Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Duu,juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
Kwenye bargaining lazima kue na middle man or woman 😊😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu,juzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
Huyo binti albino alikuwaga anaranda randa sana maeneo yale kuna bwana mmoja rafiki yangu mnyalukolo alikuwa dalali wa mbao pale karibu na kimboka sasa nilikuwaga namtembeleaga pale ofisini kwake nikawa nakaona hako kabinti kazeruzeru jamaa aliniambia kanajiuzaga hivyo jamaa walipomtaja humu ndio nikakakumbuka hako kachangudoa,nadhani sijui ni kati ya 2008 - 2010Kitu Gani hicho mkuu!? Share na watazamamaji,wasomaji na
Wasikilizaji wetu wanakutegea Sikio ndugu mgeni rasmi!
Hii hesabu umetisha, hata professor wa maths pale UDSM haiwezi, nashukuru sana kuanzia leo nikituma kilo ntakuwa nahesabu vipande 72. Vikikosekana basi vijana wa wa mgahawa wangu wamenipiga. Huwa nauza wali sahani moja vipande 3 vya nyama, ambapo vipande 72 ni sahani 24, nikikuta kwa daftari sahani 20 tu basi nimepigwa sahani 4. Umetisha mkuu.Nyama robo ni 2500 na inatoa vipande 18 vidogo vidogo yva nyama. Hii wanauza 500 Ina vipande vingi hivyo wanatoaga wapi? 🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️
Mini hakuna fisiusikute nyama ya fisi nyie mnasema ng'ombe
Mi niko serious, hata huku mkoa nilikuja tu kupiga harakat fulan lakn naona znakua ngumu kwa hyo nikipata mchongo huko mjini narudi hata mwez ujao!Kama uko serious utanicheki PM ukihitaji
Uzoefu wa kukaa bachelor kiongozi. Huwa tunahesabu kila kitu.Hii hesabu umetisha, hata professor wa maths pale UDSM haiwezi, nashukuru sana kuanzia leo nikituma kilo ntakuwa nahesabu vipande 72. Vikikosekana basi vijana wa wa mgahawa wangu wamenipiga. Huwa nauza wali sahani moja vipande 3 vya nyama, ambapo vipande 72 ni sahani 24, nikikuta kwa daftari sahani 20 tu basi nimepigwa sahani 4. Umetisha mkuu.
Nyama ya paka ni gharama, na paka hawapatikani kirahisi.Ukute ni tunyama twa paka..
Mbona unamwongea marehemu na ulisema huko juu hasemwi.....🤫🤐🤐🤐Yap. Alikula binti yake wa mwisho alikuwa anasoma Benjamin mkapa. Japo wengine walidai ni pombe zilimpelekea kufanya hivyo, wengine wakasema ni ushauri wa mganga ili baa ichangamke. Si unajua tena wachaga wakinusa pesa.
😅😅😅😅😅 uwongo chaikuna jamaa walikuaga wanagonga supu ya utumbo uwanja wa fisi usiku kwenye vibatari akashangaa anatafuna lisaa lizima mzigo hausagiki kusogea kusogea kwenye mwanga bhana kumbe ule sio utumbo ni kondomu na janaba lake alilia kama mtoto
Kila mtu alipewa ofa kwa zamu zamu auKuna siku hapo mida ya asubuhi saa tano tunakunywa supu mahala tuende kwenye mishemishe zetu akaja mdada akatupa offer ya ndogo/tako dah aisee saa tano asubuhi..
Huyo ni binti wa marehemu, bado hajawa marehemu 😁Mbona unamwongea marehemu na ulisema huko juu hasemwi.....🤫🤐🤐🤐
Kwahiyo kaka unanishauri nihamie tandika?🤸Yan nikiwa 2nd year chuo ndio rasmi nilianza maisha ya kujitegemea nikawa nimepanga around Tandika sokoni. Maisha simple sanaaa.. nimepika sana mapande ya kuku ua Amidori yale. Very simple and cheap life kwa mtu ambaye hujajipata bado. Mita 20 mbele Danguro la wahaya.
Nilipofikir kuanza kua na family tu miaka kadhaa baadae nikaona pale hapanifai tena nikaoondoka.
Swali la hovyo kabisa hili.Bubu anajiuza? How?
😂Swali la hovyo kabisa hili.
How which,when,why?
Kama wanvyojiuza wengine.
kuna jamii au kundi fulani hawachagui fedha chafu na fedha safi------------ hawajui kuwa wanaacha laana kwenye vizazi vyaoKimboka pale ni shida.
Yule mzee alikula mpaka mtoto wake wa kumzaa, ndio maana baa imejaa laana ile.