Bububu Sec. Shule makini Zanzibar

Kwa wale jamaa wanaopenda vichwa bapa kama sinia

Mtoto akizaliwa wanambinya binya fuvu....kumbe hawajui kuwa na akili ndio wanaibinya binya, mwishowe wakiwa wakubwa shuleni wanasongesha division zero wakijitahidi four
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa wale jamaa wanaopenda vichwa bapa kama sinia

Mtoto akizaliwa wanambinya binya fuvu....kumbe hawajui kuwa na akili ndio wanaibinya binya, mwishowe wakiwa wakubwa shuleni wanasongesha division zero wakijitahidi four
Chogo[emoji16][emoji16]
 
Kwa wale jamaa wanaopenda vichwa bapa kama sinia

Mtoto akizaliwa wanambinya binya fuvu....kumbe hawajui kuwa na akili ndio wanaibinya binya, mwishowe wakiwa wakubwa shuleni wanasongesha division zero wakijitahidi four
wamekukosea nini
 
Kwani huko bara hakuna shule zenye zero za kutosha? Kwani Zanzibar hakuna shule ambazo hazina zero?

Angalia Taifa secondary school ya Dar halafu rudi na uangalie Maahad Istiqama ya Zanzibar

Mna chuki mno wallah
 
Tunapomshambulia Papa Francis kwa kauli zake, tuwapigie pia saluti Wakatoliki kwa huduma zao za elimu na afya

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…