Mkuu VP? Sijakuelewa hata ulichomaanisha,Soma vizuri comment yangu. Nimesema hakuna cheo cha Brigedia, Bali Brigedia Jenerali. Hicho ni cheo cha kwanza kwa ngazi ya Majenerali, name anakuwa name nyota moja. Mfano huwezi kumuita Luteni Jenerali kama Luteni, cheo kina majina mawili, huwezi kutaja moja
Kulimia meno ni mtihani...Aitheee Wazee wanapukutika tuuu
Kafanye tena home work yako vizuri. Cheo cha Brigedia hakipo?!! Wakati marehemu alikuwa cheo hicho akiwa Tabora na Alikuwa jirani yangu next door.
anachosema chamlungu ni sahihi (http://www.uniforminsignia.org/?option=com_insigniasearch&Itemid=53&result=56 ) kwa siku hizi cheo cha Brigedia Generali, lkn kwa sisi na Echolima cheo cha Brigedia Mkuu wa Brigedi kipo na baada ya hapo ni Luteni Generali labda wamebadili maana hata kwenye wiikipedia wanajichanganyaMkuu VP? Sijakuelewa hata ulichomaanisha,
Uko sahihi Ukwaju hao nao kuna uwezekano mkubwa sana wamepotoka.anachosema chamlungu ni sahihi (http://www.uniforminsignia.org/?option=com_insigniasearch&Itemid=53&result=56 ) kwa siku hizi cheo cha Brigedia Generali, lkn kwa sisi na Echolima cheo cha Brigedia Mkuu wa Brigedi kipo na baada ya hapo ni Luteni Generali labda wamebadili maana hata kwenye wiikipedia wanajichanganya
bofya HAPA
General Jenerali
Lieutenant General Luteni Jenerali
Major General Meja Jenera i
Brigadier General Brigedia Jenerali
Colonel Kanal
iLieutenant Colonel Luteni Kanali
Major Meja
Captain Kapteni
Lieutenant Luteni
2nd lieutenant Luteni usu
Officer candidate
Tanzania
(Edit )
General L/General Brigadier Colonel L/ Colonel Major Captain L/tSecond Lieutenant Officer
ππ½ββοΈππ½ββοΈππ½ββοΈNi kweli, lakini unakumbuka kuna sheria moja ya mwaka 1921 kuhusu uchawi na inaruhusu mtu akigundulika ni mchawi anakila sababu za kufukuzwa eneo anapoishi?
Sheria hiyo iliazimiwa ifutwe lakini kwa vile haitumiki effectively ipoipo tu vitabuni, lakini ndiyo ilizalisha vijiji kama Gamboshi.
Sasa kuna watu kuwakaribisha kwenye jamii yenu inahitaji kuwa makini sana.
Mfano Ndugu gay aombe kuhamia mnapoishi waweza kukubali awe jirani yako? Sii ataanzisha kamati ya maadili mtaani kwenu! Nakuitumia vibaya?
Aliwahi kutumwa kwenda kuzima mapinduzi sheli sheli,aliongoza kikosi cha makomandooKisiwa gani alikua raisi wake?? Any way R.I.P
Wewe unaleta tena hii huku leo ili iweje pumbavu mkubwaAliwahi kutumwa kwenda kuzima mapinduzi sheli sheli,aliongoza kikosi cha makomandoo
Baada ya kutimua wahuni ilibidi abaki kabla ya kumrejeshea kiti chake Rais Albert Rene
Mpumbavu baako mzazi,labda unataka kufufua mada kwa gharama zanguWewe unaleta tena hii huku leo ili iweje pumbavu mkubwa
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app