Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Aisee kama si kibudu sijui. Sidhani kama buguruni kuna sehemu maalum wanakopata ng'ombe exclusively kwa bei chee. Nyama kilo 9000 hadi 1000 halafu supu na minofu yote uuziwe jero. Angalia mkuu usije kuwa wala nyama ya kima
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
supu ya dog au cat
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Mbona kama nyama ya 🐶
 
Nyama robo ni 2500 na inatoa vipande 18 vidogo vidogo yva nyama. Hii wanauza 500 Ina vipande vingi hivyo wanatoaga wapi? 🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️
Huyo anaekuuzia nyama 1/4 kwa 2500 na huyu muuza supu wote ni first consummer wa vingunguti.
NA bado quality ya nyama yenyewe.
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Niliwahi kukuta mishkaki ya Shilingi 20 pale Buguruni Mataa ila kufatilia nikaambiwa hua wanaenda kuchuna zile nyama za ngozi ya ng'ombe aliyechunwa hua kuna vinyama nyama vinabaki kwenye ngozi mwingine akaniambia hua wanachukua zile mimba za ng'ombe aliyechinjwa akiwa na mimba
 
Wengine zamani ilikuwa ndio maeneo yetu ya kuponea!.....

Hapo kimboka by nyt, na sewa,Sugaray(zamani)
TMK.

Pale sewa kulikuwa na kazeruzeru Fulani kadogodogo miaka ya 2007-2009 sijui Kako wapi kale katoto!?

Nilishaenda saana kukaulizia hakapo!....kalikuwa katamu balaa!.. kama vile unamgonga J.LO!
Hako kaalbino nakajua, kalikuwa kanapenda kukaa karibia na mlango mdogo wa kutokea huku nyuma,
Karibu na baa ya Uropa Pub,
 
Kuna siku jamaa asubuhi kali, nimewakuta wanapakia kwa carry ng'ombe kibudu baada ya kushushwa katika carry nyingine, harafu ni umbali mfupi tu na pale nyama choma mwisho wa lami.
 
Hapana mkuu si swala la umasikini ni mila na utamaduni wao.Hata Italy, Spain, Greece wanakula sana hii 'Veal meat'. Na ina faida nyingi kiafya.
Veal meat siyo sawa na mimba ya ng'ombe mkuu. Kaangalie upya rejea yako.

Veal meat ni nyama ya ndama aliyekuzwa kwa week 16 hadi 18 siyo nyamafu ya mimba ya ng'ombe wanazouziwa Buguruni
 
Back
Top Bottom