Budapest Memorandum: Ulaghai wa kihistoria Warusi waliowafanyia Marekani, Uingereza na Ukraine

Kama hujui bado omba uelimishwe lakini Aftican resources are being plundered.

Mfano rahisi fuatilia saga ya Ufaransa na makoloni yake west Africa.
Tanzania hapa una kisingizio gani wakati mna kila kitu. Visingizio hivi vya kijinga vitafanya Afrika ibakie kuwa kichekesho cha dunia milele.
 
Vita siku zote ni uchumi, haya mataifa makubwa huangalia kwanza uchumi! Kama faida hakuna basi hakuna vita!

Ukrainian conflict: The first lithium war?​



  • Russia’s annexing of Ukraine’s massive lithium reserves has ‘benefitted Kremlin’
  • But Putin has succeeded in stopping EU’s plan for Ukrainian lithium

What is the real reason for the war in Ukraine??


The Russian leader ordered the invasion of Ukraine to strike a blow in the battle for control of the means of delivering the global energy transition.


The logic of the argument is this: prior to the Russian invasion, it had been estimated that Ukraine had around 500,000 tonnes of high-quality lithium – a key component of the batteries used in electric vehicles and energy storage systems – and consequently the country was set to become a “key player in the global transition to green technology”.



 
H
Hizo ni story za kijiweni pia mkuu.
 
H
Hizo ni story za kijiweni pia mkuu.
 
Nini kilisababisha Cuban missile crisis? Ni kwanini ilitaka kusababisha WWIII? Ukishapaelewa hapo bila bias hautopata shida kuyaelewa matendo ya Urusi kwa ukraine (Hii sitaki hata kuiandika kwa kuanza na caps).

Urusi baadae walikubali kutoa majeshi yao East Germany kwa makubaliano gani?

Marekani ndo kubwa la mashetani, Marekani ndo kubwa la malaghai hata usipate shida.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Nakwambia hawa ni watu wa vijiweni tu bwana hawawezi kujua hayo kwani Gorbachev alisema wao waliongelea mambo ya upunguzaji wa silaha za hatari tu na wala hawakuongelea mambo ya Nato.
Ingia YouTube andika "RFK Jr on ukraine war" utaongeza kitu. Havutii kumsikiliza lakini utapata madini.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Gorbachev alikua kibaraka wa west ndio maana hata alipofariki hakupewa mazishi ya kitaifa hata kwa kuzingatia ndio alikua rais wa mwisho wa USSR.

Warusi hawawezi kumsamehe kwa hilo kamwe.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Moja ya kosa Putin amefanya ni kuivamia Ukraine.

1. Naheshimu wasiwasi wa Usalama wa Russia hasa upande wa Ukraine Ila alitakiwa amalize hofu yake kwenye mazungmzo ya Amani na kuwepo na mkataba wa kuhakikisha Neutrality ya Ukraine.

Matokeo ya uvamivi yamekuwa tofauti sana, Finland na Sweden zimejiunga na NATO na Ukraine inazidi kuwa na nguvu na wakati huo huo Russia anaendelea kutumia rasilimali nyingi vitani, watakuja kushtuka Ukraine Ana Silaha za Nyuklia na military industry kubwa sana
 
Vipi kuhusu uvamizi wa Crimea 2014?
 
Marekani pamoja na kumchukia sana Urusi hawezi kamwe kuwawezesha ukraine kuwa na nyuklia kwasababu sio mjinga!

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Lini Marekani au NATO walitaka kuweka makombora yao Ukraine? Kuna makombora ya Marekani huko Finland, Uturuki, Romania, Bulgaria, na Estonia?

Urusi walikubali kuondoka East Germany ambayo haikuwa eneo lao kwa kuanzia kwa makubaliano gani?
 
Lakini bwana Kichuguu,unadhani maeneo kama Finland na Poland kwa kusaidiwa na washirika wake hawawezi kuipiga urusi wakiamua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…