Hivi we unawajua wafamasia au ,mfamasia ni yule aliyesoma degree Mzee kama huna degree usijiite mfamasia,mfamasia ni yule aliyesoma degree miaka mitano na sidhani kuna mfamasia anayeuza duka aje alipwe 150k kw kuuza dawa, hayupo .Mafamacia weng naona wapo kwenye maduka ya watu wanalipwa 150k per month maake wapo weng kitaaa kuzidi uhitaji wao wenda uwe na mtaji mkubwa ufungue duka lako na uwe na connection na madawa ya serikalini ndo utatoboa [emoji1666]
Hilo cyo tatizo we unahs TZ KunaHivi we unawajua wafamasia au ,mfamasia ni yule aliyesoma degree Mzee kama huna degree usijiite mfamasia,mfamasia ni yule aliyesoma degree miaka mitano na sidhani kuna mfamasia anayeuza duka aje alipwe 150k kw kuuza dawa, hayupo .
We unahs TZ Kuna wafanacia wangap wenye degree na gpa Kali ila wanasugua usiangalie carrier sana ILa muhimu n kufanya ambacho unapenda af then mengne yatakua out put 2 mkuuHivi we unawajua wafamasia au ,mfamasia ni yule aliyesoma degree Mzee kama huna degree usijiite mfamasia,mfamasia ni yule aliyesoma degree miaka mitano na sidhani kuna mfamasia anayeuza duka aje alipwe 150k kw kuuza dawa, hayupo .
Me nahs sahv n kusoma upate elimu ya carrier unayopenda uku unajitafuta na kazi nyingne yenye maslah ila kutegemea ajira nikama Hadith ya KISADIKIKAWewe kama unaweza usisome mwanangu, mtaani pashakuwa pagumu kwa waliosoma mkuu.
Kjana kama unasoma unawaza uje kusugua benchi ni Bora uingie kitaa tuMe nahs sahv n kusoma upate elimu ya carrier unayopenda uku unajitafuta na kazi nyingne yenye maslah ila kutegemea ajira nikama Hadith ya KISADIKIKA
Kaka wafamasia hawafiki hata 2000 tz nzima uliza mkuuMe nahs sahv n kusoma upate elimu ya carrier unayopenda uku unajitafuta na kazi nyingne yenye maslah ila kutegemea ajira nikama Hadith ya KISADIKIKA
Yaani wewe unaona bora upoteze muda..?Me nahs sahv n kusoma upate elimu ya carrier unayopenda uku unajitafuta na kazi nyingne yenye maslah ila kutegemea ajira nikama Hadith ya KISADIKIKA
Hapo umenena mkuuYaani wewe unaona bora upoteze muda..?
Muda ni mali mdogo wangu.
Sio kusugua unataftaga na mbinu za kuishi kitaa kama utakosa ajira kwa wakati huo adi utakapo bahatika lasivyo utasugua sanaKjana kama unasoma unawaza uje kusugua benchi ni Bora uingie kitaa tu
Sikubaliani na ww kabsa maake sahv vyuo vya private vinatoa mafamacia kama njugu tena wenye degree angalia chuo kama st John ,Kampala na vingnevyo vingi mnooooKaka wafamasia hawafiki hata 2000 tz nzima uliza mkuu
Wachache sana wataelewa hii comment yako,ukiwa formal utaishia kuwa ngazi za wenzako kupata pesa,utatumika kama pundaHii inchi ukiwa formal ni ngumu sana kutoboa. Lazima u'incorporate wizi wizi kufanikiwa.
Bsc in radiology and medical imaging atleast unakua na uelekeo maake inatolewa vyuo viwili 2 TZ nzima kwa wanafunz wachache sanaaaSoma radiology ,soma radiology
Yaani unakuwa Dr wa mionzi na Tanzania ni wachache sana.
Uhakika wa ajira ni 70% for government..
Sasa physiotherapist na mambo ya kukata kidali wapi na wapi naona unachanganya hapo kati ya personal trainer na physiotherapistUtaishia kuwa mwalimu wa Jim. Fanya mpango wa kukata kidali mapema
Sio kupoteza mda mkuu tafta carrier af jitafte asilimia kubwa ya W2 sahv wanafanya kazi ambazo hawajasisomea ataYaani wewe unaona bora upoteze muda..?
Muda ni mali mdogo wangu.
Ata matherapist wanafanya kazi za gym 2 maake n carrier YaoSasa physiotherapist na mambo ya kukata kidali wapi na wapi naona unachanganya hapo kati ya personal trainer na physiotherapist
Kaka we usiangalie idadi ya vyuo angalia wafamasia wangapi wamesajiliwa na Wana leseni so mtu tu kamaliza degree Hana leseni afu aseme ye ni mfamasia hapana,na hivyo vyuo uliza wanaanza wangapi na wanamaliza wangapi ,watu wanaweza Anza 100 wanamaliza 40 ,na wengine wanamaliza lkn hawana leseni so Aya akiwa kitaa hawezi tambuliwa kama mfamasia Kwa nchi hii kaka bila leseni utakuwa huna mwelekeo ,any way mi mwenyewe so mjuzi sana labda tuulize Kwa mfamasia ambaye ana degree na leseni atupe Hali halisiSikubaliani na ww kabsa maake sahv vyuo vya private vinatoa mafamacia kama njugu tena wenye degree angalia chuo kama st John ,Kampala na vingnevyo vingi mnoooo
Wizi ² lazma bongo maake ata hao wafamacia wenye maduka makubwa wanatoa madawa hospital za serikali af ukienda hosp dawa unaambiwa azipo ad uende duka flanWachache sana wataelewa hii comment yako,ukiwa formal utaishia kuwa ngazi za wenzako kupata pesa,utatumika kama punda
Toa mfano hata mmojaAta matherapist wanafanya kazi za gym 2 maake n carrier Yao
Kaka we ushamwona mfamasia yupi kabeba dawa kutoka hospital kupeleka pharmacy,Kila sehemu kuna upigaji kaka hata uwe daktari,nesi upigaji ni tabia ya mtu so mfamasia kakaWizi ² lazma bongo maake ata hao wafamacia wenye maduka makubwa wanatoa madawa hospital za serikali af ukienda hosp dawa unaambiwa azipo ad uende duka flan