davyventure the great
Senior Member
- Dec 2, 2023
- 150
- 200
Utaishia kuwa mwalimu wa Jim. Fanya mpango wa kukata kidali mapemaHabari zenu Wana JF Mimi nahitaji kufahamu kuhusiana na hizo kozi mbili upande wa kuajiriwa na kujiajiri Kati ya radiology na physiotherapy nikianza na radiology naona kwa TZ teknolojia Bado ni ndogo ila sifaham sana kwa upande wa mahospitali ambayo Yako TZ au nje ya nchi je kunahuhitaji wa Wana radiolojia na hao hao watu wa therapy
Anayefahamu kuhusu hizo kozi karibu[emoji120][emoji120]
Sent from my Pixel 4a (5G) using JamiiForums mobile app
Hahhhhh au cyo mkuuu mbn naskiaga Wana pesa ndefu au siasaUtaishia kuwa mwalimu wa Jim. Fanya mpango wa kukata kidali mapema
Pesa ndefu kutoka wapi?. Radiology kidogo imekaa vizuri lakin nafas ni chache mno. Kun jamaa ORCI waliacha Kaz kila mtu kaingia mtaani kusaka Fursa za kujiajiriHahhhhh au cyo mkuuu mbn naskiaga Wana pesa ndefu au siasa
Sent from my Pixel 4a (5G) using JamiiForums mobile app
Dah hii nchi jau dah tutafika tumechoka mkuuPesa ndefu kutoka wapi?. Radiology kidogo imekaa vizuri lakin nafas ni chache mno. Kun jamaa ORCI waliacha Kaz kila mtu kaingia mtaani kusaka Fursa za kujiajiri
Naona wamepoa sana dah[emoji848]Ngoja waje kukupa muongozo...
Sio kweliUtaishia kuwa mwalimu wa Jim. Fanya mpango wa kukata kidali mapema
Dah ajira za radiology tz zipo laknSio kweli
Physiotherapy ipo vizuri hata kujiajiri ni rahisi depending on your level of competenc,
Radiology nayo pia niz nzuri ila kujiajiri utahitaji mtaji mkubwa.
Zipo boss kikubwa soma vizuri bado demand ipo na watanzania ni wengi sanaa kufikiwa wote sio rahisi fursa bado ipo
Mafamacia weng naona wapo kwenye maduka ya watu wanalipwa 150k per month maake wapo weng kitaaa kuzidi uhitaji wao wenda uwe na mtaji mkubwa ufungue duka lako na uwe na connection na madawa ya serikalini ndo utatoboa 🤝Ukitaka kozi nzuri kujiajiri kw afya soma pharmacy japo na zngne zipo lkn pharmacy ni Bora zaid
Mkuu mbona kama unazungumza kinyume chake?Sio kweli
Physiotherapy ipo vizuri hata kujiajiri ni rahisi depending on your level of competenc,
Radiology nayo pia niz nzuri ila kujiajiri utahitaji mtaji mkubwa.
Kinyume chake kwamba ? Fafanua mkuuuMkuu mbona kama unazungumza kinyume chake?
Kivipi boss mimi ni physiotherapist ndio maana nimesema hayaMkuu mbona kama unazungumza kinyume chake?
Radiology angalau kuliko Physiotherapy!Kinyume chake kwamba ? Fafanua mkuuu
OkKivipi boss mimi ni physiotherapist ndio maana nimesema haya