Building Better Tomorrow (BBT): Hongera Bashe, sisi wakulima tunasema piga hela za Rais Samia haswa, zile kwelikweli Kaka!!

Building Better Tomorrow (BBT): Hongera Bashe, sisi wakulima tunasema piga hela za Rais Samia haswa, zile kwelikweli Kaka!!

Mawaziri wanapishana tu kuja na vimiradi uchwara vya upigaji Pesa !

Mnakumbuka Makamba akaja na ya kukodi Wahindi kufatilia Ukatikaji wa Umeme Mabilioni ya Kitanzania ?.

Sasa Ukiwa Waziri ,mwenye akili ya Ulaji, Kwa Samia lazima upige , yes unapiga kwakua Samia sio mfatiliaji, ili mradi umemchorea picha tu basi unakula Pesa, Ndioooo lazima tuseme ukweli, Samia ni mwepesi kudanganywa !!.

Bashe anafanya mapinduzi ya Kilimo Kwa kukusanya Vijana Et wakalime Dodoma !!.


KILIMO NCHINI KINA MATATIZO MENGI, KINAHITAJI UWEKEZAJI MKUBWA KWENYE SERA NA MIFUMO YETU YA TAFITI INAYOHUSIANA NA KILIMO , NA PIA KINAHITAJI INTEGRATION NA SEKTA NYINGINE .

Labda niongeee kimombo ndo tuelewane !!

In order to bring much needed changes in our Country we must first reexamine our policy toward our deteriorating agricultural knowledge system, in favor of active engagement in remodeling and reshuffling of our Agricultural institutions .
Miaka zaidi ya 60 watu wanalima kienyeji !!!

Lazima Kwanza kufanyike transformation ya Agricultural research system , Kilimo chetu hapa Tanzania ni Private centered , na Ili uweze kuserve aina hii ya Kilimo kwenye soko ni lazima uhakikishe kwanza research system kuhusian na Kilimo ni sustainable, iwe efficient, iwe ambayo ni demand driven, iwe decentralized, na ambayo ni accountable Kwa wadau wa Kilimo hapa Nchini lakini ni ukweli ulio wazi kwamba ni lazima pia iwe integrated with the higher education system and knowledge transfer .... Tuna Chuo kikuu Cha Sokoine, tumekitumiaje??.

Pili, Bashe alitakiwa Kuhakikisha kunakuwepo na Adequate Financial support Kwa Researchers wetu na wakulima Nchini , Sawa Nchi bado inachechemea je Kuna Fungu ambalo angalau linaenda ku finance tafiti mkakati Kwa lengo la kuimarisha Kilimo. ?. Au tunaishia kutoa tu ruzuku ?.

Tatu, Wakulima wetu ni wachini sana , Je Wanafikishiwa Information services kuhusiana na mazao yao ? lazima kuwepo na decentralization ya agricultural information services na Serikali ihakikishe wakulima wameelimishwa na wakaelewa.

The System of agricultural knowledge consists of agricultural research, education, training, and technology transfer. Hivi vitu vinaenda pamoja na nilazima viwe fully integrated kama kweli tunahitaji tuwe na Kilimo ambacho ni responsive, efficient, and cost effective.

Bashe anajinasibu kua Sasa Vijana wanaenda kutumia Nyezo za kisasa, sawa lakini je Kuna utafiti juu ya wanachoenda kufanya?. Wamepewa Elimu? Wamepewa Mafunzo? .

Our national agricultural research system need to:
[emoji117] decentralize, reconstruct, rehabilitate, and consolidate the system to make it
sustainable and efficient
[emoji117]remodel the system to make it serve private agriculture based on market principles

[emoji117]Embrace socio-economic, ecological, and business standards in planning, setting of priority , monitoring and
evaluating agricultural research

[emoji117] Develop and strengthen linkages
between Agricultural researchers and users, and among research, teaching, and knowledge transfer activities.

[emoji117] facilitate increased investment in
agricultural research and development.


Je Waziri Bashe kaja na BBT Kwa sababu ya kusaidia Vijana wasomi walokoswa ajiri ili wajiajiri kwenye Kilimo yaan wapate chakufanya sio kuzurula mitaani ?. Au Kaja na BBT ili kuleta Mageuzi kwenye Kilimo ndani ya Nchi?.

Kwa kuwatizama wale Vijana ,mbona ni UVCCM ?
Kwanza hujasoma andiko la BBT

Pili vijana wanaanza kupewa mafunzo ya kilimo,tayari mafunzo yanaendelea kwa vituo 15

Mwisho kijana atawezeshwa yafuatayo baada ya mafunzo

1.Shamba(likiwa tayari kwa kilimo cha kisasa na miundombinu)
2.Mtaji wa kulima kwa kuwezeshwa mahitaji yote
3.Soko kwa maana ya kuwepo investors

Ambao watakua soko la kwanza kwa uzalishaji

Lengo kilimo kizalishe walau ajira 3m kupitia kundi la vijana na kusaidia ukuaji wa sekta a kilimo kwa 10% ifikapo 2030


Mwisho kila mtu apambane na hali yake.
 
Yaani ufute Kilimo mashuleni kulee a-lafu watu waje wakielewe... Wakifanye na wakipende ukubwani...??
Tunachekesha sana
 
Nashangaa sana Yani Raisi anamteua mtu sio Mtanzania kuwa waziri wa kilimo anaunda magenge ya upigaji Ela za Watanzania .mkulima hafaidiki na chochote
 
Mawaziri wanapishana tu kuja na vimiradi uchwara vya upigaji Pesa !

Mnakumbuka Makamba akaja na ya kukodi Wahindi kufatilia Ukatikaji wa Umeme Mabilioni ya Kitanzania ?.

Sasa Ukiwa Waziri ,mwenye akili ya Ulaji, Kwa Samia lazima upige , yes unapiga kwakua Samia sio mfatiliaji, ili mradi umemchorea picha tu basi unakula Pesa, Ndioooo lazima tuseme ukweli, Samia ni mwepesi kudanganywa !!.

Bashe anafanya mapinduzi ya Kilimo Kwa kukusanya Vijana Et wakalime Dodoma !!.


KILIMO NCHINI KINA MATATIZO MENGI, KINAHITAJI UWEKEZAJI MKUBWA KWENYE SERA NA MIFUMO YETU YA TAFITI INAYOHUSIANA NA KILIMO , NA PIA KINAHITAJI INTEGRATION NA SEKTA NYINGINE .

Labda niongeee kimombo ndo tuelewane !!

In order to bring much needed changes in our Country we must first reexamine our policy toward our deteriorating agricultural knowledge system, in favor of active engagement in remodeling and reshuffling of our Agricultural institutions .
Miaka zaidi ya 60 watu wanalima kienyeji !!!

Lazima Kwanza kufanyike transformation ya Agricultural research system , Kilimo chetu hapa Tanzania ni Private centered , na Ili uweze kuserve aina hii ya Kilimo kwenye soko ni lazima uhakikishe kwanza research system kuhusian na Kilimo ni sustainable, iwe efficient, iwe ambayo ni demand driven, iwe decentralized, na ambayo ni accountable Kwa wadau wa Kilimo hapa Nchini lakini ni ukweli ulio wazi kwamba ni lazima pia iwe integrated with the higher education system and knowledge transfer .... Tuna Chuo kikuu Cha Sokoine, tumekitumiaje??.

Pili, Bashe alitakiwa Kuhakikisha kunakuwepo na Adequate Financial support Kwa Researchers wetu na wakulima Nchini , Sawa Nchi bado inachechemea je Kuna Fungu ambalo angalau linaenda ku finance tafiti mkakati Kwa lengo la kuimarisha Kilimo. ?. Au tunaishia kutoa tu ruzuku ?.

Tatu, Wakulima wetu ni wachini sana , Je Wanafikishiwa Information services kuhusiana na mazao yao ? lazima kuwepo na decentralization ya agricultural information services na Serikali ihakikishe wakulima wameelimishwa na wakaelewa.

The System of agricultural knowledge consists of agricultural research, education, training, and technology transfer. Hivi vitu vinaenda pamoja na nilazima viwe fully integrated kama kweli tunahitaji tuwe na Kilimo ambacho ni responsive, efficient, and cost effective.

Bashe anajinasibu kua Sasa Vijana wanaenda kutumia Nyezo za kisasa, sawa lakini je Kuna utafiti juu ya wanachoenda kufanya?. Wamepewa Elimu? Wamepewa Mafunzo? .

Our national agricultural research system need to:
👉 decentralize, reconstruct, rehabilitate, and consolidate the system to make it
sustainable and efficient
👉remodel the system to make it serve private agriculture based on market principles

👉Embrace socio-economic, ecological, and business standards in planning, setting of priority , monitoring and
evaluating agricultural research

👉 Develop and strengthen linkages
between Agricultural researchers and users, and among research, teaching, and knowledge transfer activities.

👉 facilitate increased investment in
agricultural research and development.


Je Waziri Bashe kaja na BBT Kwa sababu ya kusaidia Vijana wasomi walokoswa ajiri ili wajiajiri kwenye Kilimo yaan wapate chakufanya sio kuzurula mitaani ?. Au Kaja na BBT ili kuleta Mageuzi kwenye Kilimo ndani ya Nchi?.

Kwa kuwatizama wale Vijana ,mbona ni UVCCM ?
Kwani kazi ya Bunge ni nini?
 
Nashangaa sana Yani Raisi anamteua mtu sio Mtanzania kuwa waziri wa kilimo anaunda magenge ya upigaji Ela za Watanzania .mkulima hafaidiki na chochote
Mtanzania ni yupi? Yaani azaliwe,akulie Tanzania hajua nchi nyingine zaidi ya hii unasema sio mtanzania?Tuache hizo
 
Mawaziri wanapishana tu kuja na vimiradi uchwara vya upigaji Pesa !

Mnakumbuka Makamba akaja na ya kukodi Wahindi kufatilia Ukatikaji wa Umeme Mabilioni ya Kitanzania ?.

Sasa Ukiwa Waziri ,mwenye akili ya Ulaji, Kwa Samia lazima upige , yes unapiga kwakua Samia sio mfatiliaji, ili mradi umemchorea picha tu basi unakula Pesa, Ndioooo lazima tuseme ukweli, Samia ni mwepesi kudanganywa !!.

Bashe anafanya mapinduzi ya Kilimo Kwa kukusanya Vijana Et wakalime Dodoma !!.


KILIMO NCHINI KINA MATATIZO MENGI, KINAHITAJI UWEKEZAJI MKUBWA KWENYE SERA NA MIFUMO YETU YA TAFITI INAYOHUSIANA NA KILIMO , NA PIA KINAHITAJI INTEGRATION NA SEKTA NYINGINE .

Labda niongeee kimombo ndo tuelewane !!

In order to bring much needed changes in our Country we must first reexamine our policy toward our deteriorating agricultural knowledge system, in favor of active engagement in remodeling and reshuffling of our Agricultural institutions .
Miaka zaidi ya 60 watu wanalima kienyeji !!!

Lazima Kwanza kufanyike transformation ya Agricultural research system , Kilimo chetu hapa Tanzania ni Private centered , na Ili uweze kuserve aina hii ya Kilimo kwenye soko ni lazima uhakikishe kwanza research system kuhusian na Kilimo ni sustainable, iwe efficient, iwe ambayo ni demand driven, iwe decentralized, na ambayo ni accountable Kwa wadau wa Kilimo hapa Nchini lakini ni ukweli ulio wazi kwamba ni lazima pia iwe integrated with the higher education system and knowledge transfer .... Tuna Chuo kikuu Cha Sokoine, tumekitumiaje??.

Pili, Bashe alitakiwa Kuhakikisha kunakuwepo na Adequate Financial support Kwa Researchers wetu na wakulima Nchini , Sawa Nchi bado inachechemea je Kuna Fungu ambalo angalau linaenda ku finance tafiti mkakati Kwa lengo la kuimarisha Kilimo. ?. Au tunaishia kutoa tu ruzuku ?.

Tatu, Wakulima wetu ni wachini sana , Je Wanafikishiwa Information services kuhusiana na mazao yao ? lazima kuwepo na decentralization ya agricultural information services na Serikali ihakikishe wakulima wameelimishwa na wakaelewa.

The System of agricultural knowledge consists of agricultural research, education, training, and technology transfer. Hivi vitu vinaenda pamoja na nilazima viwe fully integrated kama kweli tunahitaji tuwe na Kilimo ambacho ni responsive, efficient, and cost effective.

Bashe anajinasibu kua Sasa Vijana wanaenda kutumia Nyezo za kisasa, sawa lakini je Kuna utafiti juu ya wanachoenda kufanya?. Wamepewa Elimu? Wamepewa Mafunzo? .

Our national agricultural research system need to:
👉 decentralize, reconstruct, rehabilitate, and consolidate the system to make it
sustainable and efficient
👉remodel the system to make it serve private agriculture based on market principles

👉Embrace socio-economic, ecological, and business standards in planning, setting of priority , monitoring and
evaluating agricultural research

👉 Develop and strengthen linkages
between Agricultural researchers and users, and among research, teaching, and knowledge transfer activities.

👉 facilitate increased investment in
agricultural research and development.


Je Waziri Bashe kaja na BBT Kwa sababu ya kusaidia Vijana wasomi walokoswa ajiri ili wajiajiri kwenye Kilimo yaan wapate chakufanya sio kuzurula mitaani ?. Au Kaja na BBT ili kuleta Mageuzi kwenye Kilimo ndani ya Nchi?.

Kwa kuwatizama wale Vijana ,mbona ni UVCCM ?
Hivi hii program inaendeleaje???
Impact yake ikoje???
Results????
 
Back
Top Bottom