Britanicca wa JF ni nani? Kwanini leo baada ya mzee Kinana kupitishwa nyuzi zake za nyuma zinafunguliwa sana?

Britanicca wa JF ni nani? Kwanini leo baada ya mzee Kinana kupitishwa nyuzi zake za nyuma zinafunguliwa sana?

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Sio siri mtu huyu Britanicca ni watu ninaowakubali sana hapa JF. Ni mtu mwenye uwezo wa ajabu sana wa kufikisha taarifa kwa ufupi na akaeleweka lakini zaidi ni mtu anayejua vitu vingi sana kwenye nchi hii na zaidi ya yote ninapenda mtindo wako wa kujifanya kuuliza jambo huku akiwa analijua mwanzo mwisho tena kwa undani wake.

Hoja zake mara zote huwa nasoma na zaidi anatoa tabiri nyingi ambazo mbeleni zinakuja kuwa kweli. Ni mtu mwenye siri na taarifa nyingi za ndani

Leo baada ya kutajwa jina la mzee Kinana kama mgombe umakamu mwenyekiti wa CCM , nyuzi zake nyingi zinaibuliwa kwa kasi. Je Britanicca ndiye yeye?

Inaweza kuwa ni coincidence tu mambo hayo kutokea kwa pamoja lakini jicho la tatu linaweza kufumbua fumbo hili
 
Acha tembo wauliwe na ugaidi na uhujumu uchumi utawale. Maamuzi ya leo ni chachu ya gharika zijazo
 
membe back, kinana vice chairman, pinda katibu, itikadi na uenezi shabby.




😂😂😂


wale wabunge wapya mkalee familia zenu.


kigwa nae kapigwa na kitu balaaa
 
membe back, kinana vice chairman, pinda katibu, itikadi na uenezi shabby.




😂😂😂


wale wabunge wapya mkalee familia zenu.


kigwa nae kapigwa na kitu balaaa

Kidogo kidogo CCM na serkali yake inajionesha ni ya watu wa familia flani. Hao wasio husiana na hizo familia wako hapo kwenye nafasi za juu kwa vile hayuko wa familia hizo mwenye sifa ya kuwa hiyo nafasi au uwezo wake umepitiliza imemlazimu kuitwa ili awe girisi ya kulainisha shughuli za familia hizo ndani ya chama na serikali.Mfano wa Mtu aliye tumiwa kama girisi kuondoa sinto fahamu ya magovi kati ya wanafamilia hizo ni late JPM.
 
membe back, kinana vice chairman, pinda katibu, itikadi na uenezi shabby.




😂😂😂


wale wabunge wapya mkalee familia zenu.


kigwa nae kapigwa na kitu balaaa
He Leo nilikua busy sana sikuchungulia taarifa za humu.
Ngwala kapigwa ngwala gani Tena?
 
Possible ni Kundi la kina Mangula sasa hivi watakuwa active Sana
 
Back
Top Bottom