Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Kivip mkuu tukumbushe ?
Aliwekewa sumu...
Taarifa kamili anazo Brandon Lee... (Siyo huyo kwenye picha, huyo ni mwanamke wake)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivip mkuu tukumbushe ?
Mielekea - John Cena unamkubali tu, ila sio icon wa mieleka hata kdogoKila mchezo una icon wake,
Karate Bruce Lee
Kikapu- Michael Jordan
Muziki- Michael Jackson
Soka- Pele & Maradona
Ndonfi- Mohamed Ally & Tyson
Mieleka- John Cena
mie mwenyewe nilibaki nashangaaUtakuwa umeteleza mzee au ni hii generation yao, Mieleka ukamtaje Cena?
Angalia picha ya Bruce Lee inaitwa Enter the Gragon Samo Hang alichofanywa na Bruce Lee.filamu zake hazivutii.
umitaka kung fu wavheck hawa.
jack chan
samo hhung
donie yuen
jet lee huyu uhslisia mdogo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo kwenye mieleka ungemweka steve austin(stone cold?)au undertakerKila mchezo una icon wake,
Karate Bruce Lee
Kikapu- Michael Jordan
Muziki- Michael Jackson
Soka- Pele & Maradona
Ndonfi- Mohamed Ally & Tyson
Mieleka- John Cena
jambo moja unasahau hao wote uliowakubali na kuwakataa wanasimama mbele ya camerafilamu zake hazivutii.
umitaka kung fu wavheck hawa.
jack chan
samo hhung
donie yuen
jet lee huyu uhslisia mdogo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ile mwanangu hata Sammo Hung alikuwa hata sio staa wa filamu alikuwa ni teenager tu ambaye alicheza role ya Gym/dojo mate wa bruce Lee anbaye alipigana nae pambano lisilozidi hata dakika mbili..Lakini kiukweli mimi namuunga mkono jamaa Bruce Lee alikuw mtaalamu sana wa Martial arts ila yeye alifocus zaidi kwenye mapigo real yan maonyesho ya Martial arts kiuhalisia na sio kwenye filamu,huyu kwenye real life alitumia muda wake kwenye maonyeshi ya wazi na kupigana na mamasta wa madojo mengine kwenye miji ya Marekani tofauti na kina Jack na Sammo Hung na Yuen Biao ambao wao walideal sana na filamu na walikuwa wazuri sana kwenye action,drama and comedy lakini kiufundi na mbinu za kupigana walizidiwa kidgo na bruceAngalia picha ya Bruce Lee inaitwa Enter the Gragon Samo Hang alichofanywa na Bruce Lee.
Donie Yen anamkubali Brucee Lee mpaka anaigiza kumuota Bruce na mapigo yake ya Wing Chun
Kwenye mieleka icon ni Undertaker huyu yupo tangu miaka ya sabini na kawadefeat majina makubwa pale WWE tangu enzi hizo kama Kina Andre the giant,Rick Fair na mpaka kizazi cha kina John Cena kimemkuta akiwa bado kwenye ubora wake na bado alikuwa mbabeKila mchezo una icon wake,
Karate Bruce Lee
Kikapu- Michael Jordan
Muziki- Michael Jackson
Soka- Pele & Maradona
Ndonfi- Mohamed Ally & Tyson
Mieleka- John Cena
Except the fact that mieleka sio reality ni maigizo kama movies tu. Yani ni script acting.Kila mchezo una icon wake,
Karate Bruce Lee
Kikapu- Michael Jordan
Muziki- Michael Jackson
Soka- Pele & Maradona
Ndonfi- Mohamed Ally & Tyson
Mieleka- John Cena
Unapendelea mbona kuna sehm umeweka watu wa 2,Ondoa Tyson na maradona, Muache Pele na Mohamed Ally peke yao. Lkn kama unataka uweke wa wili kila sehem, basi mpachike Le bron james, Jack chen,na the Rock kwenye mielekaKila mchezo una icon wake,
Karate Bruce Lee
Kikapu- Michael Jordan
Muziki- Michael Jackson
Soka- Pele & Maradona
Ndonfi- Mohamed Ally & Tyson
Mieleka- John Cena
Ile ni Crazy Safari,sio hiyo uliyotaja boss.mzimu wa bruslii ulimuingia msandawe kwenye gods must be crazy!!msandawe alikuwa anapiga kereti hatari
Hapa mnanisingizia
Hilo jina la mfalme wa pop lilikuja tu, MJ alikuwa anafanya aina nyingi ya mziki na zote alikuwa anafanya poa.Kwenye muziki inategemea ni muziki wa aina gani....Michael Jackson alikuwa mfalme wa Pop music only
mshaanza useng3Ila hawa jamaa 666 wamepita na wengi sana watu maarufu duniani .