๐๐๐Usisahau!!! Jeshi la DRC ndo linashikilia nafasi ya 8 ya majeshi bora balani Afrika.
DRC is a failed state.Habari zilizopo kwa sasa, ni kwamba baada ya wanajeshi wa Burundi na FARDC kukimbia uwanja wa ndege na kukimbilia mjini Bukavu, yawezekana M23 tayari ilikuwa mjini ikiwachora tu. Tofauti na Goma, M23 imewatangazia maeneo ya wazi wanaohitaji kutoka mjini humo, na kweli wanajeshi wa serikali wakachukua magari na kusepa. Baada ya muda, ndipo jeshi la M23 likaonekana likikalibishwa kwa shangwe na raia.
Haya
Baada ya rais wa DRC kuapa hatokaa kuzungumza na M23, wanamkumbusha kuwa safari yao itaishia Kinshasa.
Kwa kasi hii, huko maporini na kwenyewe kutaachwa silaha kama za Kivu kaskazini na kusini? maana M23 inazoa kama hazina mwenyewe
Usafiri sasa, ndo usiseme.Kila aina ya gari,lipo. Wakisamehe, Kivu inajitenga.Wakisonga,basi uwezekano wa mzee Felix kubaki huko huko ulaya ni mkubwa.
View attachment 3236597
View: https://x.com/i/status/1890440659594535334
View: https://x.com/i/status/1890446842187641041
Kumbuka, Msouth alisha bolonga, kwa hiyo,mwana kulifind, mwana kuliget. Hapa lazima wacheze na maeneo aliyokalia mpaka aondoke.DRC is a failed state.
Nchi mpya ya Jamhuri ya Watu wa Kivu ipo njiani inakuja kwa spidi kali Sana
Kama una mawasiliano na hao Wapiganaji wa M23 wafikishie ujumbe kwamba kwa Sasa Viongozi wao wanapaswa watangaze ujio au kuzaliwa kwa nchi mpya ya Jamhuri ya Watu wa Kivu. Viongozi wa hao Waasi wajikite kuunda Serikali yao Madhubuti chini ya Jamhuri ya nchi mpya ya Kivu. Hii itasaidia sana kupata uungwaji mkono kutoka kwa Jumuiya za Kimataifa. Serikali mpya ya Utawala wa M23 ijikite Sasa katika kuhudumia Wananchi ili kuonyesha tofaufi Kati yao na Utawala wa KinshasaElewa mkuu! Bukavu ujue ni mji mkubwa si kama Goma. Mpaka sasa,badhi ya maeneo jama wa M23 ndo wanafanya dolia huko, jeshi la serikali na Burundi wamekimbia kuelekea mpakani mwa DRC na Burundi. Kavumu hakuna mapigano makali mpaka sasa.
mawasiliano sina mkuu. Na mimi nakaa kujuzwa tu. Sema vyanzo ni uhakika asilimia 100.Kama una mawasiliano na hao Wapiganaji wa M23 wafikishie ujumbe kwamba kwa Sasa Viongozi wao wanapaswa watangaze ujio au kuzaliwa kwa nchi mpya ya Jamhuri ya Watu wa Kivu. Viongozi wa hao Waasi wajikite kuunda Serikali yao Madhubuti chini ya Jamhuri ya nchi mpya ya Kivu. Hii itasaidia sana kupata uungwaji mkono kutoka kwa Jumuiya za Kimataifa. Serikali mpya ya Utawala wa M23 ijikite Sasa katika kuhudumia Wananchi ili kuonyesha tofaufi Kati yao na Utawala wa Kinshasa
Kwa akili yako ulidhani Burundi inauwezo wowote wa kupambana na vijana wanaoisambaratisha DRC pamoja na mercenaries wa Kizungu? Kama askari wa Sauzi, Bongo pamoja na Malawi walikamatwa kama kuku wenye mdondo ndiyo ije kuwa Warundi njaa kali.Kwahiyo Makomandoo wa Burundi wamelala mbele?!๐๐๐๐
Halafu Raisi wa Burundi juzi juzi alikuwa anapiga mkwara mzito sana.
Angechota almasi za kutosha na kurudi Brussel.Ungekuwa wewe ni Rais wa Congo ungefanya nini?
Kwamba alitakuwa afanyeje mkuu!?Felix ndo Kawa Rais bogus wa Congo kuliko Rais yeyote yule
Zaidi ya miaka saba ikulu ameshindwa kuunda jeshi?Kwamba alitakuwa afanyeje mkuu!?
Inategemea hilo jeshi lilikuwa limeharibika kwa kias gan, na resistance iliyopo dhidi ya millitaire reconstruction kwasasa?Zaidi ya miaka saba ikulu ameshindwa kuunda jeshi?
Huyu ndo Rais wa DRC Jana huko Ujerumani na valentine na mke wake๐คฃ๐คฃ๐ฎUngekuwa wewe ni Rais wa Congo ungefanya nini?
Dah,uchambuzi kuntu sana ๐Sultan Makenga na wenzie kuanzia Bosco "terminator", Mti mkavu aka pastor na wengine wamekulia kwenye hayo mapoli toka enzi za RPF na kamanda wao PK chini ya Babu yao M7 kifupi hao vijana na wazee wa M23 ni war machines, huwezi kuwamaliza na wakiamua kwa hilo jeshi la DRC mapema tu wanafika Kinshasa.
Kinshasa wamefunga anga maana wanajua hao Mulenge Wana roho ngumu wanaweza kushushwa hata karibu na Mbuju Mai wakaanzia hapo kuifuata Kinshasa, wakiishika Bukavu, Ben sio issue maana inapakana na Babu yao M7 siku moja tu wanaiteka then wanakuwa wameizunguka Kisangani, Kisangani inapigwa kutokea Bukavu na Beni, wakimaliza wanaifuata Mbadala kwenye hiyo border na Congo Brazavile asubuhi tu wako Kinshasa, ukumbuke wana airport Goma na hapo Bukavu, ukiruka unaruka low altitude kutokea UG au RA supply ya kutosha.
Vikosi vya DRC supply lazima ifike Kisangani ili kuihami Kisangani wakati huo huo huna ammunition za kutosha kuihami Kinshasa, sasa utachagua kuweka buffer Kisangani ili ikianguka Kisangani iwe imeanguka Kinshasa au urudi ucheze kamari kuihami Kinshasa halafu upige counter attack, lazima yakukute ya Mobutu otherwise uifilisi nchi ukawachukue the retired berets uwamwage Kisangani wapige offensive kuelekea Ben then uirudishe Bukavu.
Pole sana Mr Idiot aka the big fat, uliingia maagano usiyoyaweza, Mulenge are your night ghosts.
Alafu baadae ijiunge na Rwanda๐คฃDRC is a failed state.
Nchi mpya ya Jamhuri ya Watu wa Kivu ipo njiani inakuja kwa spidi kali Sana
Tshesekedi Kazi yake ya Uber driver bado ipoAngechota almasi za kutosha na kurudi Brussel.
TunakusubiriSi kweli.
Hao wapatao 250 kwa sasa wapo na kundi la RED-TABARA. Kusini huko kama unaelekea Lubumbashi, na M23 ndo inaelekea huko. Ukimuona rais wa Burundi ana wasiwasi, ujue kuna jambo, usalama kwake ni mdogo na yeye.
Waliokaidi wamehukumiwa vifo, na miaka 30 mwenye kifungo kidogo. Kwa hiyo, kuna mawili
; Kuwa mfungwa wa vita, au kujiunga na aliekuwa adui ili usogeze siku.
Elfu nne, waliyuma kuhakikisha uwanja wa ndege wa Kavumu haukamatwi. Unadhani kinachowasubiri ni nini?
Ukisikia idadi ya vifo Goma, wengi wakiwa wapiganaji upande wa serikali, ndo ujiulize sasa huko kusini hali ikoje!!! Kwa taarifa zilizopo, baada ya rais kuonyesha nia ya kumaliza kabila la watutsi, M23 inampa ujumbe wa uhakika(Hakika umenielewa).
Usisahau!!! Jeshi la DRC ndo linashikilia nafasi ya 8 ya majeshi bora balani Afrika.
Ngona nikasake habari nyingine ntarudi