Bsc in Radiology and Physiotherapy

Me sibishi mkuu ila maphermacia Bado n wengi Richa ya hvyo anyway uwe na mtaji wakutosha ufungue duka lako la dawa lasivyo ndo utatumika kama ngazi kwa wengne 2
 
Soma radiology ,soma radiology
Yaani unakuwa Dr wa mionzi na Tanzania ni wachache sana.

Uhakika wa ajira ni 70% for government..
Unakuwaje 'Dr' wa Radiolojia kama hujapitia MD?!
Hapo atakuwa either Sonographer au Radiographer and not Radiologist.
 
Kaka we ushamwona mfamasia yupi kabeba dawa kutoka hospital kupeleka pharmacy,Kila sehemu kuna upigaji kaka hata uwe daktari,nesi upigaji ni tabia ya mtu so mfamasia kaka
We unataka wabebe unawaangalia ash
 
Me sibishi mkuu ila maphermacia Bado n wengi Richa ya hvyo anyway uwe na mtaji wakutosha ufungue duka lako la dawa lasivyo ndo utatumika kama ngazi kwa wengne 2
Kaka we unadhani ni mtaji kuanzia shi ngapi ndo unaweza Anza ili uweze kufungua duka la dawa
 
Unakuwaje 'Dr' wa Radiolojia kama hujapitia MD?!
Hapo atakuwa either Sonographer au Radiographer and not Radiologist.n

Unakuwaje 'Dr' wa Radiolojia kama hujapitia MD?!
Hapo atakuwa either Sonographer au Radiographer and not Radiologist.
Hiyo n carrier ambayo imejitegemea mtu anayesoma radiology akimaliza anakua Dr wa radiologia wakuuu
 
Hiyo n carrier ambayo imejitegemea mtu anayesoma radiology akimaliza anakua Dr wa radiologia wakuuu
Umesoma mtaala gani ambao mtu akimaliza anakuwa the so called Dr wa Radiolojia?!
Kwa Tanzania, huwezi kuwa Radiologist bila ya kwanza kuwa MD.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…