South Africa hana mpango wa kupigana full scale war hapo Drc.Waasi wanapigana vizuri wakiwa kandokando ya Rwanda lakini wakisambaa na kufikia Katanga watakuwa wako uchi bila Rwandan Anti aircraft na Rwandan Radar Ndege za South Africa na Helicopter gunships zitawashukia kama Mwewe.
Bahima empire inatakiwa ije na eastSultan Makenga na wenzie kuanzia Bosco "terminator", Mti mkavu aka pastor na wengine wamekulia kwenye hayo mapoli toka enzi za RPF na kamanda wao PK chini ya Babu yao M7 kifupi hao vijana na wazee wa M23 ni war machines, huwezi kuwamaliza na wakiamua kwa hilo jeshi la DRC mapema tu wanafika Kinshasa.
Kinshasa wamefunga anga maana wanajua hao Mulenge Wana roho ngumu wanaweza kushushwa hata karibu na Mbuju Mai wakaanzia hapo kuifuata Kinshasa, wakiishika Bukavu, Ben sio issue maana inapakana na Babu yao M7 siku moja tu wanaiteka then wanakuwa wameizunguka Kisangani, Kisangani inapigwa kutokea Bukavu na Beni, wakimaliza wanaifuata Mbadala kwenye hiyo border na Congo Brazavile asubuhi tu wako Kinshasa, ukumbuke wana airport Goma na hapo Bukavu, ukiruka unaruka low altitude kutokea UG au RA supply ya kutosha.
Vikosi vya DRC supply lazima ifike Kisangani ili kuihami Kisangani wakati huo huo huna ammunition za kutosha kuihami Kinshasa, sasa utachagua kuweka buffer Kisangani ili ikianguka Kisangani iwe imeanguka Kinshasa au urudi ucheze kamari kuihami Kinshasa halafu upige counter attack, lazima yakukute ya Mobutu otherwise uifilisi nchi ukawachukue the retired berets uwamwage Kisangani wapige offensive kuelekea Ben then uirudishe Bukavu.
Pole sana Mr Idiot aka the big fat, uliingia maagano usiyoyaweza, Mulenge are your night ghosts.
Wananenepeana tuWakongo wanaraha sana.Yaani rais akizingua makamanda wanamzingua.Tofauti na Tanzania CCM inawakamdamiza wananchi Kwa kuwanyimwa haki za kibiashara,kisiasa,kijamii n.k lakini makamanda wametulia tu.
Rwanda itaonekana kusaidia kupindua serikali halali iliyochaguliwa kidemokrasia kitu ambacho sio kizuri hata kidogo.Hapana, Rwanda itaongezea man power ya kufanikisha hilo
Bila ya Rwanda support frontline ina collapse faster.Je, una uhakika hawana support yoyote?
Sio nzuri kwa nani?....M23 ndio watakiri kupindua na sio Rwanda.Rwanda itaonekana kusaidia kupindua serikali halali iliyochaguliwa kidemokrasia kitu ambacho sio kizuri hata kidogo.
Mambo Mengine ni Morali ya Vita.Ninachokiona ni kwamba majeshi ya nchi za Afrika ya Mashariki yanasumbuliwa sana na Guerilla tactics kuna haja hata JWTZ kujitathmini na na kujipanga upya kwa mafunzo dhidi Guerilla warfare.
Jana nimeshangaa sana kuona wakazi wa Bukavu wakowacheka Askari wa Kirundi wakikimbilia Uvira na wengine kusarenda kwa Waasi mpaka nikasema kuna sabotage haiwezekani.
Kuna habari zinasema M23 inahonga Makamanda wa Majeshi pesa nyingi ili hujuma ifanyike na ndivyo walivyolisambaratisha jeshi la Kongo.
Kuna video niliwahi kuiona wananchi wanawashangilia m23 hiyo imekaaje?mawasiliano sina mkuu. Na mimi nakaa kujuzwa tu. Sema vyanzo ni uhakika asilimia 100.
Mbona unachanganya mafaili sasa mkuu! Kwa hiyo, mataifa yote yanapozungumzia kuiwekea vikwazo Rwanda, huelewi kinachoendelea? Kwa hiyo,ukahisi haijulikani kwamba ndo kilichopo!Rwanda itaonekana kusaidia kupindua serikali halali iliyochaguliwa kidemokrasia kitu ambacho sio kizuri hata kidogo.
Ndo ilivyo.Kuna video niliwahi kuiona wananchi wanawashangilia m23 hiyo imekaaje?
Nilikuwa na imani sana na Felix nikidhani atabadilisha DRC.Felix ndo Kawa Rais bogus wa Congo kuliko Rais yeyote yule
Watakuja kuwachukua wahaya, wanyambo, wahangaza....Bahima empire inatakiwa ije na east
Hao watu 3000+ waliokufa ni wanajeshi tu?Ndo ilivyo.
Miaka 30 sasa, watu wa mashariki mwa DRC hawajui amani. Walipo leo,kesho wapo kwingine.Wanawake kubakwa,ni kugusa. Mali za watu kuibiwa, kawaida. Mwanajeshi alikuwa mtu wa kuogopa. M23 ilipolianzisha Goma,watu walijua ni yale yale. Kadri siku zinavozidi kwenda, wakaona hali ni tofauti. Watu wakaanza kukesha wanafanya biashara,wengine wakitembea, mharifu akikamatwa, wanamalizana nae. Kila walipofika,hawajawahi kumdhuru raia. Ndo wameanza kuonekana kumbe ni watu wema. Ikawa sasa imefikia hatua hiyo unayoiona, risasi zinalindima nje, watu wanajifungia ndani, wakiwaona tu, shangwe. Jiulize, nchi ipi iliwahi tokea dunia hii,kwenye vita watu wakawasindikiza wanaoitwa waasi. Kifupi, ni dalili za kwamba watu wamechoka uongozi uliyopo.
Madaraka ya kukabidhiana kwa sababu wewe ni mwanagu au mtoto wa furani. Siku zote ndo kama hivi.Nilikuwa na imani sana na Felix nikidhani atabadilisha DRC.
Ameishi Ubelgiji kama Mkimbizi wa Kisiasa kwa miaka mingi hadi alipokuja kugombea urais
I expected morw from him. Has proved Failure.
Ni shida ya watoto wa vigogo waliokimbia nchi. Wanaenda kama matajiri kwa hiyo hakuna walichojifunza
Raia wamo,japo kidogo. idadi kubwa ya raia, ni ya wanawake walioungulia gerezani, na wengine waliopatwa na risasi. Mi nadhani usitumie jina wanajeshi. Unajua serikali inakusanya vijana(Wazalendo), na hao ndo wanawekwa front, wakiaminishwa wanaaweza. Sasa, jiulize, huyo mtu atafanya nini, mbinu za kivita hajui,japo na wanajeshi wengine, hawajawahi pigana vita, vya polini au mjini, wanaanzaje! Hao ndo wengi waliouliwaHao watu 3000+ waliokufa ni wanajeshi tu?
Sijajua miaka yote hiyo ya Felix alishindwa vipi kuunda jeshi imaraRaia wamo,japo kidogo. idadi kubwa ya raia, ni ya wanawake walioungulia gerezani, na wengine waliopatwa na risasi. Mi nadhani usitumie jina wanajeshi. Unajua serikali inakusanya vijana(Wazalendo), na hao ndo wanawekwa front, wakiaminishwa wanaaweza. Sasa, jiulize, huyo mtu atafanya nini, mbinu za kivita hajui,japo na wanajeshi wengine, hawajawahi pigana vita, vya polini au mjini, wanaanzaje! Hao ndo wengi waliouliwa