Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

Wengine zamani ilikuwa ndio maeneo yetu ya kuponea!.....

Hapo kimboka by nyt, na sewa,Sugaray(zamani)
TMK.

Pale sewa kulikuwa na kazeruzeru Fulani kadogodogo miaka ya 2007-2009 sijui Kako wapi kale katoto!?

Nilishaenda saana kukaulizia hakapo!....kalikuwa katamu balaa!.. kama vile unamgonga J.LO!
😂😂😂😂😂 Wanaume tutafika peponi tumechoka sana
 
kaka pale kimboka kwanza ile ukipita tu unaitwa ukionekana kurespond wito utashikwa mkono kama aliekushika umelizika nae toa 3000 maneno yanini sasa? inamaana hata iyo 3000 huna
Mkuu unasema efu 3 au efu 30? Sasa papuchi ya efu 3 ina ladha gani aisee? Anyway, lakini hii huduma inasaidia kupunguza vitendo vya ubakaji. Malaya waheshimiwe na watu wote. Mungu awabariki kwa huduma nzuri ya kijamii wanayotoa, tena kwa bei nafuu.
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Unajua ni nyama ya nn hiyo!?umeshajiukiza kwa bei ya nyama butcher anapataje faida!?endelea kufurahia!
 
Mkuu unasema efu 3 au efu 30? Sasa papuchi ya efu 3 ina ladha gani aisee? Anyway, lakini hii huduma inasaidia kupunguza vitendo vya ubakaji. Malaya waheshimiwe na watu wote. Mungu awabariki kwa huduma nzuri ya kijamii wanayotoa, tena kwa bei nafuu.
yaan niwe dar afu nipate papuchi kwa elf 30? kwani mim ni mbunge papuchi ni elf 3 tu..........hiv hujawAhi kuona kuna watu hawanaga muda na hawa maslay queen.....yaan mtu anafanya mishe zake kama hajawaona na hashuhuliki nao kabisaa basi mimi ni mmoja wao yaan sinaga muda nahao watu
 
Hii ni Supu ya shilingi 500 hapa Buguruni, hivi kwa hali hii unaweza ukapata akili ya kuwa na vitu vikubwa?
Buguruni hii kuna mpaka Chips za 500.

Wali ule unaouzwa 2,000 maeneo mengine hapa tunauziwa 1000, kuna mpaka kipimo cha 500 kama ukiomba unapata wali na maharage!

Nataka nihame hapa Buguruni maana tangia nimehamia hapa ni kama nimepunguza kasi ya kupambana!

View attachment 2982368
Eti kunalemaza 😂
 
Back
Top Bottom