Bro hafai kabisa. Ukweni wamechoka sana. Hawana hamu

Bro tumepumzika now, si unajua leo ni blue Monday, it's a very hectic day in a week. Tupo kitandani muda huu tunabembelezana na kushauriana kuhusu Mambo yaliyo mbele yetu.[emoji4]
wishing a productive "pillow talk"
 
Utoto raha sana.
 
Ishu za mahari ni tata sana. Wazazi wameshikilia makali muoaji kashikilia mpini,means wazazi hawana uwezo wa kubadili maamuzi ya wapendanao kwa maana binti anaweza akawatoroka wazazi akaenda kwa mume kuishi nae,na wazazi watakosa jinsi ni lazima tu wakubali aolewe hata bila mahari,si sahihi kutoxa mahari kubwa kwa sababu still msaada watakaopata wazazi baada ya binti kuolewa Huwa ni mkubwa sana kuliko hata mahari waliyotoa
 

Kumbe haka kajamaa mmekastukiaa eeeh?

Ni kapumbavu ka jobless kanakokula kwa mama ule ugali wa “shikamoo”

Kazi yake ni kuponda nyuzi za watu ila yeye anataka apate “attention”

Lunatic!!
 
Kumbe haka kajamaa mmekastukiaa eeeh?

Ni kapumbavu ka jobless kanakokula kwa mama ule ugali wa “shikamoo”

Kazi yake ni kuponda nyuzi za watu ila yeye anataka apate “attention”

Lunatic!!
Ha ha ha............ Dada umetokwa na povu... Utakuwa period. Ukimaliza utakuwa sawa. Sikulaumu.
 
Umeiga idea kutoka kwa yule kaka wa wakwe wa Kigoma.

Kaka wa wakwe wa Kigoma ni kweli ya kwako ni uongo
 
Bro tumepumzika now, si unajua leo ni blue Monday, it's a very hectic day in a week. Tupo kitandani muda huu tunabembelezana na kushauriana kuhusu Mambo yaliyo mbele yetu.😊
fyddell baby your the best no one like you 😍😍😍I can’t explain how sweet you really are 💌🎀💌
 
It's breakfast hour sweetheart☕🍛. Let's go and share a delicious breakfast sweetheart. Can't wait to see you in my table🥰
Oh my one and only man 😍💌😍You complete me in many ways baby man 💌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…