Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Ubepari ndio mfumo sahihi hata Mungu ameruhusuU communist ni shida sana. Ndiyo maana hata Tz bado bado sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubepari ndio mfumo sahihi hata Mungu ameruhusuU communist ni shida sana. Ndiyo maana hata Tz bado bado sana
Korea kaskazini bado Iko gizani sana Tanzania iliziishi hizo scenarios 1970 to 1980s, NK waache ujinga wafungue nchi aisee
eleza mambo ya maana mkuu, madem, pombe, vipi madem wa huko wanatoa mtandao pendwa?
Ccm ndio inatawala lakini tumevuka level nyingine za kimaendeleo tofauti na style ya Nyerere ka ya NK watu walikuwa wanakosa Hadi nguo za kuvaa kisa sera ka za Korea huoni mwinyi alifungua nchi aisee
U communist ni uongozi wa ulemavu wa akili Sasa huko Korea internet inatumiwa na wakubwa tu wakija kwa Raia wanajifamya wao ni watabiri na Wana akili, kumbe wanaangalia vitu vinavoendelea dunia, Raia mnachaguliwa Hadi Cha kufikiria na habari gani mpate huo sio utumwa
Duuh wewe bwana wewe tema mate chiniKorea kaskazini bado Iko gizani sana Tanzania iliziishi hizo scenarios 1970 to 1980s, NK waache ujinga wafungue nchi aisee
Usiamini media habari zingine wanazitunga khs N.ANasoma mitandaoni mkuu, kwani wewe imewahi fika USA mbona taarifa zake wazijua
Hatujafikia ujinga wa Korea kaskazini aisee, Yani tv aangalie Rais pekee
Hahaha wahuni syo watu poaeleza mambo ya maana mkuu, madem, pombe, vipi madem wa huko wanatoa mtandao pendwa?
Jumong yupo kusina pamoja na Daeso/ Taeso 😂hukumuona jumong?
Kuna camera detector piaCamera unaweza piga kwa kutumia kalamu,vishikizo,kofia,saa
Illiteracy ni 100%🤷♂️ au literacy ndio 100%🤸♂️? Just a fact check bro.Nchi inayotengeneza ballistic nyuklia useme ya kuifanananisha na tanzania ambayo kiberiti tunaagiza china
Kule illiteracy n 100%
Ile nchi n mashart lakin huwez ifananisha na nchi za afrika kwa advancement
Unachokisoma ama kukisikia mtandaoni ni kile wakubwa wanataka usikie tu.Nasoma mitandaoni mkuu, kwani wewe imewahi fika USA mbona taarifa zake wazijua
Vitu vya korea ni halisi bana hebu soma articles za tafiti nchi Ile inaendeshwa ki propaganda zaidi, haina haki kwa Raia watu Hadi Wana njaa kabisa huko loh.Unachokisoma ama kukisikia mtandaoni ni kile wakubwa wanataka usikie tu.
Nyingine zinakuwa propaganda, nina ndgu yangu alifanya kazi korea ya kusini miaka kama 15+ hivi iliyopita, anasema bosi wao alikuwa anaambia wale vizuri washibe, sababu wao wanajua afrika kuna njaa tupu, anawauliza hivi mnaangalia tv nyinyi, mnalala hata kwenye vitanda vizuri, yaani yeye anajua afrika hakuna umeme, ni njaa njaa tupu, shida kama unazoziona pale somalia ndio afrika yoote
Hatari na nusu nchi zote za ki socialist uchaguzi wake ukippita chamani hyo ndio nitolee election ni formality tuWanasema CCM imetukaba shingoni hatuna uwezo wa kuchagua viongozi tunaowataka.
Totozi zipo Mkuu ila sasa wanatupenda sana ma black nimefurahije kwa hiloVipi kuhusu totoz na ulabu vinapatikana?