katika jeshi la msumbiji kisha akawa mshauri wa rais wa msumbiji, amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam marehemu ameacha wake na watoto wengi
Hapo kwenye watoto wengu. Mmoja wapo ni rafiki yangu. Aiseee. Anasema hata hajui alie au afanye nini maana huyu mzee hajawahi kuwa kwenye maisha yake na alikua hataki kumtambua kama mwanae.
 
Aliwahi kuwa RC Dsm akafail kidogo kwenye issue ya MWEMBE CHAI Akapelekwa KIGOMA Alikokuwepo MZEE MAKAMBA R. I. P
 
Hapo kwenye watoto wengu. Mmoja wapo ni rafiki yangu. Aiseee. Anasema hata hajui alie au afanye nini maana huyu mzee hajawahi kuwa kwenye maisha yake na alikua hataki kumtambua kama mwanae.
Jamaa alikuwa kiborodinda hatari anawatoto akiamua kila mmoja kumpa mkoa wake inatimia na wanabaki
 
RIP Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi.Katika ulingo wa siasa BWM alimtaka sana huyu mjeda lakini lile kundi haramu la mtandao likamzidi nguvu na kumwingiza Mzee wa Msoga atimaye akawapatia Bandari ya Bwaga moyo wachina.
Uongo

Ben alikuwa akimtaka dr kigoda ila watoto wa mjini wakina jk, rostam, lowassa na mzee sita wakamzidi ujanja mmakua wa masasi
 
Pumzika kwa amani mzee wetu Ngwilizi. Pole sana kwa Gao, Makihio na wapendwa wote
 
aliwahi kuwa rais wa mpito wa visiwa vya sychelles ama sherisheri amewahi kuwa mkuu wa organisation na mapigano katika jeshi la msumbiji kisha akawa mshauri wa rais wa msumbiji, amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam marehemu ameacha wake na watoto wengi

watoto hawana idadi,rip comred
 
Back
Top Bottom