Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500,
Wali ule unaouzwa 2000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Mnalishwa Vibudu.
 
Kimboka pale ni shida.
Yule mzee alikula mpaka mtoto wake wa kumzaa, ndio maana baa imejaa laana ile.
Wengine zamani ilikuwa ndio maeneo yetu ya kuponea!.....

Hapo kimboka by nyt, na sewa,Sugaray(zamani)
TMK.

Pale sewa kulikuwa na kazeruzeru Fulani kadogodogo miaka ya 2007-2009 sijui Kako wapi kale katoto!?

Nilishaenda saana kukaulizia hakapo!....kalikuwa katamu balaa!.. kama vile unamgonga J.LO!
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500,
Wali ule unaouzwa 2000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Angalia vibudu
 
Wengine zamani ilikuwa ndio maeneo yetu ya kuponea!.....

Hapo kimboka by nyt, na sewa,sugaray(zamani).

Pale sewa kulikuwa na kazeruzeru Fulani kadogodogo miaka ya 2007-2009 sijui Kako wapi kale katoto!?

Nilishaenda saana kukaulizia hakapo!....kalikuwa katamu balaa!.. kama vile unamgonga J.LO!
Du J lol hatari Sana Embu PM namba zake mkuu
 
Bubu anajiuza? How?
Huyo bubu yupo mkuu, kama ni yule ninaye mjua mimi, ni mwembamba hivi, siyo mrefu sana saizi ya kati tu.
Huwa yupo sana kapanga foleni na wenzie, ukipita tu anakushika mkono, anaanza kukuonyesha vidole vitaly (3000) mara vidole viwili 2000
Na hizo ndiyo bei, yeye anataka 3000, guest ni 2000!
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Nyama tunapata bure kwanini tusiuze 500 angalau na ninyi mle nyama, sokoni viazi vya bure vipo kila siku asubuhi kinachohitajika ni kuviosha na maji ya bure.
 
Back
Top Bottom