mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SeychellesRais wa kisiwa gani?
Hapo kwenye watoto wengu. Mmoja wapo ni rafiki yangu. Aiseee. Anasema hata hajui alie au afanye nini maana huyu mzee hajawahi kuwa kwenye maisha yake na alikua hataki kumtambua kama mwanae.aliwahi kuwa rais wa mpito wa visiwa vya sychelles ama sherisheri amewahi kuwa mkuu wa organisation na mapigano katika jeshi la msumbiji kisha akawa mshauri wa rais wa msumbiji, amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam marehemu ameacha wake na watoto wengi
Na nani Rais wa sasa wa kisiwa hicho?Rais wa kisiwa gani?
Jamaa alikuwa kiborodinda hatari anawatoto akiamua kila mmoja kumpa mkoa wake inatimia na wanabakiHapo kwenye watoto wengu. Mmoja wapo ni rafiki yangu. Aiseee. Anasema hata hajui alie au afanye nini maana huyu mzee hajawahi kuwa kwenye maisha yake na alikua hataki kumtambua kama mwanae.
HahahahaDuh.....skuona hiiii [emoji14]
Ova
Yeah upo sahihiBWM si kwamba alikuwa anamtaka zaidi yule Mzigua Kigoda?
UongoRIP Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi.Katika ulingo wa siasa BWM alimtaka sana huyu mjeda lakini lile kundi haramu la mtandao likamzidi nguvu na kumwingiza Mzee wa Msoga atimaye akawapatia Bandari ya Bwaga moyo wachina.
Mkuu kuna mdau kanikumbusha anasema visiwa vya shelisheli inawezekanaOoor, thanks mkuu, ni kweli
aliwahi kuwa rais wa mpito wa visiwa vya sychelles ama sherisheri amewahi kuwa mkuu wa organisation na mapigano katika jeshi la msumbiji kisha akawa mshauri wa rais wa msumbiji, amewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam marehemu ameacha wake na watoto wengi
Hivyo visiwa vinachanganya mno, Shelisheli sio mali ya wafaransa kweli?Mkuu kuna mdau kanikumbusha anasema visiwa vya shelisheli inawezekana
Ni visiwa vya shelisheliMkuu kuna mdau kanikumbusha anasema visiwa vya shelisheli inawezekana
Kwa upande wa bahari Hindi ambavyo ni Mali ufaransa ni Mayote na Re union.ila Mayote ni Mali ya Comoro ila wafaransa bado wameving'ang'ania mkuuHivyo visiwa vinachanganya mno, Shelisheli sio mali ya wafaransa kweli?
Jowe linawapukutisha na vyumaAitheee Wazee wanapukutika tuuu
SeychellesKisiwa gani alikua raisi wake?? Any way R.I.P