Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
Martinelli na Saka hawa vijana wanajua mpaka wanakera shida ni kwamba wanacheza Arsenal.
Ningekuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil ningemuanzisha Martinelli over Vinicius Jr. Vini jina la Madrid linambeba ila Martinelli anajua sana
Ningekuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil ningemuanzisha Martinelli over Vinicius Jr. Vini jina la Madrid linambeba ila Martinelli anajua sana