Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Unataka kusema huyu jamaa alieanzisha uzi wa no fap, ana uhisiano na huyu mchina?? ๐๐No fap ilihusika angekuwa mtu wa kula tunda kimasihara asingeweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema huyu jamaa alieanzisha uzi wa no fap, ana uhisiano na huyu mchina?? ๐๐No fap ilihusika angekuwa mtu wa kula tunda kimasihara asingeweza
Huyu wa jf ni mdau wa no fap lkn hamfikii hata nusu mchina ๐๐๐ si unaona kwanza katuachia manyoyaUnataka kusema huyu jamaa alieanzisha uzi wa no fap, ana uhisiano na huyu mchina?? ๐๐
Si ajabu ashagegeda tayari.Huyu wa jf ni mdau wa no fap lkn hamfikii hata nusu mchina ๐๐๐ si unaona kwanza katuachia manyoya
Na baridi hii ๐๐๐Si ajabu ashagegeda tayari.
Ugaidi -OSAMA BIN LADENKila mchezo una icon wake,
Karate Bruce Lee
Kikapu- Michael Jordan
Muziki- Michael Jackson
Soka- Pele & Maradona
Ndonfi- Mohamed Ally & Tyson
Mieleka- John Cena
Wakati,Lee kafa miaka ya 70..filamu zake hazivutii.
umitaka kung fu wavheck hawa.
jack chan
samo hhung
donie yuen
jet lee huyu uhslisia mdogo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu wake IP Man umeshamsikia mkuu?View attachment 2275279
Bruce lee Alikuwa mwana kareti wa kichina na Muigizaji mashuhuri wa Filamu.
Aliweza kufanya mambo yasiyo ya kawaida ya kustaajabisha .
Alikuwa na Uzani wa pondi 350 kipimo cha uzani wa mapigo.
Aliweza kupiga push up 1500 kwa mikono miwili.
Aliweza kupiga push up 400 kwa mkono mmoja, Alikuwa mashuhuri kwa kupiga push up 200 kwa vidole viwili vya mkono mmoja.
Alikuwa na uwezo wa kupiga push up 100 kwa kidole kimoja cha mkono mmoja recodi ambayo haijavunjwa na yeyote
View attachment 2275288
Bruce lee Alikuwa haraka katika mwendo na mapigo, kamera zililazimika kusetiwa kwa mwendo wa taratibu ili matendo yake yaweze kueleweka.
Aliruka kimo cha futi nane kimo ambacho sio cha kawaida.
View attachment 2275291
Alikuwa na mwili wenye nguvu sana ila hakuwa hivi
View attachment 2275302
Alikuwa hivi
View attachment 2275303
Aliweza kufanya mapigo elf tano ya kareti kwa siku na mapigo 8 kwa sekunde.
Huyu ndiye Bluce lee 1940-1973
Na kukosa penati za mchongo.Uchawi - simba
Hapana mkuuMwalimu wake IP Man umeshamsikia mkuu?
Mtoe Mzabzab hapo anakaa anasbo.
Hapo juu Bruce Lee ametajwa kuwa alikuwa na frequency ya 8Hz. Umeme frequency yake ni 60Hz; acha kabisa kufanya mchezo na umeme; ACHA!Haiwezi kuwa kweli ila mwendo wake wa kasi unatajwa kuwa kama umeme
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaahMzimu wa bruslii ulimuingia msandawe kwenye gods must be crazy!!msandawe alikuwa anapiga kereti hatari
๐๐๐๐Ushirikina ule!Uchawi - simba
Mkuu, hapo kwa John Cena hauko sahihi, huyu kaanza mieleka 2002. Kuna malegendary kama The undertaker n.kKila mchezo una icon wake,
Karate Bruce Lee
Kikapu- Michael Jordan
Muziki- Michael Jackson
Soka- Pele & Maradona
Ndonfi- Mohamed Ally & Tyson
Mieleka- John Cena
Mmmmh...! mi najuaga mieleka na zile ngumi za ulingoni,huwa ni real kumbe ni wana-act?Except the fact that mieleka sio reality ni maigizo kama movies tu. Yani ni script acting.
Jack chan ni chaplin aliyepoa.Sasa ile mwanangu hata Sammo Hung alikuwa hata sio staa wa filamu alikuwa ni teenager tu ambaye alicheza role ya Gym/dojo mate wa bruce Lee anbaye alipigana nae pambano lisilozidi hata dakika mbili..Lakini kiukweli mimi namuunga mkono jamaa Bruce Lee alikuw mtaalamu sana wa Martial arts ila yeye alifocus zaidi kwenye mapigo real yan maonyesho ya Martial arts kiuhalisia na sio kwenye filamu,huyu kwenye real life alitumia muda wake kwenye maonyeshi ya wazi na kupigana na mamasta wa madojo mengine kwenye miji ya Marekani tofauti na kina Jack na Sammo Hung na Yuen Biao ambao wao walideal sana na filamu na walikuwa wazuri sana kwenye action,drama and comedy lakini kiufundi na mbinu za kupigana walizidiwa kidgo na bruce
Kutetema - MayeleKila mchezo una icon wake,
Karate Bruce Lee
Kikapu- Michael Jordan
Muziki- Michael Jackson
Soka- Pele & Maradona
Ndonfi- Mohamed Ally & Tyson
Mieleka- John Cena