Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage.

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana.

View attachment 2982368
Leftovers za machinjioni hizo
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage.

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana.

View attachment 2982368

Buguruni kila kitu bei nafuu sana hata dada poa bei chee sana, ndio hivyo vya bei nafuu sana havina ubora na ni hatari kwa afya na vinaua haraka
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage.

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana.

View attachment 2982368
Nimefuga mbwa na paka buguruni, kila siku wanapotea, nanunua wengine, sasa nimeanza kuelewa.
 
Nyama robo ni 2500 na inatoa vipande 18 vidogo vidogo yva nyama. Hii wanauza 500 Ina vipande vingi hivyo wanatoaga wapi? 🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️
Mimi robo nàpata vipande 4 tu mwenzangu 18 unàpataje?
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage.

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana.

View attachment 2982368
ngara23
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage.

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana.

View attachment 2982368
Hao ni nyama ile ambayo haijapimwa yaani kibudu
 
Mkuu,

Kuwa makini na supu za buguruni, pamoja na nyama ya mbuzi ambayo huoni kichwa wala mkia wa mbuzi.

Ile unauliza nyama Gani unajibiwa tu, hii ni nyama ya mbuzi!! Utakula nyama zisizoeleweka kutoka vingunguti hapo.

Ng'ombe washajifia hawaachwi Bure Bure.
Mkuu tema mate chini....haya mambo ni kumuomba Mungu tu! Vibudu vinafika Hadi Masaki na Oystabay ....Nina ijua hii industry kupitia kwa jamaa zangu Fulani! Dar ni Mji hatari sana.....hapo sijzungumzia supu za kuku wa kienyeji toka Singida!
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa? Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage.

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana.

View attachment 2982368


Mnalishwa Mbwa, laryngitis yeye, paka
 
Mkuu tema mate chini....haya mambo ni kumuomba Mungu tu! Vibudu vinafika Hadi Masaki na Oystabay ....Nina ijua hii industry kupitia kwa jamaa zangu Fulani! Dar ni Mji hatari sana.....hapo sijzungumzia supu za kuku wa kienyeji toka Singida!
Hawa wanojikutaga smart ndo wanalishwa vitu vya ajabu sana ili mradi viwekwe kwenye vifungashio vzuri vya kuvutia
 
Machimbo Karibia yote ya hapa buguruni nayajua, ila sijawahi kwenda kununua, na kama ikitokea nahitaji hao malaya nitaenda kwa dada zangu wahaya huku Kwenye vyumba vyao maana nimepanga karibu na vyumba vyao, siwezi kununua wale wa kusimama barabarani
Ni sehemu gani mku nielekeze
 
Ni sehemu gani mku nielekeze
Kwa wahaya wale wenye vyumba?
Kama siyo mwenyeji ni ngumu mkuu hata nikikuelekeza unaweza usifike maana ni ndani ndani.

Unaweza kusogea pale mataa upande wa pili kuna Jengo pale linajengwa ukifika tu wapo pia ni sehemu ya wazi itakuwa rahisi kwako kuliko kwa wahaya wale wako ndani ndani
 
Back
Top Bottom