British Airways Kufunga Virango Tanzania

British Airways Kufunga Virango Tanzania

Panga La Shaba

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2009
Posts
209
Reaction score
68
Baada ya kuwa Tanzania kwa kipindi cha muda mrefu sana shirika la ndege la Uingereza British Airways sasa kufunga virago tarehe March 29,2013...Source Michuzi Blog.

Maswali ya kujiuliza...
Hivi ni kwa nini haya mashirika makubwa yamekuwa yakiondoka Tanzania??walianza wajerumani(Lufthansa),wakaja Warusi(Aeroflot),wakaja Waitaliano(Alitalia)...Lakini haya mashirika ukienda Kenya utayakuta pale Nairobi.
 
financial crisis,pole zao kwa watakaopoteza ajira
 
Ushindani na akina Emirates, Egyptair, Turkish, Qatar, Omanair ni mgumu sana. Hawa pamoja na umwinyi wao wamekamata sana biashara ya anga! Wana bei ndogo kuliko ndege za malkia kwa destinations zile zele
 
Ndege za warabu zinawanyima biashara..

Bei zao ni reasonable na wana destinations za kumwaga ndo maana wazungu wanadata..

Bado KLM nae kutolewa mchezoni kwa customer care yao mbovu ya wahudumu wa Kidutch maana kwa american destinations Turkish ashaanza kuteka soko..

Chezea Turkish wewe kila baada ya dakika kazaa cabin crew anakugusa bega " bro have a drink with Tabasam la nguvu,, mdomo haunuki safari nzima unakula na kunywa kama harusini
 
Ndege zao za Kizamani sana, ukipanda kwa Emirate unaona tofauti nadhn hilo limechangia pia maana ushindani ni mkubwa...
 
Ndege za warabu zinawanyima biashara..

Bei zao ni reasonable na wana destinations za kumwaga ndo maana wazungu wanadata..

Bado KLM nae kutolewa mchezoni kwa customer care yao mbovu ya wahudumu wa Kidutch maana kwa american destinations Turkish ashaanza kuteka soko..

Chezea Turkish wewe kila baada ya dakika kazaa cabin crew anakugusa bega " kaka have a meal mdomo haunuki safari nzima unakula na kunywa kama harusini

Waarabu wanatisha......ulabu kwa kwenda mbele.....
 
We wa Yaeda Juu una vituko! hiyo Atc ina ndege ngapi za kwake binafsi?

Hivi kumbe hakuna...? Niliona Kenya Airways na Air Uganda nikajua na Air Tanzania itakuwepo
 
Kazi za kubeba mabox kwa bibi zimekwisha zimebakia kuosha magari tu..wabongo hawataki kwenda tena..
 
Wabongo hawapandi ndege tena wamebakiza kwenda bagamoyo kwa vipanya..
 
Nitajaribu Turkish nione wako namna gani...

Kaka jaribu uone,, siwapigii debe but hao jamaa ni noma.. Nahisi wapo kwenye market penetrations maana ndege zao kwanza mpya karibu zote hadi za connections, na hata kwenye connections hapo instunbul service za kufa mtu hadi raha,,na wahudumu wazuri mbaya totoz za kituruki plus drinks and misosi sasa safarini ndo utachoka mwenyewe...
 
Kaka jaribu uone,, siwapigii debe but hao jamaa ni noma.. Nahisi wapo kwenye market penetrations maana ndege zao kwanza mpya karibu zote hadi za connections, na hata kwenye connections hapo instunbul service za kufa mtu hadi raha,,na wahudumu wazuri mbaya totoz za kituruki plus drinks and misosi sasa safarini ndo utachoka mwenyewe...



Waliopanda wanalalamika sana kwenye transfer hawatunzi mda hawana tofauti na Kenya airways au Ethiopia airways
 
Haya Makampuni ya Waarabu yalianza kupata soko baada tu ya Magaidi kulipua New york na inasemekana huwa wanawafadhili magaidi, na wazungu wanapenda sana hizo kampuni za Waarabu kwa sababu ndo wanahisi ni salama yaani Magaidi hawawezi kuziripua kwa sababu ni za watu wao,

Kuna kipindi shirika la Qatai lilingia kwenye kashifa na sijui iliishia wapi make inasemekana Magaidi wakina Osama walitishia Kuripua ndege zao na ikabidi Qatari wawe wana wafinace

Ni miaka ya 2012 kuja mbele ndo haya mashirika yalianza kuchanua na kama utakumbuka wakati wa september 11 American Air alisimamisha safari nyingi sana na ikabidi Serikali ya Marekani waingie ghalama kuwafinace ili wasifilisike na mtakumbuka American air ndo lilikuwa Shiruka kubwa kabisa la Ndege Duniani kabla ya Ugaidi wa September,

So ishu hapa sio misuko suko bali ni Wasafiri wengi kuona kampuni za waarabu ndo salama na kama mjuavyo ZIMWI LIKUJUALO HALIKULI LIKAKWISHA


ILA BADO UKIJA KWA WINGI WA WATEJA KWA MWAKA MASHIRIKA KAMA AMERICAN WANAKIMBIZA ZAIDI
 
Inawezekana ushindani

Swali - ushindani huo uko tanzania tu, haupo huko kenya? kiasi kwamba bado wanaoperate ukizingatia JKenyata airport ni turning point ya EA.

Vipi uchumi wa kenya hasa kimaendeleo na upatikanaji wa wasafiri ni sawa na Dar

Na Je South afrika nako wamejitoa au Ni Tanzania tu? na kwanini waanzie TZ sio SA au Kenya?
 
Mimi nazani ishu sio ushindani bali ni kuona biashara hailipi, Kenya Airway wenyewe ile biashara yao ya Mirungi imepigwa Bu Uingereza na Uhoranzi na ndo biashara kubwa iliyo kuwa ikiwapatia pesa mingi muda si mrefu tutaanza kusikia story zingine
 
Ile yetu air mabwepande vipi?au ndio imekufa na ndege yao moja ya kukodisha!
 
Pamoja na mambo mengine ikiwemo ushindani, Taifa limefilisiwa kupita kiasi, wasafili wachache sana kulinganisha na idad ya ndege.


Umasikini wa watanzania unaweza pia kuupima kwa mambo kama haya. watuwe kenya na SA ambako Ndege kibao wasitue

Dar eti ushindani thubutu, jamani umasikiniiiiiiiii.!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
KLM bado litatoa ushindani kwani bei zake haziko juu sana,karibu zinalingana na Qatar labda cabin crew ndio kuna tatizo,maana wengi wao ni vibibi...
 
Back
Top Bottom