Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Sio kweli acha upotoshajiAta matherapist wanafanya kazi za gym 2 maake n carrier Yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli acha upotoshajiAta matherapist wanafanya kazi za gym 2 maake n carrier Yao
Acha ubishiMbn vyeti vyao vinakua vimeandikwa MD
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kaka kaka kaka umenichekesha sanaMbn vyeti vyao vinakua vimeandikwa MD
Au cyoHujui unachokizungumzia, na hutaki kuelewa unavyoeleweshwa. Nikusamehe bure tu.
Amini unachokijua.
Una uhakika na maneno Yako mkuuuUnakuwaje 'Dr' wa Radiolojia kama hujapitia MD?!
Hapo atakuwa either Sonographer au Radiographer and not Radiologist.
😅😅watu wanachanganya filesHiyo kozi ya wazeee kwanza hao occupational n kma hao wenzao mafamacia 2 hakuna kazi hapo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] confused files[emoji28][emoji28]watu wanachanganya files
Kiama chao kinakuja now vyuo vinafika 15+ na vitaongezeka siku hadi siku.Bsc in radiology and medical imaging atleast unakua na uelekeo maake inatolewa vyuo viwili 2 TZ nzima kwa wanafunz wachache sanaaa
ubunge ndo unapesa ndefu wasikudanganyeHahhhhh au cyo mkuuu mbn naskiaga Wana pesa ndefu au siasa
Sent from my Pixel 4a (5G) using JamiiForums mobile app
Hao wamesoma kozi za muda muda mfupi ugawaji dawa.Unajua mfamasia ngazi yake ya elimu na majukumu yake?Mafamacia weng naona wapo kwenye maduka ya watu wanalipwa 150k per month maake wapo weng kitaaa kuzidi uhitaji wao wenda uwe na mtaji mkubwa ufungue duka lako na uwe na connection na madawa ya serikalini ndo utatoboa 🤝
Bira umemwambia ukweliHivi we unawajua wafamasia au ,mfamasia ni yule aliyesoma degree Mzee kama huna degree usijiite mfamasia,mfamasia ni yule aliyesoma degree miaka mitano na sidhani kuna mfamasia anayeuza duka aje alipwe 150k kw kuuza dawa, hayupo .
Hajui alafu mmbishi bwege huyo yahan anaandika makosa kwa confidenceHujui unachokizungumzia, na hutaki kuelewa unavyoeleweshwa. Nikusamehe bure tu.
Amini unachokijua.
Mkuu umetumwaSoma geology
Una maanisha niniMkuu umetumwa
Geology ndo nn fafanua !? Unaweza kujiajiri through geologyUna maanisha nini