Building Better Tomorrow (BBT): Hongera Bashe, sisi wakulima tunasema piga hela za Rais Samia haswa, zile kwelikweli Kaka!!

Wajinga na wapiga makofi wa awamu hii ni wapuuzi kama wapuuzi wengine, huwezi kushindwa kufikisha mbolea ya ruzuku urukie mapinduzi ya kilimo, mapinduzi ya nyoko
 
Hivi Bashite yuko wapi?
 
Tunafeli ni Kwa sababu ya kufikiria kushindwa.Kijana anayepata ujuzi na anaamua kuachana nao na kufeli anakuwa amejitakia.Kilimo ni fursa kubwa sana ya kuondokana na umasikini.Njooni Njombe muone kilimo kinavyobadili maisha ya watu pamoja na kutokuwa na utaalamu.Sitaki kukosoa mwanzo wa project tukosoe result.
 
Viongozi wa Tanzania wanapenda matokeo sio process, ulaya wanajenga academy kwa watoto sisi tunatoa 5m kwa kila goli.
Bashe amefeli kabla hajaanza na bahati mbaya viongozi wetu huwa hawajifinzi kutokana na historia kama alivyosema Ali Mfuruki bla bla nyingi tunakata matawi na si kung'oa mizizi au angalau shina
 
Mkuu moja ya Wizara hii ya Kilimo ni pamoja na kumlinda na kumelimisha mkulima; yeye mwenyewe pamoja na mazao yake. Lakini hatuoni hatua zozote za kulinda mazao yake pale yanapo haribiwa na wanyama waliopo chini ya uangalizi serikali (TANAPA); Kwa kipindi cha miaka miwili sasa tembo wameharibu kwa maana wanakula mazao ya wakulima Mkoani Tanga, Wizara inajua lakini inashindwa kuwasaidia wakulima hawa kwa kuongea na Wizara ya Maliasili na Utalii ili kuwafidia wakulima hao, ambao wamepoteza fedha nyingi katika kulima mazao hayo. Nayo Wizara ya Utalii, ikibanwa na wakulima walioathirika, wana wataka wajaze fomu na kuzipeleka wilayani kwa Afisa Wanyamapori wa Wilaya kwa kulipa fidia. Fomu ikifika hapo ndio mawasiliano yamekufa. Aidha wakiona unawafuatilia sana, basi wana kukatisha tamaa kwa kukuambia kwamba wewe mkulima ndio umemfuata tembo kwenye makazi yake.
Kwa kweli majibu yao pamoja na kukatisha tamaa, lakini yanafikirisha sana; hivi vijiji vimesajiliwa na kutambulika na Serikali. Kwenye hivi vijiji kuna huduma zote za kijamii zilizojengwa na Serikali yenyewe. Isitoshe, Serikali imejenga hadi mradi mkubwa wa umwagiliaji. Sasa haya yote ya kumfuata tembo yanatoka wapi?
Jamani waoneeni huruma wakulima hao wamepoteza fedha na nguvu nyingi, fomu wame jaza kama mlivyo waelekeza, walipeni fidia. Mh. Waziri wa Kilimo wajali wakulima hawa pia, ili nao waende sambamba na hiyo BBT.
 
Sasa Ukiwa Waziri ,mwenye akili ya ua Ulaji, Kwa Samia lazima upige , yes unapiga kwakua Samia sio mfatiliaji, ili mradi umemchorea picha tu basi unakula Pesa, Ndioooo lazima tuseme ukweli, Samia ni mwepesi kudanganywa !!.
Nenda na wewe kamchoree upige pesa uache kulalama.
 
Mnachonga
Utadhani nyie kuna kitu mmefanya
Sawa tuseme Bashe kakosea tuonyeshe ulichofanya wewe kwa Taifa hili
Mtaumbuka
 
Tena kuiweka vizuri hii Bashe anasema mjadala juu ya kilimo sasa ni huru maana awamu ya tano huru huo haukuwepo, sasa anapokea maoni [emoji1787]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
BASHE ana Maroboti mengi sana mtandaoni ambayo anayalipa kumtetea
 
Naomba tujikite kwenye haya Yako ya pili kurika mwisho. Nadhani hija kuu ya Uzi iko hapo?
 
BASHE ana Maroboti mengi sana mtandaoni ambayo anayalipa kumtetea
Kwa nini aweke watu, ili iweje? Wewe zingatia anachosema, kama una sehemu unaweza kuleta value-added, sema tusikie. Mpe hurrah hata kw kuthubutu kufikiri njecya box.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…