Mungu amlaze pema kamanda Ngwilizi. Aliongoza jeshi la Tanzania kusaidia mapinduzi yaliyomweka madarakani Albert-Rene huko Ushelisheli.Picha yake wengine hatumjui
Mungu amlaze anapostahiliKwa masikitiko makubwa, tunaomba kuwaarifu kuwa Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Amefariki muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Jeshi Lugalo alipokuwa akipokea matibabu.
Huyu ndugu aliwahi kuwa Mbunge wa Mlalo, Huko Lushoto, Waziri wa TAMISEMI na Mwenyekiti wa Kamati moja ya Bunge.
Amewahi kuwa Rais wa Kisiwa kimoja huko bahari Hindi.
Unamchanganya na ShelukindoHuyu mwaka jana alipewa kesi ya kiwanda cha chai lushoto kama sikosei
Tanzania tunaruhusiwa kuishi popote pale. Inabidi kuwa wapole tuKiuhalisia ni best sana na Mkapa. Yeye ndiye aliyemuwezesha Mkapa kupata makazi pale Mkuzi Lushoto baada ya kununua nyumba/eneo la makazi ya marehemu Chamshama ambapo ni jirani na kwake.
(Mkuu Elli anaweza kunisahihisha au mpwa wangu zumbemkuu)
RIP Mzee Ngwilizi, Ila ulituletea huyo mmachinga hapo! basi tuu
Ni kweli, lakini unakumbuka kuna sheria moja ya mwaka 1921 kuhusu uchawi na inaruhusu mtu akigundulika ni mchawi anakila sababu za kufukuzwa eneo anapoishi?Tanzania tunaruhusiwa kuishi popote pale. Inabidi kuwa wapole tu
Rais kwa maana gani tufahamishaneKwa masikitiko makubwa, tunaomba kuwaarifu kuwa Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Amefariki muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Jeshi Lugalo alipokuwa akipokea matibabu.
Huyu ndugu aliwahi kuwa Mbunge wa Mlalo, Huko Lushoto, Waziri wa TAMISEMI na Mwenyekiti wa Kamati moja ya Bunge.
Amewahi kuwa Rais wa Kisiwa kimoja huko bahari Hindi.
Ndugu gay?!! Huyo alihamishwa na wasukuma ila alisahau kuhama na kaburi la mzazi wake ambalo alilihamisha baadae chini ya ulinzi mkali sana.Ni kweli, lakini unakumbuka kuna sheria moja ya mwaka 1921 kuhusu uchawi na inaruhusu mtu akigundulika ni mchawi anakila sababu za kufukuzwa eneo anapoishi?
Sheria hiyo iliazimiwa ifutwe lakini kwa vile haitumiki effectively ipoipo tu vitabuni, lakini ndiyo ilizalisha vijiji kama Gamboshi.
Sasa kuna watu kuwakaribisha kwenye jamii yenu inahitaji kuwa makini sana.
Mfano Ndugu gay aombe kuhamia mnapoishi waweza kukubali awe jirani yako? Sii ataanzisha kamati ya maadili mtaani kwenu! Nakuitumia vibaya?
Hakuwa Rais na kwa namna yoyote asingeweza kuwa Rais wa kisiwa ... Huenda alikuwa Balozi wa heshima (Honorary Consul)
Lol. Hivi Gamboshi ipo sehemu gani? Wasukuma wanavyojua kucheza na fisi na nyoka, si wote watafukuzana Mwaswa na Bariadi?Ni kweli, lakini unakumbuka kuna sheria moja ya mwaka 1921 kuhusu uchawi na inaruhusu mtu akigundulika ni mchawi anakila sababu za kufukuzwa eneo anapoishi?
Sheria hiyo iliazimiwa ifutwe lakini kwa vile haitumiki effectively ipoipo tu vitabuni, lakini ndiyo ilizalisha vijiji kama Gamboshi.
Sasa kuna watu kuwakaribisha kwenye jamii yenu inahitaji kuwa makini sana.
Mfano Ndugu gay aombe kuhamia mnapoishi waweza kukubali awe jirani yako? Sii ataanzisha kamati ya maadili mtaani kwenu! Nakuitumia vibaya?
Huyu ndingi alimfanyia umafi wa kutosha mzee Charles Kagonji kwenye Kura za maoni CCM mwaka 2005 na 2010 na alishindwa ila wakubwa ndio waliomtaka kuliko wananchi, Apumzishwe Panapostahili.Kwa masikitiko makubwa, tunaomba kuwaarifu kuwa Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Amefariki muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Jeshi Lugalo alipokuwa akipokea matibabu.
Huyu ndugu aliwahi kuwa Mbunge wa Mlalo, Huko Lushoto, Waziri wa TAMISEMI na Mwenyekiti wa Kamati moja ya Bunge.
Amewahi kuwa Rais wa Kisiwa kimoja huko bahari Hindi.
Gamboshi iko hukohuko Simiyu, ni kijiji ambacho kabla ya Uhuru watu waliokuwa wanahisiwa au kujulikana ni wachawi walikuwa wanafukuzwa na kupelekwa huko kuishi.Lol. Hivi Gamboshi ipo sehemu gani? Wasukuma wanavyojua kucheza na fisi na nyoka, si wote watafukuzana Mwaswa na Bariadi?
Kwa masikitiko makubwa, tunaomba kuwaarifu kuwa Brigedia Mstaafu Hassan Ngwilizi Amefariki muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Jeshi Lugalo alipokuwa akipokea matibabu.
Huyu ndugu aliwahi kuwa Mbunge wa Mlalo, Huko Lushoto, Waziri wa TAMISEMI na Mwenyekiti wa Kamati moja ya Bunge.
Amewahi kuwa Rais wa Kisiwa kimoja huko bahari Hindi.
Ndiyo hiyo hiyooo mnayosema ... inteprenuwaaa.haya maneno ya mzungu yametuletea tafrani,
comoroKisiwa gani alikua raisi wake?? Any way R.I.P
Soma vizuri comment yangu. Nimesema hakuna cheo cha Brigedia, Bali Brigedia Jenerali. Hicho ni cheo cha kwanza kwa ngazi ya Majenerali, na anakuwa na nyota moja. Mfano huwezi kumuita Luteni Jenerali kama Luteni, cheo kina majina mawili, huwezi kutaja mojaMrigariga said:Kafanye tena home work yako vizuri. Cheo cha Brigedia hakipo?!! Wakati marehemu alikuwa cheo hicho akiwa Tabora na Alikuwa jirani yangu next door.