Bro hafai kabisa. Ukweni wamechoka sana. Hawana hamu

fyddell am speechless😍I love you more than there are grains of sand on every beach of every planet of every galaxy of the universe😍 I need you in my life😍I need you more than humans need water and food to survive😍
Wooh... this is so wonderful to hear from gorgeous lady like you my love. With me you'll survive the stormy🥰🥰
 
Tatizo wtu wengi hawaelewi dhana ya Mahari.

Kwanza kabisa Mahari inaweza tajwa hata milioni 100 na ukalipa 1000 na ukachukue mkeo mkaendelea na maisha.Unapoenda kulipa mahari huendi kununua mke bila ni mila na desturi tu na kwa kawaida hutakiwi kulipa mahari yote maana tafsiri yake ni dharau na kutokutaka undugu au uhusiano.

So kwa ufupi Bro ako alizingua ila nafikiri walimzingua kwenye Msosi.

Tatizo ni watu kutokuelewa desturi ya mahari na pia baadhi ya watu kufikiri kwamba ni chanzo cha mapato.
 
I remember the first day when you looked at me, you just glanced and smiled🥰. What would I do if I don't have you baby!
My baby man😍you reminds me
alot😍I never thought love is so sweet until you showed up into my life😍

I am sending you ALL the love, all the strength and all the abundance that is YOURS😍
 
Mm ni mpole na nikiamua nimeamua ila jamaa ametisha sana japo maamuzi sio mazuri aliyoyafanya.
 
My baby man😍you reminds me
alot😍I never thought love is so sweet until you showed up into my life😍

I am sending you ALL the love, all the strength and all the abundance that is YOURS😍
May the God's grace be upon ourselves until our last day in this earth my love🥰❤️🥰
With all my heart I love you my queen🥰
 
Huyo bro Ni mwehu Wala sio mwamba Ni ukosefu wa adabu
 
hongera zake huyo bro. hakukuwa na njia nzuri zaidi ya hiyo
anakunywaga nini?
 
Duuuuh.
Mtaji wa kwenda kuchukua mzigo China kuna mtu anaenda kulipia mbunye. Pambafu kabisa. Akina sisi tuliolipia mahari laki 3 na bado binti bikra tupewe maua yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…