Na joanah pia nahisi ni kigogo anayetuchora!Humu jukwaani nahisi kila kigogo 'mzito' tuko naye! Wengine wenye ujasiri kama Dr Mwigulu Nchemba (MB), wanatumia majina yao halisi!
Huku Vigogo wengine mfano Profesa Elitwege , Dr. jingalao, Profesa mama D , Injinia Idugunde, Mzee Kisinini johnthebaptist wa pale Iringa mjini, Mfanyabiashara mkubwa na maarufu kabisa nchini Mheshimiwa Crimea, wamechagua kutumia majina ya bandia kama mimi.