Humu jukwaani nahisi kila kigogo 'mzito' tuko naye! Wengine wenye ujasiri kama Dr Mwigulu Nchemba (MB), wanatumia majina yao halisi!
Huku Vigogo wengine mfano Profesa Elitwege , Dr. jingalao, Profesa mama D , Injinia Idugunde, Mzee Kisinini johnthebaptist wa pale Iringa mjini, Mfanyabiashara mkubwa na maarufu kabisa nchini Mheshimiwa Crimea, wamechagua kutumia majina ya bandia kama mimi.