Bukavu: M23 yakaribia uwanja wa ndege wa Kavumu

Bukavu: M23 yakaribia uwanja wa ndege wa Kavumu

M23, yafika umbali wa km1 tu kufika uwanja wa ndege wa Kavumu. Wanajeshi wa FARDC,badhi wameanza kuingia nchini Rwanda, mjini Kamembe. Badhi ya wanajeshi wa Burundi, inasemekana wanarejea kwao.

Hii noma!
 
Rwanda inaongozwa na mwanajeshi na yuko paranoid, ina kundi la waasi FDRL wanaisumbua, imetoka kwenye genocide alafu ipo active kwenye conflict ya jirani yake DRC.

Inazo sababu za kuwa na wanajeshi wengi tena wenye uzoefu, na kuwa na reserve yenye uhai kijeshi.

Maofisa wa jeshi wa Rwanda wengi wameshiriki mapigano mbalimbali, Rwanda kila mwaka wanajeshi wake hufa kwenye mapigano na wakati huu mwenye hizi misheni za M23 Rwanda inadaiwa imeishapoteza wanajeshi kama elfu moja. Na hapo hutokaa uone wapi Kagame ameenda kwenye mazishi au mapokezi ya miili ya wanajeshi waliokufa, hutoona wapi nchi imeomboleza wala raia kulalamika mitandaoni. Hata jeshi la Rwanda kupoteza wanajeshi 100 kwa mwezi sio big deal wala suala la kuumiza kichwa General Staff.

Sisi walikufa wanajeshi wawili ikaonekana maajabu na tataribu nyingi zikafanyika, raia wakatoa matamko mitandaoni.
Mwaka m23 walishambulia na jeshi la DRC kwa 🚀 rocket.
Tena waliwatarget kwa kutumika drone wakawajua wapi walipo.
Kwa siku walikufa zaidi ya 80 hivi walionyesha video za drone za mashambulizi na maiti za m23
 
Back
Top Bottom