Brother K wa Futuhi

namkubari sana yani mashati na suruali yake ukichanganya maneno na lafudhi yake naishiaga kucheka jamaa anajua aisee
 
Hawa jamaa wako vizuri,masanja wanatakiwa wakajipange zaidi saivi hawana soko,jumapili niliwaangalia hamna chochote cha maana walichoonyesha,Futuhi iko poa sana.
 
Hua ananichekeshaa mno huyo jamaa anaigiza kuongea lafudhi ya kiha, akiongea uongo hua nacheka mpaka basiiii teh teh tehh
 
Hahaha huyu jamaa ni mwehu kabisa hahaha huwa ananiacha hoi.

 

Attachments

  • 1415908060738.jpg
    38.7 KB · Views: 4,588
Jamaa yuko vizuri sana kwa sasa.
 
huyu jamaa nomaa saana sikosi kumfuatiliaa ana kipaji saana ..jana nimecheka hadi basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…