Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Halafu anataka kuhama sijui anahamia wapiAlafu pembeni ni kimboka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu anataka kuhama sijui anahamia wapiAlafu pembeni ni kimboka
Aisee kama si kibudu sijui. Sidhani kama buguruni kuna sehemu maalum wanakopata ng'ombe exclusively kwa bei chee. Nyama kilo 9000 hadi 1000 halafu supu na minofu yote uuziwe jero. Angalia mkuu usije kuwa wala nyama ya kimaHii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Du...kwa hiyo ulipiga bubu...vipi naye ana mashamsham ya kulia wakati wa game?!Huyo bubu namjua mkuu, bei za pale zinaeleweka ni 3000, kwahiyo pale atakuonyesha tu mara za vidole vitatu, na Ishara kibao, wewe hauongei ukifika pale, wao ndiyo wanahangaika kuongea na wewe
Nguvu ya buku jeroAlafu pembeni ni kimboka
Buguruni na Vingunguti machinjioni ni pua na mdomoNyama robo ni 2500 na inatoa vipande 18 vidogo vidogo yva nyama. Hii wanauza 500 Ina vipande vingi hivyo wanatoaga wapi? 🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️
Mkuu naomba ujazie nyama tafadhaliKuna mtaa Buguruni upo pale stendi ya daladala za Ilala hafu unaingia kushoto sijui kunaitwaje kule. Aisee. Shikamoo.
supu ya dog au catHii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Kuna Bubu pia Tiptop Manzese balaajuzi nimekutana na bubu nae yupo anatoa huduma papuchi😔😔
wacha wee ntatimba paleKuna Bubu pia Tiptop Manzese balaa
Mbona kama nyama ya 🐶Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Hapana mkuu si swala la umasikini ni mila na utamaduni wao.Hata Italy, Spain, Greece wanakula sana hii 'Veal meat'. Na ina faida nyingi kiafya.Pigia Mstari Ulaya Mashariki aka former Communists aka poorest nations in Europe
Mkuu.. toa location kama hutojali tafadhaliKuna Bubu pia Tiptop Manzese balaa
Huyo anaekuuzia nyama 1/4 kwa 2500 na huyu muuza supu wote ni first consummer wa vingunguti.Nyama robo ni 2500 na inatoa vipande 18 vidogo vidogo yva nyama. Hii wanauza 500 Ina vipande vingi hivyo wanatoaga wapi? 🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️
Niliwahi kukuta mishkaki ya Shilingi 20 pale Buguruni Mataa ila kufatilia nikaambiwa hua wanaenda kuchuna zile nyama za ngozi ya ng'ombe aliyechunwa hua kuna vinyama nyama vinabaki kwenye ngozi mwingine akaniambia hua wanachukua zile mimba za ng'ombe aliyechinjwa akiwa na mimbaHii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.
Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!
Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!
View attachment 2982368
Hako kaalbino nakajua, kalikuwa kanapenda kukaa karibia na mlango mdogo wa kutokea huku nyuma,Wengine zamani ilikuwa ndio maeneo yetu ya kuponea!.....
Hapo kimboka by nyt, na sewa,Sugaray(zamani)
TMK.
Pale sewa kulikuwa na kazeruzeru Fulani kadogodogo miaka ya 2007-2009 sijui Kako wapi kale katoto!?
Nilishaenda saana kukaulizia hakapo!....kalikuwa katamu balaa!.. kama vile unamgonga J.LO!
Niliwahi mwambia fundi garage moja wa Ilala kauli hio akanijibu “kwani vibudu vina shida gani..?” hahaMnalishwa Vibudu.
Veal meat siyo sawa na mimba ya ng'ombe mkuu. Kaangalie upya rejea yako.Hapana mkuu si swala la umasikini ni mila na utamaduni wao.Hata Italy, Spain, Greece wanakula sana hii 'Veal meat'. Na ina faida nyingi kiafya.
If yu want peace Never try to understand everything!!Nyama robo ni 2500 na inatoa vipande 18 vidogo vidogo yva nyama. Hii wanauza 500 Ina vipande vingi hivyo wanatoaga wapi? 🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️🤷🏿♂️