Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Ongera TutayajengaBado nipo jijini mkuu, sasa hivi nimekuwa fundi ujenzi! Kama kuna saiti nipe nikujengee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongera TutayajengaBado nipo jijini mkuu, sasa hivi nimekuwa fundi ujenzi! Kama kuna saiti nipe nikujengee
Ukihama niachie room yako,huku kwetu hali si hali.Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Kinachofanya Serena iwe ghali siyo ubora wa vyakula per se. Hata bia kama Safari pale inaweza kuuzwa bei kubwa mara nne au zaidi ya inavyouzwa kwenye bar ya mataptap Kawe. Umenikumbusha mzee mmoja aliambiwa bei ya sahani ya wali kwenye hotel ya nyota tano akawa anasema ''si bora nikanunue gunia la mchele''.Mwaka jana nimekunywa juice mbovu kabisa Serena hotel kwa shilling 10,000/= wakati mtaani kuna juice bora kabisa glasi jero tu.
Ahahahah... sina jibu la 1 kwa 1 maana am talking about 2011/2013 hukooKwahiyo kaka unanishauri nihamie tandika?🤸
Nimekutania tu! Mimi nakaa kwetu hadi uzeeAhahahah... sina jibu la 1 kwa 1 maana am talking about 2011/2013 hukoo
Sasa kiziwi ataskiaje utamu wakat maskio hayafany kaziMwamba unataka kujaribu kila kilema😂😂😂😂😂😂😂.
Kiziwi je??
[emoji23][emoji23][emoji23]Alafu pembeni ni kimboka
CV ina sheheni uzoefu wa kutosha, hongera mkuu. Vp ana tofauti yyt na hawa uliowazoea?juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔
Usidanganye watu ungesema labda ni nyama ya wanyama wengine km punda ama mbwa lakini nyama ya vitoto vya ng'ombe inajulikana mno kwa ulaini.Hiyo ni supu ya vitoto vya ng'ombe.
Kule Vingunguti wakichinja ng'ombe wakakuta ni mjamzito hivyo vitoto ndiyo wanauziwa wamama wa Buguruni wanaowapikia hizo supu za jero jero
Hahahaha . Elfu 5 inatosha na chenchi inabaki kumtoa ubishi jamaaKitu gani siyo kweli mkuu?
Nakuomba njoo hapa buguruni muda huu nikununulie vitu vyote niliyo viorodhesha hapo!
Nitakununulia supu 500, wali 500, na chips kwa mama Aisha anauza 500, na juisi ya Matunda nitakununulia 300 ushushie!
Ukishiba nakupeleka kwa wahaya ukachague mwaamke yeyote unayemtaka kwa 3000 nitalipa mimi.
Serious njoo buguruni ili uache ubishi.
Hahahaha . Elfu 5 inatosha na chenchi inabaki kumtoa ubishi jamaaKitu gani siyo kweli mkuu?
Nakuomba njoo hapa buguruni muda huu nikununulie vitu vyote niliyo viorodhesha hapo!
Nitakununulia supu 500, wali 500, na chips kwa mama Aisha anauza 500, na juisi ya Matunda nitakununulia 300 ushushie!
Ukishiba nakupeleka kwa wahaya ukachague mwaamke yeyote unayemtaka kwa 3000 nitalipa mimi.
Serious njoo buguruni ili uache ubishi.
Nyama ya ngombe, Kuku, Mbuzi na Nguruwe zilizokufa (rejects) ndio zinaletwa BuguruniHii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage.
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana.
View attachment 2982368
Mtauziwa mizoga au nyama za mbwaHii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage.
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana.
View attachment 2982368