Building Better Tomorrow (BBT): Hongera Bashe, sisi wakulima tunasema piga hela za Rais Samia haswa, zile kwelikweli Kaka!!

Building Better Tomorrow (BBT): Hongera Bashe, sisi wakulima tunasema piga hela za Rais Samia haswa, zile kwelikweli Kaka!!

Hii tabia ya serikali kukurupuka kufanya mambo ikiamini inawafanyia wanaichi bila kutulia na kujipa muda mzuri wa kuyafanyia kazi mapendekezo ya wadau itaendelea kufeli miaka yote.
 
Huu mradi hauna malengo.

Kwamba wanaenda lima zabibu, serikali inajenga kiwanda na kukikodisha kwa watu wakiendeshe

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kosa la kwanza ni ukulima wa vikundi. Watu wanafundishwa kilimo kwa miezi sita then waende wakafanye mapinduzi ya kilimo. Kilimo sio kitu rahisi namna hiyo.

Hizo pesa angepewa muwekezaji mzawa mwenye uwezo mkubwa akopeshwe na serikali hiyo pesa. Then apewe sharti la kuajiri hiyo idadi ya watu kama lengo ni kutafutia watu cha kufanya.
Au wangegawa ruzuku hiyo pesa kwa wakulima wa kati ambao wapo official watengeneze mradi wa value chain.
 
Naweka akiba ya maneno. Ngoja tuone.

Naomba nichangie nukta kadhaa.
Umeuliza kama vijana watapitiwa mafunzo. Ni kweli watapatiwa mafunzo nadhani kama sijakosea ni ya kipindi cha miezi 6.

Jambo lingine umeuliza hiki kinachofanyika kama kinabeba lengo la kuleta mapinduzi ya kilimo au kusaidia vijana kwenye nyanja ya ajira. Ukiuangalia mradi ipo wazi umeundwa kwa lengo la kuchochea na kuleta hamasa kwa vijana kushiriki kwenye kilimo, na mpango ni endelevu.

Suala la mageuzi katika kilimo ni pana na mtambuka kama ulivyoeleza wewe mwenyewe. Wakati mwingine tuwe positive na kukosoa matokeo ya mradi. Na mradi wowote unakufaulu na kushindwa. Kwa kuwa ni mradi mpya utaenda ukiendelea kufanyiwa maboresho.
You have answered the easy questions, avoided the nitty gritty. Youth wa maghorofani kamaliza BCom au LLB Mlimani kajitayarisha kuwa Lord, na nyumba yake na gari yake. Waziri Bashe anampa eka 3 za kulima mawese Kigoma au katanga Chamwino, je ataweza? Akiweza kuyazvuna, somo atapateje? Mheshimiwa Waziri tumsaidieni kumpa njia ya jinsi ya kuwaunganisha hawa vijana. Benki bado hazitampa hela, na mvua zikinyesha shurti aende shambani kuongoza maji yao give kwenye majaruba yake. Ataweza?
 
Namimi ninaandika kidogo

Eti Bashe anasema vijana watalishwa na kulala bure miezi minne? Hapo watakua wanafanyaje?
Wametumia vigezo gani kuwapata? Ila kuna jambo mleta mada amedokeza kwamba nimakada

Kwanini wasichukue maafisa ugani wakawapa huo mradi ili kuleta matokeo bora?
Hiyo miezi minne ya kula na kulala bure siingekua muda wa kuotesha na kuvuna mazao ya chakula na mbogamboga?
Bashe bado ninamashaka na huu mradi wake anaenda kupoteza hela nyingi sana na matokeo au mrejesho wake utakua na makandokando

Eti ametoa Liz ya miaka 66 sasa wasipofanya vizuri hiyo ardhi itakuaje kama serikali ikitaka kuwapa wawekezaji wengine? HAPA TUMEPIGWA ZA CHEMBE. Hapo wanasiasa inawezekana wamejitwalia ardhi kwa mgongo wa hiyo BBT

Ninarudia Bashe tumia wasomi kwenye kilimo acha siasa utaumbuka na utaiharibu CV yako
 
You have answered the easy questions, avoided the nitty gritty. Youth wa maghorofani kamaliza BCom au LLB Mlimani kajitayarisha kuwa Lord, na nyumba yake na gari yake. Waziri Bashe anampa eka 3 za kulima mawese Kigoma au katanga Chamwino, je ataweza? Akiweza kuyazvuna, somo atapateje? Mheshimiwa Waziri tumsaidieni kumpa njia ya jinsi ya kuwaunganisha hawa vijana. Benki bado hazitampa hela, na mvua zikinyesha shurti aende shambani kuongoza maji yao give kwenye majaruba yake. Ataweza?
Hivi unaelewa ulichoandika? Kwanza masharti ya waliodahiliwa ilikuwa lazima uwe umetokea kwenye background ya Kilimo.

Pili serikali ilishafanya financing za kuwakopesha zamani sana yaani pesa Inatoka Kwa Serikali bila kusubilia banks

Mwisho Kilimo hakihitaji hizo hadithi zenu just work kama hivi 👇

 
You have answered the easy questions, avoided the nitty gritty. Youth wa maghorofani kamaliza BCom au LLB Mlimani kajitayarisha kuwa Lord, na nyumba yake na gari yake. Waziri Bashe anampa eka 3 za kulima mawese Kigoma au katanga Chamwino, je ataweza? Akiweza kuyazvuna, somo atapateje? Mheshimiwa Waziri tumsaidieni kumpa njia ya jinsi ya kuwaunganisha hawa vijana. Benki bado hazitampa hela, na mvua zikinyesha shurti aende shambani kuongoza maji yao give kwenye majaruba yake. Ataweza?
Kwamba wao hawajayaona hayo unayoeleza na kuya-address. Umesoma lakini maelezo ya mradi ukaona practicability ya CCPM methodology ya mradi? Ukisoma utapata majibu ya uliyoyauliza.
 
Namimi ninaandika kidogo

Eti Bashe anasema vijana watalishwa na kulala bure miezi minne? Hapo watakua wanafanyaje?
Wametumia vigezo gani kuwapata? Ila kuna jambo mleta mada amedokeza kwamba nimakada

Kwanini wasichukue maafisa ugani wakawapa huo mradi ili kuleta matokeo bora?
Hiyo miezi minne ya kula na kulala bure siingekua muda wa kuotesha na kuvuna mazao ya chakula na mbogamboga?
Bashe bado ninamashaka na huu mradi wake anaenda kupoteza hela nyingi sana na matokeo au mrejesho wake utakua na makandokando

Ninarudia Bashe tumia wasomi kwenye kilimo acha siasa utaumbuka na utaiharibu CV yako
Watakuwa wanawapa.training si mumeandika hapo Juu kwamba hakuna training ndio watapewa Kwa mda huo.

Kama hujufuatilia Toka Mwanzo wakati wanadhili.kaa kimya katafute njia walizotumia ndio uje kuuliza..

Kazi ya afisa ugani ni kulima au kutoa mafunzo na utaalamu Kwa wakulima? Hao watakuwa na hao wakulima Vijana through out,

Mwisho Bashe usisikilize wajinga na looser hata kidogo hasa hao wanaojiita Wasomi wachambuzi,tumia Vijana kibao wko wanafanya Kilimo ndio watoe uzoefu..

Kilimo.hkihitaji maneno mengi ,huyu hapa analima wewe umeona Kuna Wasomi ?

 
Namimi ninaandika kidogo

Eti Bashe anasema vijana watalishwa na kulala bure miezi minne? Hapo watakua wanafanyaje?
Wametumia vigezo gani kuwapata? Ila kuna jambo mleta mada amedokeza kwamba nimakada

Kwanini wasichukue maafisa ugani wakawapa huo mradi ili kuleta matokeo bora?
Hiyo miezi minne ya kula na kulala bure siingekua muda wa kuotesha na kuvuna mazao ya chakula na mbogamboga?
Bashe bado ninamashaka na huu mradi wake anaenda kupoteza hela nyingi sana na matokeo au mrejesho wake utakua na makandokando

Eti ametoa Liz ya miaka 66 sasa wasipofanya vizuri hiyo ardhi itakuaje kama serikali ikitaka kuwapa wawekezaji wengine? HAPA TUMEPIGWA ZA CHEMBE. Hapo wanasiasa inawezekana wamejitwalia ardhi kwa mgongo wa hiyo BBT

Ninarudia Bashe tumia wasomi kwenye kilimo acha siasa utaumbuka na utaiharibu CV yako
Oyaa **** watu wamegawana hayo maeneoz na bahati mbaya zaidi, Pesa za mtanzania Masikin, ndio zinaenda kutumika .

Wizi tupuuu
 
Bashe anafanya kazi ya maana. Kazi inayoonekana.
Ni kweli,mbona hata ukisikiliza kwa umakini hotuba yake bila kuwa na chuki nae unaona kabisa BASHE kichwani ni mzima,na anaongea vitu ambavyo hata akili ya kawaida tu inakubali,kwa kuwa anatoa mifano mbali mbali na njia watakayo pita mpaka kufika kwenye BBT,
 
Ni kweli,mbona hata ukisikiliza kwa umakini hotuba yake bila kuwa na chuki nae unaona kabisa BASHE kichwani ni mzima,na anaongea vitu ambavyo hata akili ya kawaida tu inakubali,kwa kuwa anatoa mifano mbali mbali na njia watakayo pita mpaka kufika kwenye BBT,
Mashamba ya utafiti wa Mbegu..

Wizara ya Kilimo.haifanyi.mizaha kama ya awamu ya 5

mwananchi_official_1679423125225497.jpg
 
Wacha tumuone mbiooo zake.


Kwa anavyojua kuhadaa, hawez kukosea sababu

Nawaona wajinga hapa wanajifanya kuunga mkono mambo dhaifu nawaita punguani hawa, mkulima yuko kule kijijini hadaa za maneno machache watu wanaingia wazima kama nguruwe, niliona Alikiba nae eti anafoundation inaitwa kiba ameshaandika andiko ahamasishe kilimo nchi nzima hivo kwanza atapewa eneo na mapesa kibao ili ahimize kilimo, hiyo haina tofauti na tulivogonga pesa kwenye EPA, na rafiki zangu akina Rajabu Maranda
 
Back
Top Bottom