Bukayo Saka na Gabriel Martinelli watabeba tuzo ya Ballon D'or kabla ya Kylian Mbappe na Erling Haaland

Bukayo Saka na Gabriel Martinelli watabeba tuzo ya Ballon D'or kabla ya Kylian Mbappe na Erling Haaland

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Kiwango cha soka kinachooneshwa na vijana hawa wawili, Saka na Martinelli kinavutia na kudhihirisha kwamba wako makini na kazi yao.

Kwa miaka mitatu iliyopita tumeona vijana hawa wakipikwa na kuwa mawinga hatari sana katika Klabu ya Arsenal. Kiwango chao cha kujituma na nidhamu kinaonesha hatma nzuri inakuja.

Chini ya Mikel Arteta, ninaiona Arsenal ikibeba EPL, Europa, FA, UCL, Club world, Super Cup n.k katika misimu kadhaa ijayo. Katika muktadha huo, bila mashaka yoyote vijana hawa wawili watapokezana hiyo tuzo.

Kila la heri kwao.
 
Lolote linawezekana kwenye mpira. Hao madogo wanakuja vizuri lakini sioni kama wapo kwenye mazingira rafiki kubeba ballon d'or kama waliyopo halaand na mbappe.
Ngojea tusubiri, muda utatupatia majibu.
 
Martineli na Saka wameanza tabia ya kufanya mabeki wote waonekane akina maguire
kama beki wako ni wazuri ngoja wakutane na hawa vijana

Martineli akishika mpira anafanya mabeki wawili na dm wasiwe na utulivu kabisa kasi yake na pasi zake
halafu mabeki walivyo wajinga wanamuacha apite

Saka akishika mpira anakuwa kama ana damu baridi yupo calm sana anamfuata beki hamuogopi hata wawe wawili ila huyu anatabia ya kuchukua attention ya wachezaji hadi watano akiwa na mpira na ni hatari 1v1

Arsenal tupewe ubingwa tu
kuhusu ballon d'or ipo kisiasa na kibiashara sana
 
Martineli na Saka wameanza tabia ya kufanya mabeki wote waonekane akina maguire
kama beki wako ni wazuri ngoja wakutane na hawa vijana

Martineli akishika mpira anafanya mabeki wawili na dm wasiwe na utulivu kabisa kasi yake na pasi zake
halafu mabeki walivyo wajinga wanamuacha apite

Saka akishika mpira anakuwa kama ana damu baridi yupo calm sana anamfuata beki hamuogopi hata wawe wawili ila huyu anatabia ya kuchukua attention ya wachezaji hadi watano akiwa na mpira na ni hatari 1v1

Arsenal tupewe ubingwa tu
kuhusu ballon d'or ipo kisiasa na kibiashara sana
Mkuu umeandika ukweli wa hali ya juu. Wewe utakuwa unawaangalia kwa karibu sana. Vijana wakiwa na mpira ukuta wa timu pinzani unakuwa kwenye presha kubwa sana.
 
Bado sana hoa vijana
Na the gunners kuchukua ubingwa bado mkuu
Form ni temporary ila class ni permanent
Class ya gunners bado ila form ipo vema
Arsenal has class kilichokosekana ni form tu
ambayo msimu wapo nayo
mbali na form they have fighting spirit

usikute unayesema arsenal bado unaota timu yako iwe kwenye nafasi aliyopo arsenal muda huu
 
Sidhani maana wachezaji wa kawaida sana wamewahi kuibeba kama nedved wa juve na canavaro
Tena hiyo ya nedved ilikuwa siasa kuliko unavyofikiri huo mwaka ulikuwa mwaka wa thiery henry
hebu fuatilia huo mwaka henry alipiga magogoli 20+ na assist 20+ na hakupata
 
Hivi class huwa inakujaje? Unamaanisha hao madogo hawana talent?
Talent wanayo
Kuprove beyond ndio class
Kuibeba team pale game ipo tite
Dinyo alikuwa na vyote class + talent ndio maana by then anaweza amua game per one chance tuu
Tujiulize hao madago wameprove nni mpaka mda huu
Tusubir tuone
 
Arsenal has class kilichokosekana ni form tu
ambayo msimu wapo nayo
mbali na form they have fighting spirit

usikute unayesema arsenal bado unaota timu yako iwe kwenye nafasi aliyopo arsenal muda huu
Mkuu angalia mpira acha mahaba na team
Hao vijana still wana mengi kuprove
Arsenal bado wimbi hili la matokeo lisikupe kibri

Depth ya scuad ipo meintanable au injuries hujui zipo + fatique na drop off ya form per player
 
Mkuu angalia mpira acha mahaba na team
Hao vijana still wana mengi kuprove
Arsenal bado wimbi hili la matokeo lisikupe kibri

Depth ya scuad ipo meintanable au injuries hujui zipo + fatique na drop off ya form per player
Namuongelea saka na martineli kama individual
unataka nitumie misimu kumi ndio kusema huyu ni bora ?
messi akiwa na miaka 21 kashapata ballon d'or kwa nini hawakusema tusubiri msimu mwengine
chai ni nzuri ikinywewa ya moti
 
Back
Top Bottom