Bsc in Radiology and Physiotherapy

Bsc in Radiology and Physiotherapy

Mafamacia weng naona wapo kwenye maduka ya watu wanalipwa 150k per month maake wapo weng kitaaa kuzidi uhitaji wao wenda uwe na mtaji mkubwa ufungue duka lako na uwe na connection na madawa ya serikalini ndo utatoboa [emoji1666]
Hivi we unawajua wafamasia au ,mfamasia ni yule aliyesoma degree Mzee kama huna degree usijiite mfamasia,mfamasia ni yule aliyesoma degree miaka mitano na sidhani kuna mfamasia anayeuza duka aje alipwe 150k kw kuuza dawa, hayupo .
 
Wewe kama unaweza usisome mwanangu, mtaani pashakuwa pagumu kwa waliosoma mkuu.
 
Hivi we unawajua wafamasia au ,mfamasia ni yule aliyesoma degree Mzee kama huna degree usijiite mfamasia,mfamasia ni yule aliyesoma degree miaka mitano na sidhani kuna mfamasia anayeuza duka aje alipwe 150k kw kuuza dawa, hayupo .
Hilo cyo tatizo we unahs TZ Kuna
Hivi we unawajua wafamasia au ,mfamasia ni yule aliyesoma degree Mzee kama huna degree usijiite mfamasia,mfamasia ni yule aliyesoma degree miaka mitano na sidhani kuna mfamasia anayeuza duka aje alipwe 150k kw kuuza dawa, hayupo .
We unahs TZ Kuna wafanacia wangap wenye degree na gpa Kali ila wanasugua usiangalie carrier sana ILa muhimu n kufanya ambacho unapenda af then mengne yatakua out put 2 mkuu
 
Wewe kama unaweza usisome mwanangu, mtaani pashakuwa pagumu kwa waliosoma mkuu.
Me nahs sahv n kusoma upate elimu ya carrier unayopenda uku unajitafuta na kazi nyingne yenye maslah ila kutegemea ajira nikama Hadith ya KISADIKIKA
 
Soma radiology ,soma radiology
Yaani unakuwa Dr wa mionzi na Tanzania ni wachache sana.

Uhakika wa ajira ni 70% for government..
 
Kaka wafamasia hawafiki hata 2000 tz nzima uliza mkuu
Sikubaliani na ww kabsa maake sahv vyuo vya private vinatoa mafamacia kama njugu tena wenye degree angalia chuo kama st John ,Kampala na vingnevyo vingi mnoooo
 
Hii inchi ukiwa formal ni ngumu sana kutoboa. Lazima u'incorporate wizi wizi kufanikiwa.
Wachache sana wataelewa hii comment yako,ukiwa formal utaishia kuwa ngazi za wenzako kupata pesa,utatumika kama punda
 
Soma radiology ,soma radiology
Yaani unakuwa Dr wa mionzi na Tanzania ni wachache sana.

Uhakika wa ajira ni 70% for government..
Bsc in radiology and medical imaging atleast unakua na uelekeo maake inatolewa vyuo viwili 2 TZ nzima kwa wanafunz wachache sanaaa
 
Sikubaliani na ww kabsa maake sahv vyuo vya private vinatoa mafamacia kama njugu tena wenye degree angalia chuo kama st John ,Kampala na vingnevyo vingi mnoooo
Kaka we usiangalie idadi ya vyuo angalia wafamasia wangapi wamesajiliwa na Wana leseni so mtu tu kamaliza degree Hana leseni afu aseme ye ni mfamasia hapana,na hivyo vyuo uliza wanaanza wangapi na wanamaliza wangapi ,watu wanaweza Anza 100 wanamaliza 40 ,na wengine wanamaliza lkn hawana leseni so Aya akiwa kitaa hawezi tambuliwa kama mfamasia Kwa nchi hii kaka bila leseni utakuwa huna mwelekeo ,any way mi mwenyewe so mjuzi sana labda tuulize Kwa mfamasia ambaye ana degree na leseni atupe Hali halisi
 
Wachache sana wataelewa hii comment yako,ukiwa formal utaishia kuwa ngazi za wenzako kupata pesa,utatumika kama punda
Wizi ² lazma bongo maake ata hao wafamacia wenye maduka makubwa wanatoa madawa hospital za serikali af ukienda hosp dawa unaambiwa azipo ad uende duka flan
 
Wizi ² lazma bongo maake ata hao wafamacia wenye maduka makubwa wanatoa madawa hospital za serikali af ukienda hosp dawa unaambiwa azipo ad uende duka flan
Kaka we ushamwona mfamasia yupi kabeba dawa kutoka hospital kupeleka pharmacy,Kila sehemu kuna upigaji kaka hata uwe daktari,nesi upigaji ni tabia ya mtu so mfamasia kaka
 
Back
Top Bottom